Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
Uchunguzi wa kumbaini aliyafanya ule uchafu. Hata hili linakushinda kuelewa mkuu!CRDB wasituone wote wajinga. Kama siyo bank statement ya kweli kwanini serikali ihusishwe na ufanyike uchunguzi?
Au niulize, uchunguzi wa nini? Kubainisha kuwa siyo ya ukweli?
Haiingii akilini.
CCM miaka yote ni ya hovyoCcm ya Samia ni hovyo sana
Forgery inakuaje tena halisi kama wewe sio miongoni mwa machizi watatu kati ya mtu mmoja mwenye utimamuKwani unaposikia forgery inakuwa siyo kitu halisi?
Tanzania Ccm itatawala mpaka itakapochoka yenyewe kama nchi imejaa majitu mjinga kama wewe.
Kuna watu wanamiliki viwanda vya Uongo by JK.Account CRDB inaanza na 012..
Hii Nchi kila mtu Muongo sasa hivi[emoji23]
Kamdanyanyee anaekula dyudyu ya mamaaakoMbowe amechota mpunga bhana.
Kuna watu wanamiliki viwanda vya Uongo by JK.
NamMbona tulijua tu kwamba ni uzushi!