CREATION was only for israelites not for all human races, EVOLUTION still holds its truth !

CREATION was only for israelites not for all human races, EVOLUTION still holds its truth !

Allah is supporting Charles Darwin in a diabolic allahic reverse evolution.

5:60 Then say: "Should I inform you [People of the Book] of those, who will have even worse recompense from Allah than the transgressors? They are those whom Allah has cursed; who have been under His wrath; some of whom were turned into apes and swine; who worshipped taghut [the devil or idols]; those are the people who are in a far worse plight and who have turned farthest away from the Right Way." (Maududi)

Since Allah is full of love, he has decided to change/turned the Jews into apes and swine for generally disbelieving in Allah’s revelations. That is an islamic evolution. Going backward.

Backward eveolution
 
Ni muhimu kutofautisha imani(creation) na sayansi(evolution).

Watu wa Israel walijikuta wapo utumwani Misri, Musa aliwaambia kwamba wao ni taifa teule hivyo katika kuwaaminisha kwamba wao ni taifa teule kwa kiasi kikubwa 'alitunga' sehemu kubwa ya vitabu vya 'pentateuch' (mwanzo,kutoka,walawi,hesabu,kumbukumbu ya torah) vinavyoonesha historia yao kabla ya utumwa wa misri. Kwa mfano stori ya creation inatuonesha kwamba sisi hatuko hapa duniani by accident, bali ni kwa mpango wa Mungu. Kwa hiyo wale waIsrael wa muda ule hapakuwa na haja ya kuwa na stori kuonesha uumbaji wa watu kutoka races mbalimbali na wao mfano; waafrika wabantu, waaborigini, waamerindia na watu wa race nyinginezo. Kwa hiyo mazingira ya muda ule yaliruhusu watu kuamini hivyo.

Kwa mazingira ya sasa hivi mtu kuamini kwamba dunia imeanza miaka 6000 iliyopita ni kazi. Kuamini dunia imeanza miaka 6000 ni kwamba kuamini kwamba; hydrocarbons zimetengenezwa ndani ya muda huo, dinasoria wameishi miaka hiyo, zinjathropus ameishi katika miaka hiyo, carbon-14 test ni uwongo, uranium haikutengenzwa miaka bilioni 2-3 iliyopita bali ndani ya miaka 6000, nadharia nyingi za fizikia kuhusiana na ulimwengu ni za uwongo kwa mfano nadharia ya ulimwengu kutanuka kutoka katikati n.k.

Katika historia Galileo aliingia katika matatizo na Papa (Urban viii) kwa sababu alisema dunia sio centre ya mfumo wa jua bali dunia inalizunguka jua. Lakini leo hii hamna kiongozi wa dini anaweza akasimama akasema dunia ndiyo centre ya mfumo wa jua au dunia iko flat na sio duara kwa sababu maendeleo katika sayansi yamepingana na biblia


Na huko tunakoelekea nadharia ya creation itaachwa kushabikiwa na viongozi wa dini kwani hata sasa ni aghalabu kusikia wakiizungumzia.

Nimeupenda huu uchambuzi mkuu..

Unaleta tija na kukaribia kutoa utata kidogo! Na nimependa zaidi jinsi ulivyoelezea MUSSA alivyotunga stori kuhusu hao waisrael!!

Lakini kama stori imetungwa, ukweli upo wapi??
 
historia..inasema Binaadam wanatokana na watu wawili Adam Na Hawa....waliishi miaka mingi iliyopita....na ushahidi wa mazingira upo ya kuwapo kwao duniani....mfano sehemu walizoshukia na walipo kutania baada ya kushushwa.
lakini historia inasema hawa hawakua mayahudi...bali walikua ni Wafrika...yaani weusi maji yakunde.... tusidanganywe na zile sinema kuonesha Adam alikua mzungu ama myahudi....ushahidi mpaka sasa unaonesha binaadamu wa mwanzo aliishi Tanzania..hakuna ushahidi mwengine mpaka sasa
lakini jee haya makabila tofauti..yaani machina, wafrica, wazungu , waarabu , wahindi, aboriginies, na wengineo walikujaje wakati baba zao na mama zao ni kutoka tumbo moja? na mbali ya hilo....kuna zaidi ya lugha alfu moja (1000).
jee hizi zilikujaje? wakati sote tunatoka kwa Adam Na hAWA?

sababu nyingi zimetajwa nyingi ni kuhama hama kwa watu kutoka makaazi yao asili kutawanyika duniani ambako walikutana na matatizo ya hali ya hewa , chakula na ukosefu wa aina fulani za madini na vitamins ikasababisha watu kubadilika kuwa katika makabila tofauti ....ingawa hii kidogo haina mshiko kwani unaweza kubadilika rangi ..lakin nywele na macho yetu vipi yamekuwa tofauti ? macho ya kichina , green eyes na meusi !!!

ukweli hili ni suala gumu ambalo vitabu vya dini halikuweka sawa..labda kwa sababu halikutokea kuulizwa wakati huo na kupatiwa jawabu kutoka wahay au ufunuo
lakini mie uchunguzi wangu wa karibu na utafiti kidogo ni kuwa ukweli upo Juu ya ADAM NA HAWA na mtakumbuka baada ya ile dhambi walofanya kutokana na ushawishi wa ibilisi...walishushwa duniani kukaa humu na kuzaana kwa muda maalum ambao Muumba pekee ndie amejua makadirio yake
ADAM NA HAWA walishushwa pamoja na ibilisi ambaye ni malaika muasi kuja duniani...na huyu alichukua ahadi .....kuwapoteza vizazi vyao.....na pia inaaminika MUNGU pia ameumba Majini kama viumbe wengine
yaani kuna Malaika . Binaadamu na Majini..sasa kuna ushahidi wa binadamu kuoa au kuolewa na majini...na inasemekana wakati waa Nabii Suleiman alifuga majini ..na majini yale yalijenga mji wake kwani walimuogopa sana....alipokufa...hivyo utaona kuna uhusiano wa karibu kati ya majini na binaadam
kutokana na uingiliano huu majini yalingiliana na binadamu ndio maana kukapatikana kizazi kipya tofauti duniani races nyingi zimechanganya na majini....na majini wapo makabila tofauti na wanaongea lugha tofauti.....na wao ndo chanzo cha makabila tofauti...na kwa kiasi kikubwa wazungu wana genes kubwa zaidi ya majini ndio maana wapo watundu sana , wanapenda kumwaga damu sana na ni watafutaji sana...na wapiganaji sana.....na wavumbuzi ....akili zao ni kutokana na genes nyingi za kijini

Mkuu, at least umenifafanulia jambo ambalo sikuliona kabla..

Inawezekana majini na wanadamu wakaingiliana, ndo ikawa chanzo cha race tofauti duniani!!

Kiimani juu ya hili sina tatizo sana maana hata kwenye biblia kulikuwa na wale malaika waasi walishuka duniani na kuzaa na wanawake(historia kabla ya gharika)

Lakini kiscience hali ni tete.. Wanasayansi wanaamini kuzaa ni kuweza kutengeneza kiumbe chenye kurithi na kushabihiana vinasaba(DNA and GENES) sawa na wazazi wake (member of the same speicies only can interbleed) !!

Sasa sijui hilo la upande wa pili unalionaje??
Ila nashukuru kwa kuniweka wazi juu ya uhusika wa majini katika races
 
Nimeupenda huu uchambuzi mkuu..

Unaleta tija na kukaribia kutoa utata kidogo! Na nimependa zaidi jinsi ulivyoelezea MUSSA alivyotunga stori kuhusu hao waisrael!!

Lakini kama stori imetungwa, ukweli upo wapi??


Katika jamii zote za binadamu, watu walikuwa wana namna yao ya kuabudu/miungu(dini). Kwa hiyo katika kila jamii kuna stori za namna jamii zao zilivyokuwa zinaabudu.

Kuna baadhi ya wanasayansi wanasema kwamba binadamu hawezi kukamilika bila ya kuamini uwepo wa nguvu ya ziada kumsaidia(Mungu).

Kwa sababu tu za kihistoria kuna baadhi ya dini zimekuwa dominant kuliko nyingine na kusambaa kutoka jamii zilipoanzia mpaka jamii nyingine na dini nyingine kumezwa na dini nyingine.

Katika dini la muhimu sio ukweli au uwongo uliomo/unaoongelewa ila ni imani ya wanaoifuata.
 
Dini ni about IMANI. Ukikiamini unachofundishwa na dini yako basi kikubali na ukifuate. Usipokiamini basi fuata kule kwingine unakoamini lakini bila ku criticize anachoamini mwenzio!. Kuhusu wanasayansi hao wapo duniani na theory zao ili kutimiza malengo yao ambayo ni tofauti na malengo ya washika dini. Mfano mwanasayansi anakwambia kula sana mboga za majani na matunda ili uwe na afya na uishi miaka mingi,padri au shehe atakwambia usitende dhambi ili ukaishi raha mustarehe Mbinguni. Je kama ni wewe utachagua kipi hapo? Ni dhahili utachagua kufanya vyote ili upate faida ya vyote,lakini bila kimoja kuingilia kingine!. Ndio maana una utashi wa kujua baya ni lipi na zuri ni lipi.
 
Ni muhimu kutofautisha imani(creation) na sayansi(evolution).

Watu wa Israel walijikuta wapo utumwani Misri, Musa aliwaambia kwamba wao ni taifa teule hivyo katika kuwaaminisha kwamba wao ni taifa teule kwa kiasi kikubwa 'alitunga' sehemu kubwa ya vitabu vya 'pentateuch' (mwanzo,kutoka,walawi,hesabu,kumbukumbu ya torah) vinavyoonesha historia yao kabla ya utumwa wa misri. Kwa mfano stori ya creation inatuonesha kwamba sisi hatuko hapa duniani by accident, bali ni kwa mpango wa Mungu. Kwa hiyo wale waIsrael wa muda ule hapakuwa na haja ya kuwa na stori kuonesha uumbaji wa watu kutoka races mbalimbali na wao mfano; waafrika wabantu, waaborigini, waamerindia na watu wa race nyinginezo. Kwa hiyo mazingira ya muda ule yaliruhusu watu kuamini hivyo.

Kwa mazingira ya sasa hivi mtu kuamini kwamba dunia imeanza miaka 6000 iliyopita ni kazi. Kuamini dunia imeanza miaka 6000 ni kwamba kuamini kwamba; hydrocarbons zimetengenezwa ndani ya muda huo, dinasoria wameishi miaka hiyo, zinjathropus ameishi katika miaka hiyo, carbon-14 test ni uwongo, uranium haikutengenzwa miaka bilioni 2-3 iliyopita bali ndani ya miaka 6000, nadharia nyingi za fizikia kuhusiana na ulimwengu ni za uwongo kwa mfano nadharia ya ulimwengu kutanuka kutoka katikati n.k.

Katika historia Galileo aliingia katika matatizo na Papa (Urban viii) kwa sababu alisema dunia sio centre ya mfumo wa jua bali dunia inalizunguka jua. Lakini leo hii hamna kiongozi wa dini anaweza akasimama akasema dunia ndiyo centre ya mfumo wa jua au dunia iko flat na sio duara kwa sababu maendeleo katika sayansi yamepingana na biblia


Na huko tunakoelekea nadharia ya creation itaachwa kushabikiwa na viongozi wa dini kwani hata sasa ni aghalabu kusikia wakiizungumzia.

Aghalabu-maranyingi.nadra-mara chache!
 
Lakini uandishi wa biblia tukumbuke umeegemea sana kwa taifa la israel. Ukisoma mwanza hadi mwisho na hadi hata yesu alivyokuja na jinsi ya utawala wa warumi baadae. Lakini kama nilivyosema mwanzo.. Uumbaji upo kwa taifa moja la israel tu nao ndo wanasadiki palikuwa hakuna kitu juu ya chini bali giza juu ya vilindi vya maji.. Kwa lugha nyepesi ni kwamba hapakuwa na israel kabla.. Na creation ya israel ikaanzia hapo na biblia ikaanzia hapo. Swali la msingi ni... Hii tofauti ya 'races' hapa duniani inatokea wapi.. Where exactly does deep dim skinned people,the yellow (asians) the red and so forth come from???

mayahudi/wayahudi ndio walioanzisha fasihi ya kiyahudi (jewish literature), je watu wa rangi zingine hawana dini na miungu yao?
 
mayahudi/wayahudi ndio walioanzisha fasihi ya kiyahudi (jewish literature), je watu wa rangi zingine hawana dini na miungu yao?

Tukizungumzia swala zima juu ya uwepo wa dini katk dunia.. Utofauti utakuwa mkubwa sana! Ingawa katka hali ya uhalisia kuna dini zisizopungua saba na kuendelea (ninaweza kusahihishwa kama nitakuwa nimekosea)

Na kila dini moja inaelezea ama kujaribu kuelezea chimbuko lake na mwanzo wa uhai katka dunia hii pamoja na kuwepo kwa nguvu kuu kuliko zote iliyoleta ama kusababisha kila kitu!

Ukiangalia vizuri katka dini zoote hapa duniani zinatueleza kwamba zina watume ama messengers kutoka kwa mungu wao! Sasa hapo ni sisi kuamini ni wapi!!

Kwa tuliowengi barani afrika hata ulaya na marekani dini kubwa mbili uislam na ukristo umeshika maisha ya watu wengi na zote zimeelezea juu ya asili ya dunia na uumbaji wake!!

Tukirudi kwenye swala la literature ama fasihi ya kiyahudi sipingani na wewe! Siku zote muasisi wa literature husika ni mtu husika mwenyewe,
Na ni wayahudi hao hao ndo waliotuandikia juu ya uasili wa uyahudi! Na ho hao wakatuambia uumbaji ulikuaje na wao walikujaje na wakawaje duniani!!

Naamini nimekujibu kwa kiasi mkuu
 
Thread hii haijakanusha uwepo wa hilo jina jipya la kutumaini .. Hii thread inaafikiana na yote yaelezwayo katka biblia ila tu nikujua tu uumbaji na evolution zote zilikuwepo.. Kwa mfano naamini pale kitabu cha mwanzo kinaposema 'natumfanye mtu kwa mfano wetu.. ' Hapa moja kwa moja naamini kwamba si kutengeneza au kuumba mtu kama mungu la hasha, bali ni kutengeneza au kumuumba mtu asiye na dhambi ili mataifa mengine yawezekuishi na kufata mfano wa taifa jipya

Nachoelewa Israel imekuja kuteuliwa baadaye sana baada ya gharika kama baraka za baba yao Ibrahimu//, isaka na Jacob (isarel)
kwa Imani aliyoonyesha ya kumtii mungu kipindi kile cha Sodoma na Ghomora wakati ambao mataifa walifanya maasi na kutambika kwa kuua watoto wao. pAZIA La hekalulikapasuka ndipo mataifa mlipopata kuwa na kibali sawa na waliomkataa YESU mpakaleo israel.;
 
"... and lets create a man on our image, so he can stand for and monitor all the things we have made..." its the most thrilling statement in the bible showing about the completion of CREATION on what the bible and other religious book call, the creation of the earth. indeed it is,in one way or the other very convincing that the first man ever on the earth was created and lived in the Eden Garden which is believed to be somewhere in the middle east.

As one continues to enjoy and reading this creation story in the bible, we see how that small population of human race began to grow big. As the Adam and his wife Eve were blessed to have sons and daughter (though in their culture girls were less considered unless there was a significant role they do play). the most amazing thing in the story is when the woman was deceived by the snake, and the two sinned by disobeying the God and punishment was death to all of them without forgetting how man would live his life before he dies, and a woman pains in giving birth and so forth.

Apart from that the act of the older brother to kill his young brother brings something new to the world of creation, the death.. Adam witness the meaning of death, what happens when some dies and as a punishment God sent the older brother away from the small community but he MARKED the brother on his fore head so as PEOPLE from where he will be fled SHOULD NOT KILL HIM. this is the most interesting yet confusing part in the whole creation story as told by bible and other religious book.

I might be having low profiling about the facts of creation of the earth and the human race on the earth, if at all the creation was the first to all human race and the bible from the very beginning tells us how Adam and his family lived with exclusion of other societies. then here here were conclusions
  1. why should the older brother, as we are told in the bible, asked God to protect him so as people should not kill him as he was chased of the family?
  2. I do believe in CREATION and there was a creation on human but the creation didn't base on the entire human races on the earth surface, However the only human race created on the earth was the Israelite. and from the Israelite is where other human races should live and follow the example to.
  3. THE STORY OF EVOLUTION of earth still holds its truth as the world just appeared due to the explosion of hydrogen clouds though the theory does not answer at all if people do evolve and developed from the apes why it takes long for the now apes to turn into humans
  4. on the joint above, (2) it might be that the human race's ancestors were and are of differnt species as from the apes and that species will no longer be existed as it has evolved
  5. the story of creation and the evolution theory are sometimes intersect somehow although depends on how one approaches it.
  6. The whole story of CREATION based and reflects on culture of the jews and israelites ONLY because if otherwise, the creation story fails to explain as where does other human races like africans, indians , red indians and the far east Asians as chines and Japanese come from.

Ukisoma biblia kwa makini utaona kuwa watu wakati ule waliishi miaka zaidi ya mia nane hivyo mtu mwenye miaka mia saba anaweza kuwa na watoto wangapi-Kaini na hABILI,
Israel ni kati ya uzao wa Ham, yafeth na shem na hata mataifa mengine baada ya gharika,,
israel aliteuliwa kwa imani yake utiii, ibrahim,
mataifa mengine pia sasa yameteuliwa kama israel kwa damu,
siku sita za uumbaji zinadhihiisha uwepo wa wanyama kabla ya binadamu,
 
Nachoelewa Israel imekuja kuteuliwa baadaye sana baada ya gharika kama baraka za baba yao Ibrahimu//, isaka na Jacob (isarel)
kwa Imani aliyoonyesha ya kumtii mungu kipindi kile cha Sodoma na Ghomora wakati ambao mataifa walifanya maasi na kutambika kwa kuua watoto wao. pAZIA La hekalulikapasuka ndipo mataifa mlipopata kuwa na kibali sawa na waliomkataa YESU mpakaleo israel.;

Labda mimi sikuelewa vizuri juu ya uhalisia wa biblia.

Ila ninachojua na kufahamu.. Vitabu vyote kuanzia mwanzo mpaka ufunuo wa yohana, biblia imeakisi maisha ya wayahudi/israel katka nyanja mbali mbali na jinsi walivyoweza kuchanganyika na watu wa jamii nyingine..

Ama wewe unalionaje hilo??
 
Allah is supporting Charles Darwin in a diabolic allahic reverse evolution.

5:60 Then say: "Should I inform you [People of the Book] of those, who will have even worse recompense from Allah than the transgressors? They are those whom Allah has cursed; who have been under His wrath; some of whom were turned into apes and swine; who worshipped taghut [the devil or idols]; those are the people who are in a far worse plight and who have turned farthest away from the Right Way." (Maududi)

Since Allah is full of love, he has decided to change/turned the Jews into apes and swine for generally disbelieving in Allah’s revelations. That is an islamic evolution. Going backward.

THE VERY PEOPLE WHO WAS CURSED BY ALLAH IS LIKE THESE ONES! WHO KILL AND PUNISHED INNOCENT PEOPLE FOR NO LEGITIMATE REASONS! !

On the Evil of Biblical Law

Ezekiel-20:25-26I
also gave them over to statutes that were not good and laws they could not live by; I let them become defiled through their gifts—
the sacrifice of every firstborn—
that I might fill them with horror so they would know that I am the LORD.

On Slavery & Subjugation of Women

Ephesians-5:22-24
Wives, submit to your husbands as to the Lord. For the husband is the head of the wife as Christ is the head of the church, his body, of which he is the Savior.
Now as the church submits to Christ, so also wives should submit to their husbands in everything

Exodus-21:20-21
If a man beats his male or female slave with a rod and the slave dies as a direct result, he must be punished, but he is not to be punished if the slave gets up after a day or two, since the slave is his property.

1 Peter-2:13
Submit yourselves for the Lord’s sake to every authority instituted among men.

2:18 Slaves, submit yourselves to your masters with all respect, not only to those who are good and considerate, but also to those who are harsh

.Leviticus-25:44-45
Your male and female slaves are to come from the nations around you; from them you may buy slaves. You may also buy some of the temporary residents living among you and members of their clans born in your country, and they will become your property.

THAT IS YOUR BIBLE !

IT MAKES ME FEELS LIKE PUKE!!
 
THE VERY PEOPLE WHO WAS CURSED BY ALLAH IS LIKE THESE ONES! WHO KILL AND PUNISHED INNOCENT PEOPLE FOR NO LEGITIMATE REASONS! !

On the Evil of Biblical Law

Ezekiel-20:25-26I
also gave them over to statutes that were not good and laws they could not live by; I let them become defiled through their gifts-
the sacrifice of eve
Bogus reply
 
Bogus reply

THIS IS BIBLE MISS!

On the Evil of Biblical Law

Ezekiel-20:25-26I
also gave them over to statutes that were not good and laws they could not live by; I let them become defiled through their gifts-
the sacrifice of every firstborn-
that I might fill them with horror so they would know that I am the LORD.

On Slavery & Subjugation of Women

Ephesians-5:22-24
Wives, submit to your husbands as to the Lord. For the husband is the head of the wife as Christ is the head of the church, his body, of which he is the Savior.
Now as the church submits to Christ, so also wives should submit to their husbands in everything


Exodus-21:20-21
If a man beats his male or female slave with a rod and the slave dies as a direct result, he must be punished, but he is not to be punished if the slave gets up after a day or two, since the slave is his property.

1 Peter-2:13
Submit yourselves for the Lord's sake to every authority instituted among men.

2:18 Slaves, submit yourselves to your masters with all respect, not only to those who are good and considerate, but also to those who are harsh

.Leviticus-25:44-45
Your male and female slaves are to come from the nations around you; from them you may buy slaves. You may also buy some of the temporary residents living among you and members of their clans born in your country, and they will become your property.

THAT IS YOUR BIBLE ! PATHETIC EVIL RELIGION!!
 
THIS IS BIBLE MISS!

On the Evil of Biblical Law
!!
[h=3]Sura Al-Nahl 16:28[/h]


The angels will say to those whom they cause to die in purity, ‘Peace be on you.' Come into paradise for what you did.


Yaani:


[Kuhusu wale wanaoingia mbinguni] – Malaika watasema kwa wale ambao watawafanya wafe katika usafi (utakatifu), ‘Amani na iwe juu yenu. Ingieni paradiso kutokana na matendo yenu.'




LAKINI, QURAN HIYO HIYO INASEMA:




Sura Al-Hijr 15:45-47


Indeed, the righteous will be within gardens and springs, [Having been told], "Enter it in peace, safe [and secure]." And We will remove whatever is in their breasts of resentment, [so they will be] brothers, on thrones facing each other.


Yaani:


Wenye haki (watakatifu) watakaa kwenye bustani na chemchemi za maji, kwa amani na usalama wataingia humo. Nasi tutaondoa chuki yote ndani ya mioyo yao.


Maswali:


1. Katika 16:28, inaonekana kwamba watakaiongia peponi ni watu walio safi kwa sababu malaika wamesababisha watu hao wafe wakiwa safi. Lakini 15:45-47 inaonyesha kuwa wataingia peponi wakiwa na chuki mioyoni mwao. Je, chuki ni sehemu ya usafi?
2. Je, aya hizi zimetoka kwa mtoaji yule yule?
3. Kama chuki ni mbaya kiasi cha kuhitajika kuondolewa mioyoni mwa Waislamu wanaoingia peponi, iweje wakiwa duniani wanaagizwa kuwachukia wale wasio Waislamu (kama tulivyoona kwenye 4:101)?

 

THAT IS YOUR BIBLE ! PATHETIC EVIL RELIGION!!

[h=3]Sura Al-Nisa 4:135[/h]


Believers, conduct yourselves with justice.


Yaani,


Enyi mlioamini, enendeni kwa njia ya haki.


Hapa Allah anazungumzia juu ya haki.


LAKINI ALLAH HUYO HUYO ANASEMA:


Sura Al-Nisa 4:129


In no way you can treat your wives in a just manner even though you may wish to do that...


Yaani:


Haiwezekani kamwe kwa ninyi kuwatendea haki wake zenu hata kama mngependa kufanya hivyo ...


Maswali:


1. Aya hizi zinafanana au zinapingana?
2. Kama hazipingani ni kwa vipi?


 
THIS IS PATHETIC EVIL RELIGION!!
[h=3]Sura Al-Baqara 2:177[/h]


Righteousness is not that you turn your faces toward the east or the west, but [true] righteousness is [in] one who believes in Allah ...


Yaani:


Haki (mbele za Mungu) haitokani na mtu kugeukia mashariki au magharibi. Mtu mwenye haki ni yule anayemwamini Allah ...


LAKINI QURAN HIYO HIYO INASEMA:


Sura Al-Baqara 2:144


Indeed, we see you look repetedly towards heaven. We will make you turn towards a qiblah that will please you. So turn your face towards the sacred Mosque (qiblah). Wherever you are, turn your faces to it.


Yaani:


Tumekuona unavyoelekeza macho yako mbinguni tena na tena. Tutawafanya muigeukie qiblah itakayowafurahisha. Hivyo, geuzeni nyuso zenu kuelekea msikiti mtakatifu [japo quran zingine zinasema ‘towards al-Masjid al-Haram' – najiuliza 'Haram' maana yake nini!!]


Maswali:


1. Kama aliyesema aya hizi mbili ni yuleyule; na ni Mungu wa mbinguni, inakuwaje zinapingana?
2. Kama zimetoka kwa Mungu wa mbinguni, si jambo la ajabu kuona kwamba hapendi watu waelekeze macho yake kule aliko badala yake waelekeze kwingineko?
3. Kama wewe tunayekuabudu uko juu, kwa nini hautaki tuelekeza macho yetu huko? Huu si mkanganyiko?
4. Na kama wewe ni Mungu uliye mahali KOTE, kwa nini nielekeze macho yangu sehemu moja?
 
’ MaxShimba anauliza
– najiuliza 'Haram' maana yake nini!!][/COLOR]

.kwa nini nielekeze macho yangu sehemu moja?[/COLOR][/INDENT][/QUOTE]



1. HARAM ni ILE SHUGHULI YA PADRI KUOA MWANAMME MWENZAKE !! NA KANISA LIKA KAA KIMYA NA NYIE KUPIGA VIGEREGERE!

2.NA WEWE UNAPOINGIA KWENYE HIZO NYUMBA ZENU ZA IBADA BASI UNATAKIWA UELEKEZE MACHO YAKO KWENYE MAKALIO YAKO!

LA SIKU UKIJISAHAU! UNAWEZA SHTUKIA MUCHUNGWAJI ANAENDESHA FARASI NYUMA YAKO!!

wana laana wale!! Yaani ni SODOMI na TIGO ndio biashara kwenda mbele!!

Teh teh teh teh teh!

Halafu utasema mimi mbaya! Wakati vyombo vya habari dunia nzima vinasema hivyo!

Hizo zimekuwa nyumba za ibadaaa??
Au magereza ya KEKO na SEGEREA!!

Yaani sehemu kama hizo kweli ukizirai bahati mbaya si umeondolewa wewe!?!
 
Last edited by a moderator:
’ MaxShimba anauliza
– najiuliza 'Haram' maana yake nini!!][/COLOR]

.kwa nini nielekeze macho yangu sehemu moja?[/COLOR][/INDENT]



1. HARAM ni ILE SHUGHULI YA PADRI KUOA MWANAMME MWENZAKE !! NA KANISA LIKA KAA KIMYA NA NYIE KUPIGA VIGEREGERE!

2.NA WEWE UNAPOINGIA KWENYE HIZO NYUMBA ZENU ZA IBADA BASI UNATAKIWA UELEKEZE MACHO YAKO KWENYE MAKALIO YAKO!

LA SIKU UKIJISAHAU! UNAWEZA SHTUKIA MUCHUNGWAJI ANAENDESHA FARASI NYUMA YAKO!!

wana laana wale!! Yaani ni SODOMI na TIGO ndio biashara kwenda mbele!!

Teh teh teh teh teh!

Halafu utasema mimi mbaya! Wakati vyombo vya habari dunia nzima vinasema hivyo!

Hizo zimekuwa nyumba za ibadaaa??
Au magereza ya KEKO na SEGEREA!!

Yaani sehemu kama hizo kweli ukizirai bahati mbaya si umeondolewa wewe!?!


Haya ndio majibu ya haya maswali hapa chini??



Sura Al-Baqara 2:177


Righteousness is not that you turn your faces toward the east or the west, but [true] righteousness is [in] one who believes in Allah ...


Yaani:


Haki (mbele za Mungu) haitokani na mtu kugeukia mashariki au magharibi. Mtu mwenye haki ni yule anayemwamini Allah ...


LAKINI QURAN HIYO HIYO INASEMA:


Sura Al-Baqara 2:144


Indeed, we see you look repetedly towards heaven. We will make you turn towards a qiblah that will please you. So turn your face towards the sacred Mosque (qiblah). Wherever you are, turn your faces to it.


Yaani:


Tumekuona unavyoelekeza macho yako mbinguni tena na tena. Tutawafanya muigeukie qiblah itakayowafurahisha. Hivyo, geuzeni nyuso zenu kuelekea msikiti mtakatifu [japo quran zingine zinasema ‘towards al-Masjid al-Haram’ – najiuliza 'Haram' maana yake nini!!]

Maswali:

1. Kama aliyesema aya hizi mbili ni yuleyule; na ni Mungu wa mbinguni, inakuwaje zinapingana?
2. Kama zimetoka kwa Mungu wa mbinguni, si jambo la ajabu kuona kwamba hapendi watu waelekeze macho yake kule aliko badala yake waelekeze kwingineko?
3. Kama wewe tunayekuabudu uko juu, kwa nini hautaki tuelekeza macho yetu huko? Huu si mkanganyiko?
4. Na kama wewe ni Mungu uliye mahali KOTE, kwa nini nielekeze macho yangu sehemu moja?

Sura Al-Nisa 4:135


Believers, conduct yourselves with justice.


Yaani,


Enyi mlioamini, enendeni kwa njia ya haki.


Hapa Allah anazungumzia juu ya haki.


LAKINI ALLAH HUYO HUYO ANASEMA:


Sura Al-Nisa 4:129


In no way you can treat your wives in a just manner even though you may wish to do that...


Yaani:


Haiwezekani kamwe kwa ninyi kuwatendea haki wake zenu hata kama mngependa kufanya hivyo ...

Maswali:

1. Aya hizi zinafanana au zinapingana?
2. Kama hazipingani ni kwa vipi?


Hovyo sana wewe!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom