CREATION was only for israelites not for all human races, EVOLUTION still holds its truth !


Backward eveolution
 

Nimeupenda huu uchambuzi mkuu..

Unaleta tija na kukaribia kutoa utata kidogo! Na nimependa zaidi jinsi ulivyoelezea MUSSA alivyotunga stori kuhusu hao waisrael!!

Lakini kama stori imetungwa, ukweli upo wapi??
 

Mkuu, at least umenifafanulia jambo ambalo sikuliona kabla..

Inawezekana majini na wanadamu wakaingiliana, ndo ikawa chanzo cha race tofauti duniani!!

Kiimani juu ya hili sina tatizo sana maana hata kwenye biblia kulikuwa na wale malaika waasi walishuka duniani na kuzaa na wanawake(historia kabla ya gharika)

Lakini kiscience hali ni tete.. Wanasayansi wanaamini kuzaa ni kuweza kutengeneza kiumbe chenye kurithi na kushabihiana vinasaba(DNA and GENES) sawa na wazazi wake (member of the same speicies only can interbleed) !!

Sasa sijui hilo la upande wa pili unalionaje??
Ila nashukuru kwa kuniweka wazi juu ya uhusika wa majini katika races
 
Nimeupenda huu uchambuzi mkuu..

Unaleta tija na kukaribia kutoa utata kidogo! Na nimependa zaidi jinsi ulivyoelezea MUSSA alivyotunga stori kuhusu hao waisrael!!

Lakini kama stori imetungwa, ukweli upo wapi??


Katika jamii zote za binadamu, watu walikuwa wana namna yao ya kuabudu/miungu(dini). Kwa hiyo katika kila jamii kuna stori za namna jamii zao zilivyokuwa zinaabudu.

Kuna baadhi ya wanasayansi wanasema kwamba binadamu hawezi kukamilika bila ya kuamini uwepo wa nguvu ya ziada kumsaidia(Mungu).

Kwa sababu tu za kihistoria kuna baadhi ya dini zimekuwa dominant kuliko nyingine na kusambaa kutoka jamii zilipoanzia mpaka jamii nyingine na dini nyingine kumezwa na dini nyingine.

Katika dini la muhimu sio ukweli au uwongo uliomo/unaoongelewa ila ni imani ya wanaoifuata.
 
Dini ni about IMANI. Ukikiamini unachofundishwa na dini yako basi kikubali na ukifuate. Usipokiamini basi fuata kule kwingine unakoamini lakini bila ku criticize anachoamini mwenzio!. Kuhusu wanasayansi hao wapo duniani na theory zao ili kutimiza malengo yao ambayo ni tofauti na malengo ya washika dini. Mfano mwanasayansi anakwambia kula sana mboga za majani na matunda ili uwe na afya na uishi miaka mingi,padri au shehe atakwambia usitende dhambi ili ukaishi raha mustarehe Mbinguni. Je kama ni wewe utachagua kipi hapo? Ni dhahili utachagua kufanya vyote ili upate faida ya vyote,lakini bila kimoja kuingilia kingine!. Ndio maana una utashi wa kujua baya ni lipi na zuri ni lipi.
 

Aghalabu-maranyingi.nadra-mara chache!
 

mayahudi/wayahudi ndio walioanzisha fasihi ya kiyahudi (jewish literature), je watu wa rangi zingine hawana dini na miungu yao?
 
mayahudi/wayahudi ndio walioanzisha fasihi ya kiyahudi (jewish literature), je watu wa rangi zingine hawana dini na miungu yao?

Tukizungumzia swala zima juu ya uwepo wa dini katk dunia.. Utofauti utakuwa mkubwa sana! Ingawa katka hali ya uhalisia kuna dini zisizopungua saba na kuendelea (ninaweza kusahihishwa kama nitakuwa nimekosea)

Na kila dini moja inaelezea ama kujaribu kuelezea chimbuko lake na mwanzo wa uhai katka dunia hii pamoja na kuwepo kwa nguvu kuu kuliko zote iliyoleta ama kusababisha kila kitu!

Ukiangalia vizuri katka dini zoote hapa duniani zinatueleza kwamba zina watume ama messengers kutoka kwa mungu wao! Sasa hapo ni sisi kuamini ni wapi!!

Kwa tuliowengi barani afrika hata ulaya na marekani dini kubwa mbili uislam na ukristo umeshika maisha ya watu wengi na zote zimeelezea juu ya asili ya dunia na uumbaji wake!!

Tukirudi kwenye swala la literature ama fasihi ya kiyahudi sipingani na wewe! Siku zote muasisi wa literature husika ni mtu husika mwenyewe,
Na ni wayahudi hao hao ndo waliotuandikia juu ya uasili wa uyahudi! Na ho hao wakatuambia uumbaji ulikuaje na wao walikujaje na wakawaje duniani!!

Naamini nimekujibu kwa kiasi mkuu
 

Nachoelewa Israel imekuja kuteuliwa baadaye sana baada ya gharika kama baraka za baba yao Ibrahimu//, isaka na Jacob (isarel)
kwa Imani aliyoonyesha ya kumtii mungu kipindi kile cha Sodoma na Ghomora wakati ambao mataifa walifanya maasi na kutambika kwa kuua watoto wao. pAZIA La hekalulikapasuka ndipo mataifa mlipopata kuwa na kibali sawa na waliomkataa YESU mpakaleo israel.;
 

Ukisoma biblia kwa makini utaona kuwa watu wakati ule waliishi miaka zaidi ya mia nane hivyo mtu mwenye miaka mia saba anaweza kuwa na watoto wangapi-Kaini na hABILI,
Israel ni kati ya uzao wa Ham, yafeth na shem na hata mataifa mengine baada ya gharika,,
israel aliteuliwa kwa imani yake utiii, ibrahim,
mataifa mengine pia sasa yameteuliwa kama israel kwa damu,
siku sita za uumbaji zinadhihiisha uwepo wa wanyama kabla ya binadamu,
 

Labda mimi sikuelewa vizuri juu ya uhalisia wa biblia.

Ila ninachojua na kufahamu.. Vitabu vyote kuanzia mwanzo mpaka ufunuo wa yohana, biblia imeakisi maisha ya wayahudi/israel katka nyanja mbali mbali na jinsi walivyoweza kuchanganyika na watu wa jamii nyingine..

Ama wewe unalionaje hilo??
 

THE VERY PEOPLE WHO WAS CURSED BY ALLAH IS LIKE THESE ONES! WHO KILL AND PUNISHED INNOCENT PEOPLE FOR NO LEGITIMATE REASONS! !

On the Evil of Biblical Law

Ezekiel-20:25-26I
also gave them over to statutes that were not good and laws they could not live by; I let them become defiled through their gifts—
the sacrifice of every firstborn—
that I might fill them with horror so they would know that I am the LORD.

On Slavery & Subjugation of Women

Ephesians-5:22-24
Wives, submit to your husbands as to the Lord. For the husband is the head of the wife as Christ is the head of the church, his body, of which he is the Savior.
Now as the church submits to Christ, so also wives should submit to their husbands in everything

Exodus-21:20-21
If a man beats his male or female slave with a rod and the slave dies as a direct result, he must be punished, but he is not to be punished if the slave gets up after a day or two, since the slave is his property.

1 Peter-2:13
Submit yourselves for the Lord’s sake to every authority instituted among men.

2:18 Slaves, submit yourselves to your masters with all respect, not only to those who are good and considerate, but also to those who are harsh

.Leviticus-25:44-45
Your male and female slaves are to come from the nations around you; from them you may buy slaves. You may also buy some of the temporary residents living among you and members of their clans born in your country, and they will become your property.

THAT IS YOUR BIBLE !

IT MAKES ME FEELS LIKE PUKE!!
 
Bogus reply
 
Bogus reply

THIS IS BIBLE MISS!

On the Evil of Biblical Law

Ezekiel-20:25-26I
also gave them over to statutes that were not good and laws they could not live by; I let them become defiled through their gifts-
the sacrifice of every firstborn-
that I might fill them with horror so they would know that I am the LORD.

On Slavery & Subjugation of Women

Ephesians-5:22-24
Wives, submit to your husbands as to the Lord. For the husband is the head of the wife as Christ is the head of the church, his body, of which he is the Savior.
Now as the church submits to Christ, so also wives should submit to their husbands in everything


Exodus-21:20-21
If a man beats his male or female slave with a rod and the slave dies as a direct result, he must be punished, but he is not to be punished if the slave gets up after a day or two, since the slave is his property.

1 Peter-2:13
Submit yourselves for the Lord's sake to every authority instituted among men.

2:18 Slaves, submit yourselves to your masters with all respect, not only to those who are good and considerate, but also to those who are harsh

.Leviticus-25:44-45
Your male and female slaves are to come from the nations around you; from them you may buy slaves. You may also buy some of the temporary residents living among you and members of their clans born in your country, and they will become your property.

THAT IS YOUR BIBLE ! PATHETIC EVIL RELIGION!!
 
THIS IS BIBLE MISS!

On the Evil of Biblical Law
!!
[h=3]Sura Al-Nahl 16:28[/h]


The angels will say to those whom they cause to die in purity, ‘Peace be on you.' Come into paradise for what you did.


Yaani:


[Kuhusu wale wanaoingia mbinguni] – Malaika watasema kwa wale ambao watawafanya wafe katika usafi (utakatifu), ‘Amani na iwe juu yenu. Ingieni paradiso kutokana na matendo yenu.'




LAKINI, QURAN HIYO HIYO INASEMA:




Sura Al-Hijr 15:45-47


Indeed, the righteous will be within gardens and springs, [Having been told], "Enter it in peace, safe [and secure]." And We will remove whatever is in their breasts of resentment, [so they will be] brothers, on thrones facing each other.


Yaani:


Wenye haki (watakatifu) watakaa kwenye bustani na chemchemi za maji, kwa amani na usalama wataingia humo. Nasi tutaondoa chuki yote ndani ya mioyo yao.


Maswali:


1. Katika 16:28, inaonekana kwamba watakaiongia peponi ni watu walio safi kwa sababu malaika wamesababisha watu hao wafe wakiwa safi. Lakini 15:45-47 inaonyesha kuwa wataingia peponi wakiwa na chuki mioyoni mwao. Je, chuki ni sehemu ya usafi?
2. Je, aya hizi zimetoka kwa mtoaji yule yule?
3. Kama chuki ni mbaya kiasi cha kuhitajika kuondolewa mioyoni mwa Waislamu wanaoingia peponi, iweje wakiwa duniani wanaagizwa kuwachukia wale wasio Waislamu (kama tulivyoona kwenye 4:101)?

 

THAT IS YOUR BIBLE ! PATHETIC EVIL RELIGION!!

[h=3]Sura Al-Nisa 4:135[/h]


Believers, conduct yourselves with justice.


Yaani,


Enyi mlioamini, enendeni kwa njia ya haki.


Hapa Allah anazungumzia juu ya haki.


LAKINI ALLAH HUYO HUYO ANASEMA:


Sura Al-Nisa 4:129


In no way you can treat your wives in a just manner even though you may wish to do that...


Yaani:


Haiwezekani kamwe kwa ninyi kuwatendea haki wake zenu hata kama mngependa kufanya hivyo ...


Maswali:


1. Aya hizi zinafanana au zinapingana?
2. Kama hazipingani ni kwa vipi?


 
THIS IS PATHETIC EVIL RELIGION!!
[h=3]Sura Al-Baqara 2:177[/h]


Righteousness is not that you turn your faces toward the east or the west, but [true] righteousness is [in] one who believes in Allah ...


Yaani:


Haki (mbele za Mungu) haitokani na mtu kugeukia mashariki au magharibi. Mtu mwenye haki ni yule anayemwamini Allah ...


LAKINI QURAN HIYO HIYO INASEMA:


Sura Al-Baqara 2:144


Indeed, we see you look repetedly towards heaven. We will make you turn towards a qiblah that will please you. So turn your face towards the sacred Mosque (qiblah). Wherever you are, turn your faces to it.


Yaani:


Tumekuona unavyoelekeza macho yako mbinguni tena na tena. Tutawafanya muigeukie qiblah itakayowafurahisha. Hivyo, geuzeni nyuso zenu kuelekea msikiti mtakatifu [japo quran zingine zinasema ‘towards al-Masjid al-Haram' – najiuliza 'Haram' maana yake nini!!]


Maswali:


1. Kama aliyesema aya hizi mbili ni yuleyule; na ni Mungu wa mbinguni, inakuwaje zinapingana?
2. Kama zimetoka kwa Mungu wa mbinguni, si jambo la ajabu kuona kwamba hapendi watu waelekeze macho yake kule aliko badala yake waelekeze kwingineko?
3. Kama wewe tunayekuabudu uko juu, kwa nini hautaki tuelekeza macho yetu huko? Huu si mkanganyiko?
4. Na kama wewe ni Mungu uliye mahali KOTE, kwa nini nielekeze macho yangu sehemu moja?
 
’ MaxShimba anauliza
– najiuliza 'Haram' maana yake nini!!][/COLOR]

.kwa nini nielekeze macho yangu sehemu moja?[/COLOR][/INDENT][/QUOTE]



1. HARAM ni ILE SHUGHULI YA PADRI KUOA MWANAMME MWENZAKE !! NA KANISA LIKA KAA KIMYA NA NYIE KUPIGA VIGEREGERE!

2.NA WEWE UNAPOINGIA KWENYE HIZO NYUMBA ZENU ZA IBADA BASI UNATAKIWA UELEKEZE MACHO YAKO KWENYE MAKALIO YAKO!

LA SIKU UKIJISAHAU! UNAWEZA SHTUKIA MUCHUNGWAJI ANAENDESHA FARASI NYUMA YAKO!!

wana laana wale!! Yaani ni SODOMI na TIGO ndio biashara kwenda mbele!!

Teh teh teh teh teh!

Halafu utasema mimi mbaya! Wakati vyombo vya habari dunia nzima vinasema hivyo!

Hizo zimekuwa nyumba za ibadaaa??
Au magereza ya KEKO na SEGEREA!!

Yaani sehemu kama hizo kweli ukizirai bahati mbaya si umeondolewa wewe!?!
 
Last edited by a moderator:
’ MaxShimba anauliza
– najiuliza 'Haram' maana yake nini!!][/COLOR]

.kwa nini nielekeze macho yangu sehemu moja?[/COLOR][/INDENT]





Haya ndio majibu ya haya maswali hapa chini??






Hovyo sana wewe!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…