Cristiano Ronaldo anasubiria nini kustaafu? Au hadi aanze kuzomewa uwanjani ndio atakubali

Cristiano Ronaldo anasubiria nini kustaafu? Au hadi aanze kuzomewa uwanjani ndio atakubali

1579499351560.gif
 
Perez hakuwa mjinga kumruhusu aondoke pale Madrid,Cr7 kiwango chake kimeanza kushuka toka akiwa Madrid ila ubora wa viungo pale ulifanya ubovu wa cr7 usionekane hasa kwa wale mashabiki maandazi,Na kwa mwendo wa pale juve naona kabisa Cr7 atawakosesha vitu vingi,Huyu jamaa kachoka vibaya ila anaforce.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bongo nyoso
 
Perez hakuwa mjinga kumruhusu aondoke pale Madrid,Cr7 kiwango chake kimeanza kushuka toka akiwa Madrid ila ubora wa viungo pale ulifanya ubovu wa cr7 usionekane hasa kwa wale mashabiki maandazi,Na kwa mwendo wa pale juve naona kabisa Cr7 atawakosesha vitu vingi,Huyu jamaa kachoka vibaya ila anaforce.
Timu nzima ikoseshwe vitu vingi na mtu mmoja naona unatumia sana hisia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyu Ronaldo ndo mseme amekuaje hebu acheni majungu sifa zake mpeni sio kuleta mambo ya ajabu
 
Ubishi wa CR7 naupenda sana,pambana na jambo mpaka mwisho,roho inamuuma anajua hapati ila utashangaa ameibuka na kupambana kwa nguvu mpaka anarudi
Umenena vyema mkuu.... Yule jamaa ni mpambanaji sana koz hadi kufika pale kapambana sana tofauti na ile experiment walio iongezea kimo na kumpigilia misumari katika club moja tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wewe unaangalia mechi za Barcelona au Argentina?

Au nafanya convo na MTU asiyejua hata mpira!

Barcelona ndio inamtegemea Messi ...uchezaji wa messi kwa 98% ndio unachangia matokeo chanya kwa timu yake na timu ya Taifa

Kwahiyo usije ukaleta story za vijiweni hapa
Duh.... We jamaa ni mbishi aisee... yawezekana unatokea kigoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom