Cristiano Ronaldo anasubiria nini kustaafu? Au hadi aanze kuzomewa uwanjani ndio atakubali

Cristiano Ronaldo anasubiria nini kustaafu? Au hadi aanze kuzomewa uwanjani ndio atakubali

Muwe mnafatilia mpira mkuu sio mnasoma tu kwenye magazeti

Huyu Rinaldo ameisha

Hizo za kusema anamfupa wa miaka 22 ni siasa za kwenye mpira ili asishuke thamani


Misimu muwili ya mwisho akiwa real Madrid alishaanza kujichokea

Ameenda kufia juventus km anaakili aindoke ulaya akavune pesa sehemu nyengine
Jamaa achana na CR7 yule mifupa yake nikama ana miaka 22, kufunga ama kutofunga ni kawaida na nikipind cha mpito tu
 
Nilimskia ktk mahojiano anasema anataka kustaafu akiwa na miakaa 40

Nikasema labda aende India au China

Ila amechoka sana
Ameshajua upepo unaendaje
Screenshot_20191202-205806_Twitter.jpeg
 
Mimi sina ushabiki wa MTU .mimi ni shabiki wa mpira ...

Tambua tu Messi ni kiumbe hatari kuwahi kutokea kwenye mpira. Amewaacha mbali wachezaji wenzake

Kama huna ushabiki kwa nini umlinganishe na andunje?
Kwani ukimuongelea cr7 ni lazima umtaje anduje..?
... andunje sifa anazopewa sidhani kama zinastahili kama angeenda ligi nyingine!
 
Kama huna ushabiki kwa nini umlinganishe na andunje?
Kwani ukimuongelea cr7 ni lazima umtaje anduje..?
... andunje sifa anazopewa sidhani kama zinastahili kama angeenda ligi nyingine!
Pele alicheza ligi gani zingine hadi unamkubali,? Utasikia fanya ka Pele
 
Kama huna ushabiki kwa nini umlinganishe na andunje?
Kwani ukimuongelea cr7 ni lazima umtaje anduje..?
... andunje sifa anazopewa sidhani kama zinastahili kama angeenda ligi nyingine!
Hivyo vilabu vya ligi tajwa anakutana nao UEFA na bado anawafunga kama kawaida.
 
Ubishi wa CR7 naupenda sana,pambana na jambo mpaka mwisho,roho inamuuma anajua hapati ila utashangaa ameibuka na kupambana kwa nguvu mpaka anarudi
 
Mimi sina ushabiki wa MTU .mimi ni shabiki wa mpira ...

Tambua tu Messi ni kiumbe hatari kuwahi kutokea kwenye mpira. Amewaacha mbali wachezaji wenzake
World cup vipi???wachezaji wote wakubwa wamecheza timu tofauti kwa nini kanakazana Barcelona tu..wachezaji wote Barca wanakuwa watumwa wake ...
 
Tunaendelea tu kunyakua matuzo, uchawi baki nao bongo
Screenshot_20191203-081615.jpeg
 
Messi amekutana na timu zote bora dunuani na amezinyoosha
Sasa kuna haja ya kuhama?
World cup vipi???wachezaji wote wakubwa wamecheza timu tofauti kwa nini kanakazana Barcelona tu..wachezaji wote Barca wanakuwa watumwa wake ...
 
Back
Top Bottom