Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145


Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.

Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?

Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.

Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
 
Juzi tu katoka kuwaonyesheni libolo lake, anacheza tu akili zenu mazezeta.
 


mwenzako yuko kibiashara kuridhisha mashabiki. endelea kulia lia kujifanya mfia dini.

wewe ni mdini sanaa. huna tofauti na yulee mzee mohamed said, nakuwa na wasi wasi na wewe ata kujitoa muhanga na mabomu unaweza.
 
Sawa mama watch 100 tumekuelewa, ila tunaomba miradi ya kimkakati iishe kwa wakati [emoji120]
 
Kusujudu sio kwa waislam mpekee.
 
mwenzako yuko kibiashara kuridhisha mashabiki. endelea kulia lia kujifanya mfia dini.

wewe ni mdini sanaa. huna tofauti na yulee mzee mohamed said, nakuwa na wasi wasi na wewe ata kujitoa muhanga na mabomu unaweza.
Unaonesha hii habari ya Ronaldo imekufurahisha sana. Au siyo?
 
Mambo yasiwe mengi

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…