Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

Siyo Imani,neno shetani ni neno la kiarabu..ushetani ni Hali,ulipomtongoza yule dada ukazini wewe ulikua shetani
Usinichoshe
Screenshot_2023-05-27-23-00-02-178_org.blueletterbible.blb.jpg
Picsart_23-05-27_23-12-15-382.jpg
 
View attachment 2633895

Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.

Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?

Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.

Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
Takhbiiiiiirrrrr !!! wiki ijayo atasilimu
 
Aliyemdanganya Adam na Eva/hawa ni ibilisi,kitendo alichofanya ni usshetani,ambao hata wewe hufanya..ulichoweka hakikanushi hilo
Jifunze kutafakari mambo, usiwe unakariri tu. Mungu yupo na siku zote ni mmoja tu, lakini HILO SIO JINA, ni sifa ambayo anayo Yeye tu. Mwanadamu akitenda kwa kujiona kama Mungu huitwa MUNGU MTU!! Shetani ametajwa kuwa MUNGU WA DUNIA HII!

Ndivyo ilivyo kwa shetani, mwanadamu akitenda mambo ya kishetani (sifa za shetani) huitwa shetani. Hiyo haindoi ukweli kwamba shetani yupo.
ibilisi Kiingereza ni "the devil" ambapo hata mwanadamu akitenda yaliyo sawa na ibilisi huitwa hivyo pia. Kwa hiyo hizo ni sifa, ibilisi, shetani. Au hukupata kusoma methali IBILISI MBAYA KIATU CHAKE DAWA? Unadhani inamwongelea shetani?

NNajua imani yako imekufundisha kuwa Ibilisi ni jina halisi, lakini hata kamusi tu za kawaida zinakukataa.
 
Jifunze kutafakari mambo, usiwe unakariri tu. Mungu yupo na siku zote ni mmoja tu, lakini HILO SIO JINA, ni sifa ambayo anayo Yeye tu. Mwanadamu akitenda kwa kujiona kama Mungu huitwa MUNGU MTU!! Shetani ametajwa kuwa MUNGU WA DUNIA HII!

Ndivyo ilivyo kwa shetani, mwanadamu akitenda mambo ya kishetani (sifa za shetani) huitwa shetani. Hiyo haindoi ukweli kwamba shetani yupo.
ibilisi Kiingereza ni "the devil" ambapo hata mwanadamu akitenda yaliyo sawa na ibilisi huitwa hivyo pia. Kwa hiyo hizo ni sifa, ibilisi, shetani. Au hukupata kusoma methali IBILISI MBAYA KIATU CHAKE DAWA? Unadhani inamwongelea shetani?

NNajua imani yako imekufundisha kuwa Ibilisi ni jina halisi, lakini hata kamusi tu za kawaida zinakukataa.
Una kichwa kigumi Sana na ujuvi
 
Awe Ronaldo anaekti iwe kweli ni kwamba mwamba amesujudu kwa akili yake timamu Ina maana kuna dini ya kweli ndani ya Moyo wake!

Mtu huwezi kuigiza mambo ya dini ingine kirahisi labda Ile staili yetu ya kwenda church kusali kabisa kumbe unafukuzia tu demu mkali mwanakwaya!
 
Kuna bingwa wa zamani wa kickboxing anaitwa Andrew Tate juzi juzi Kaiona nuru ya Uislam.

Umeipata hiyo?

Andrew Tate ashtakiwa kwa ubakaji na biashara ya kusafirisha binadamu​

Mshawishi wa mitandao ya kijamii mwenye utata Andrew Tateameshtakiwa nchini Romania kwa ubakaji, ulanguzi wa binadamu na kuunda kikundicha uhalifu uliopangwa ili kuwadhulumu wanawake kingono.
Kaka yake Tristan na washirika wake wawili piawameshtakiwa. Wote wamekanusha madai hayo.

Akina Tate walikamatwa kwa mara ya kwanza nyumbani kwaoBucharest mnamo 2022.

Mnamo tarehe 31 Machi, walihamishwa kutoka kizuizini hadikizuizi cha nyumbani kufuatia uamuzi wa hakimu wa Romania.

Shtaka lililowekwa katika mahakama ya Bucharest linasemakuwa washtakiwa hao wanne waliunda kundi la uhalifu lililopangwa mwaka 2021kufanya biashara ya binadamu nchini Romania, lakini pia katika nchi nyinginezikiwemo Marekani na Uingereza.
 
View attachment 2633895

Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.

Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?

Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.

Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
The high level ya kuonyesha respect ,na kushukuru ni kusujudu. Hii ni natural way mtu aweza kuonyesha to all might..
 
View attachment 2633895

Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.

Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?

Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.

Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
Ronaldo akisilimu inakusaidia nn mtu wa nachingwea Lindi huko?
 
Back
Top Bottom