Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

Mwisho wa siku waislam utaonekana ni mapoyoyo, kipi special saana kwa cr7 kuslimu, kwanza sidhani kama kasujudu na hata akisujudu na kuslimu kabisa, kipi cha ajabu!?
Unakuta ubishani mtaani pogba muislam, haya uislamu wake umekusaidia nini wewe wa samvulachore, uislamu wake umesaidia nini uislamu.

Ooh.. Tanzania inabebwa na waislam, sijui diamond, Ali Kiba waislam, kipi cha ajabu, na wana mchango gani haswa kwenye uislamu.

Waislam tusiwe kama mapoyoyo.
 
Watakan....kata!!!

Ewe mfia dini, mfuasi wa Mwamedi naona unajipa moyo[emoji23][emoji23][emoji23]

Ronaldo ni mjanja na hapo target yake ni fweza tu...wewe endelea kutawadha tu
 
Watakan....kata!!!

Ewe mfia dini, mfuasi wa Mwamedi naona unajipa moyo[emoji23][emoji23][emoji23]

Ronaldo ni mjanja na hapo target yake ni fweza tu...wewe endelea kutawadha tu
Sijui itakuaje mo Salah akifunga goli Kisha akafanya ishara ya msalaba!
 
Hawa wapuuzi hawanipi saida. Nawajua vyema maana nami nilikuwa hukohuko kwenye upuuzi
Eti kusujudu kimoyomoyo..na unanadi umekimbia upuuzi(uislam)..mbona una-sound kipuuzi zaidi!!...kwa hiyo siku hizi unapiga goti kuliomba sanamu walochonga wenzako kwa mikono yao na unaona siyo upuuzi,siyo!?..unamuabudu fundi seremala ambaye huna uhakika Kama ni Mungu au laa Ila unamuomba yeye...na bado unaamini umekimbia upuuzi umeenda kusiko upuuzi!?..ni heri puuzi moja limetoka kwenye uislam
 
Kumbuka tu, mbora miongoni mwetu ni mcha Mungu.
nikifika kule itabidi niombe faiza focy awe miongoni mwa wale mabikra 72 nitakaopewa maana daaah nmekaa msikitin miaka yote mpaka paji limegeuka jeusi kwa kusujudu
 
nikifika kule itabidi niombe faiza focy awe miongoni mwa wale mabikra 72 nitakaopewa maana daaah nmekaa msikitin miaka yote mpaka paji limegeuka jeusi kwa kusujudu
Hakuna anaemsujudia Muumba wake akaongea upuuzi kama wewe.

Tena hao ni namba tu hiyo , peponi raha zake fikra zetu hazijawahi kuzifikiria.

Tiketi ya kufika peponi ni wepesi sana sana kuipata, ni kujisalimisha kwa Muumba wako na kuwacha kuwa mshirikina.
 
Hakuna anaemsujudia Muumba wake akaongea upuuzi kama wewe.

Tena hao ni namba tu hiyo , peponi raha zake fikra zetu hazijawahi kuzifikiria.

Tiketi ya kufika peponi ni wepesi sana sana kuipata, ni kujisalimisha kwa Muumba wako na kuwacha kuwa mshirikina.
mm ndo nishasema lazma nikutafute tukifika pepon nikutongeze uwe miongon mwao hata kama bikra itakuwa haijarudishwa
 
View attachment 2633895

Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.

Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?

Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.

Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
Ukiwa Roma ishi kama Warumi ...
 
mm ndo nishasema lazma nikutafute tukifika pepon nikutongeze uwe miongon mwao hata kama bikra itakuwa haijarudishwa
Mwenyezi Mungu akujaalie uanze kujusalimisha kwake hapa duniani.
 
Eti kusujudu kimoyomoyo..na unanadi umekimbia upuuzi(uislam)..mbona una-sound kipuuzi zaidi!!...kwa hiyo siku hizi unapiga goti kuliomba sanamu walochonga wenzako kwa mikono yao na unaona siyo upuuzi,siyo!?..unamuabudu fundi seremala ambaye huna uhakika Kama ni Mungu au laa Ila unamuomba yeye...na bado unaamini umekimbia upuuzi umeenda kusiko upuuzi!?..ni heri puuzi moja limetoka kwenye uislam
Kwa taarifa yako mimi sivai sanamu, siamini sanamu ya kuchonga, ya kusubu au sanamu ya kuchora.
Njoo kwa Yesu akutoe hayo maruhani uwe huru
 
Kama wewe utakavyokabidhiwa wanaume 70 ukienda peponi


Hakuna kukabidhiwa huko, huko ni kufikiria tu utakacho kinakuwa, kun fa yakun.

Nani alikudanganyana kuna kukabidhiana huko?

Au wewe ni wale wanaoungama kwa binaadam wenzao, wajinga ndiyo waliwao?
 
Kwa taarifa yako mimi sivai sanamu, siamini sanamu ya kuchonga, ya kusubu au sanamu ya kuchora.
Njoo kwa Yesu akutoe hayo maruhani uwe huru
Mimi namuabudu aliyemtuma yesu,yule ambaye yesu akimuomba Mara kwa Mara mambo yalipokua magumu..'baba ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke'..'baba wasamehe hawajui walitendalo'.. Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha
 
Hakuna kukabidhiwa huko, huko ni kufikiria tu utakacho kinakuwa, kun fa yakun.

Nani alikudanganyana kuna kukabidhiana huko?

Au wewe ni wale wanaoungama kwa binaadam wenzao, wajinga ndiyo waliwao?
Mbinguni hakuna biashara ya kut*mbana, kama hujamaliza nyege zako hapa duniani. Sahau hizo story
 
Back
Top Bottom