Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu angalia series za South Korea uone wanavyosujudu, halafu Uislamu umekuja juzi tu, Kwahiyo waislamu mmewaiga Wakorea?View attachment 2633895
Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.
Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?
Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
Mzungu sio mbongo, hawanaga unafiki kisa pesa.Mzungu sio mwenzako ni anacheza tu na akili za waarabu kula zaidi pesa zao
Cc FaizaFoxyKusujudu ni utamaduni wa kawaida wa kiarabu, hata wabagani wa kiarabu husujudu, waarabu wengine wengi husujudu wakipewa pombe nk.
Unamsujudiaje mwenyezi mungu ukiwa kwenye mchezo wa kikafir kama mpira?
Unamsujudiaje Allah ukiwa umevaa bukta na mabaja yakionekana?
Jamani embu tuacheni kuchafua imani za watu.
Sasa isingekuwa kisa pesa angeenda kucheza mpira Soudi Arabia? Au hajafata pesa kule?Mzungu sio mbongo, hawanaga unafiki kisa pesa.
Walimtaka aombe radhi hadharani kwa kushika nyeti zake akagoma, mashabiki wakafura. Hii ndiyo radhi anaomba hivyoKama usemayo ni kweli huoni kuwa kajirekebisha kwa vitendo? Hongera kwake.
Hiyo ni kazi yake haitaji kusujudu ili apate pesa. Anajua kwanini kafanya hivyo ila sio kwa lengo la kupata pesa.Sasa isingekuwa kisa pesa angeenda kucheza mpira Soudi Arabia? Au hajafata pesa kule?
Imani zimekufanyeni kua wajinga sana, kusujudu hata mkristo anaweza kusujudu, ni ishara tu ya unyenyekevu kwa MUNGU, watoto wa mjomba mnaigeuza kua ni imaniView attachment 2633895
Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.
Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?
Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
Never ,ingawa yesu alikuwa akisali kwa kusujudu, wakristo kazi yao kuimba tu nipo hapa kwenye bus zambia huyu sijui ndio mchungaji anaimba tu na kurusha mate na kuwadanganya kuwatabiria ,hawa jamaa wapo nyuma sanaKwamba Wakristo huwa hawasujudu?
Kama unajua ni unyenyekevu kwa mungu inakuwaje ukienda kusali huwa usujudu unaishia kupiga sebene kila jumapiliImani zimekufanyeni kua wajinga sana, kusujudu hata mkristo anaweza kusujudu, ni ishara tu ya unyenyekevu kwa MUNGU, watoto wa mjomba mnaigeuza kua ni imani
Mreno na uislamu wapi na wapiView attachment 2633895
Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.
Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?
Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
Kusujudu ni utamaduni wa kawaida wa kiarabu, hata wabagani wa kiarabu husujudu, waarabu wengine wengi husujudu wakipewa pombe nk.
Unamsujudiaje mwenyezi mungu ukiwa kwenye mchezo wa kikafir kama mpira?
Unamsujudiaje Allah ukiwa umevaa bukta na mabaja yakionekana?
Jamani embu tuacheni kuchafua imani za watu.
FaizaFoxy Kwani wakristo hawamsujudu Mungu wao??View attachment 2633895
Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.
Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?
Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
Usimzushie mtu kitu ambacho huna uhakika nacho hata mungu hapendiHatutaki mashoga kwenye dini yetu,huyo mwamba analiwa mattercle