Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

Naskia yupo msikitini muda huu anasilimishwa, unamzawadia nini wewe mana anaonekana ameugusa sana moyo wako?
 
inanikumbusha watu kama

1. MICHAEL JACKSON

2. MIKE TYSON

3.

4.

5.
Michael Jackson aliundiwa conspiracy theories kuwa alisilimu.

Waislamu wanapenda kuona mastaa wana silimu hali iliyopelekea kutengeneza habari za uongo
 
1684999778670.png
MIKE AKIWA NA SHAMBA LAKE LA BANGI
 
.
Naskia yupo msikitini muda huu anasilimishwa, unamzawadia nini wewe mana anaonekana ameugusa sana moyo wako?
Ukisilim zawadi anayokupa Allah hakuna ya mwanadam inayoweza kufikia hata chembe chake.
 
Michael Jackson aliundiwa conspiracy theories kuwa alisilimu.

Waislamu wanapenda kuona mastaa wana silimu hali iliyopelekea kutengeneza habari za uongo
Kuna bingwa wa zamani wa kickboxing anaitwa Andrew Tate juzi juzi Kaiona nuru ya Uislam.

Umeipata hiyo?
 
Kuna bingwa wa zamani wa kickboxing anaitwa Andrew Tate juzi juzi Kaiona nuru ya Uislam.

Umeipata hiyo?
sahizi uislam sio matendo ni jina tu sasa tate ameongeza nini kwenye uislam
 
Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.
😆😆😆 Nilikua sijui kumbe ile style ya kushangilia ni style ya msalaba
 
Hii ya kusujudu ni kwa wanadamu wote bila kujali dini yao.
Ila sisi Wakristo tunafanya kwa moyomoyo kuliko kufanya kwa vitendo zaidi ambako ndani yake kuna unafiki.
Limtu linasujudu huku ndani kamweka mwanae ndondocha. Li mtu linasujudu huku mfukoni ana majini.
Nitajie kiongozi wa dini ya mudi ambaye si mchawi nikate bakora yangu nisizae tena
 
Back
Top Bottom