Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆 Kwa hio Ronaldo kajisalimisha kwa Allah kwa vitendoAnhaa, leo umejuwa na umejuwa style ya kushangilia kwa kusujudu ni kujisalimisha kwa Allah kwa vitendo.
Haramu ndio inakuaje Shangazi au kuoa mke mmoja ni haramu ?Safi sana, kaacha kufanya haramu.
Faiza hujamuona Alhaji akivuta🤣🤣🤣🤣 Kwanza yule ni memba wa magenge ya kihuni ya Crips ila sijajua yupo branch ipi na kuvuta bangi kwao ni ibada.Mpaka akiwa anahojiwa na waandishi wa habari au watangazaji wa redio waga anavuta live...Au wewe hujawahi kuona???Sijamuona mimi akivuta, nnachofahamu kawekeza kwenye kilimo cha bangi na wateja wake ni makampuni ya kutengeneza madawa.
Alikamatwa , ana kesi nzitoSafi sana, kaacha kufanya haramu.
View attachment 2633895
Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.
Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?
Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
Kwamba akisilimu atakuwa amepata faida gani,em weka faida za mtu kusilimu.Lazima asilimu
Hiyo nimeipata, vipi na waislamu ambao wameuacha uislamu list yake umeipata?Kuna bingwa wa zamani wa kickboxing anaitwa Andrew Tate juzi juzi Kaiona nuru ya Uislam.
Umeipata hiyo?
Bibi unatupanga afu nilijua una fact kumbe mihemuko ya kidini na ushabiki usio na tija za ukweli.Asiye na macho haambiwi tazama.
Faida zipo nyingi ikiwemo kukombolewa kirohoKwamba akisilimu atakuwa amepata faida gani,em weka faida za mtu kusilimu.
Hili swali hawezi kukujibu....Mimi maswali yangu yoote ya msingi kayakwepaHiyo nimeipata, vipi na waislamu ambao wameuacha uislamu list yake umeipata?
Huyu alivyosilimu akkanza kumuiga muhammad , kufanya biashara ya utumwa na ubakajiSafi sana, kaacha kufanya haramu.
Kukombolewa kiroho kivipi?????? Maana mimi uislamu naona ni tamaduni ya kiarabu tu na kila napouliza sipati jibu mkuu..Faida zipo nyingi ikiwemo kukombolewa kiroho
Na nani?Faida zipo nyingi ikiwemo kukombolewa kiroho
Muhuni tu yule anauza wanawake online na anaproduce porn videos.Controversial influencer Andrew Tate and his brother were released on Friday, March 31, after three months detention in Romania and moved to house arrest while they are investigated for alleged human trafficking and rape.
Tate, a British-American former kickboxer with millions of online followers, along with his younger brother and two Romanian women, are under investigation for allegedly "forming an organized criminal group, human trafficking and rape".
Hapana, hana kesi na wala hana tuhuma, dhetia za nchi aliyopo zinaruhusu kuwekwa ndani wakati unachunguzwa mpaka mwendesha madhtaja aseme unstuhuna za kujibu ndiyo unatuhumumiwa, akisema hauna la kujibu ndiyo imetoka hiyo. Tena wana muda maalum wa uchunguzi.Alikamatwa , ana kesi nzito
mpe pole sababu alikaa karibu na ua waridi lakn hakunukia.amepata hasara ndo maana nakwambia umpe pole.sijawah kufika saudia.mimi ni muislam wa kuzaliwa mpaka kufaWewe umekaa Saudia sehemu gani???? I mean province ipi na mji upi?????? Afu sijakuelewa nimpe mshua pole ya nini kwani anaumwa au??????