Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

وَرَأَيْتَ ٱلنَّاسَ يَدْخُلُونَ فِى دِينِ ٱللَّهِ أَفْوَاجًا
 
Hapana, hana kesi na wala hana tuhuma, dhetia za nchi aliyopo zinaruhusu kuwekwa ndani wakati unachunguzwa mpaka mwendesha madhtaja aseme unstuhuna za kujibu ndiyo unatuhumumiwa, akisema hauna la kujibu ndiyo imetoka hiyo. Tena wana muda maalum wa uchunguzi.

Naifatilia sana mienendo yake. Hivi sasa yupo house arrest, anakula bata kama kawaida.
Vp unajua biashara yake ya ngono online na kuunganisha watu na prostitute,s?????? Hivi zile ndio bata alizokua anafanya pale Romania????
 
View attachment 2633895

Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.

Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?

Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.

Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.

Kusujudu hata kwa Mkristo ni sawa, Mungu anapaswa kusujudiwa
 
Bibi Faiza kwahiyo nyie waarabu na dini ya kiislamu wanawake ni zawadi mnamzawadia mtu yoyote????? Kwahiyo gangster MBS (Crown prince of Saud royal family) atamzawadia Christ mdogo wake alale nae?????
Hayo yako unajitungia tu, ni fikra zako za kijinga tu.

Uislam ukipewa zawadi ya binti ni mke, siyo kahaba.

Halafu usishangae hilo, hata mkuu wa Kanisa la Kikoptik alimzawadia mtume Muhammad, salla Allahu alayhi wasalaam, binti mbichi, Bi Maria AlKibtiya, akawa mkewe na AlhamduliLlah akajaaliwa nae mtoto anaitwa Ibrahim.

Nawashangaa mnaojiita wakristo sasa hivi msioelewa maana ya Uislam.
 
Mzungu sio mbongo, hawanaga unafiki kisa pesa.
Messi alifuata Nini Saudi bila ruhusa kwa management ya PSG na alifanya makusudi akitambua ni kosa,na alivyorudi akapigwa suspension ya mechi kadhaa,na Kisha akajirecord anaomba msamaha,ule si unafiki alifanya,bro usikalili Kila kitu kizuri ni Cha mzungu,wazungu ni kama sisi tu
 
Mathayo 26 : 39 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Bwana Yesu hakuwa Muislamu ila alisujudu.

Mwanzo 17 : 3 Abramu akaanguka kifudifudi. Mungu akamwambia, akasema,

Ibrahim hakuwa Muislamu

Christiano anamtumikia ... .. nani vile ili apate mradi wake
 
Kweli mzungu si mwenzangu, isipokuwa hivi sasa tunaona kumekuwa na "trend" ya wazungu wengi kusilim duniani. Tunaomba In shaa Allah soon tushuhudie Ronaldo akisilim.
Sister dini inakuchanganya achana nayo😀😀
 
Mathayo 26 : 39 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Bwana Yesu hakuwa Muislamu ila alisujudu.

Mwanzo 17 : 3 Abramu akaanguka kifudifudi. Mungu akamwambia, akasema,

Ibrahim hakuwa Muislamu

Christiano anamtumikia ... .. nani vile ili apate mradi wake
Ronaldo na Messi wameshapagawa na pesa za wasaudi😀😀na soon Messi anaenda kucheza Saudi,ni alikuwa anatafuta sababu ya kuondoka PSG,juzi tu Ronaldo kawatukana mashabiki kwa ishara ya wanagongwa😀😀 Leo anainama kushangilia goli halafu mtu anadai atakuwa muislamu😀😀ila Kati ya watu wanaozeeka vibaya Ronaldo ni mmojawapo tutashuhudia mengi,na nimekuja gundua Messi ni mnafiki balaa,Bora Ronaldo anaonyesha Ego zake hadharani
 
Back
Top Bottom