Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

Pindi itakapokuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi

Na ukaona watu wakiingia kwenye dini( uislamu) makundi kwa makundi

Basi mtakase Allah na mtake msamaha mwenyezi Mungu na mwenyezi mungu anapokea toba

Quraan 110:1-3
Allah ndio nani mkuu????? Mungu wa kiarabu?????
 
mkuu wa Kanisa la Kikoptik alimzawadia mtume Muhammad, salla Allahu alayhi wasalaam, binti mbichi, Bi Maria AlKibtiya, akawa mkewe na AlhamduliLlah akajaaliwa nae mtoto anaitwa Ibrahim.
Maria the Coptic hakuwa mke alikuwa mtumwa na Muhammad akakamatwa na hafsa anambaka

Ndio kisa Allah akashusha verse za kumruhusu Muhammad kuwapiga pipe watumwa bila ndoa , na Allah akashusha verse nyingine kumgombeza hafsa na Aisha wasimkataze Muhammad la sivyo atawashukia
  • It was narrated from Anas, that the Messenger of Allah had a female slave with whom he had intercourse, but 'Aishah and Hafsah would not leave him alone until he said that she was forbidden for him. Then Allah, the Mighty and Sublime, revealed:
  • "O Prophet! Why do you forbid (for yourself) that which Allah has allowed to you.' until the end of the Verse. Sunan an-Nasa'i 3959
    • Koran 66:1 Tafsiri Al- Jalalayn O Prophet! Why do you prohibit what God has made lawful for you in terms of your Coptic handmaiden Māriya when he lay with her in the house of Hafsa who had been away but who upon returning and finding out became upset by the fact that this had taken place in her own house and on her own bed — by saying ‘She is unlawful for me!’ seeking by making her unlawful for you to please your wives? And God is Forgiving Merciful having forgiven you this prohibition.
 
Hayo yako unajitungia tu, ni fikra zako za kijinga tu.

Uislam ukipewa zawadi ya binti ni mke, siyo kahaba.

Halafu usishangae hilo, hata mkuu wa Kanisa la Kikoptik alimzawadia mtume Muhammad, salla Allahu alayhi wasalaam, binti mbichi, Bi Maria AlKibtiya, akawa mkewe na AlhamduliLlah akajaaliwa nae mtoto anaitwa Ibrahim.

Nawashangaa mnaojiita wakristo sasa hivi msioelewa maana ya Uislam.
Bibi si umesema mtamzawadia binti wa kifalme....Au sio wewe umesema????
 
Maria the Coptic hakuwa mke alikuwa mtumwa na Muhammad akakamatwa na hafsa anambaka

Ndio kisa Allah akashusha verse za kumruhusu Muhammad kuwapiga pipe watumwa bila ndoa , na Allah akashusha verse nyingine kumgombeza hafsa na Aisha wasimkataze Muhammad la sivyo atawashukia
  • It was narrated from Anas, that the Messenger of Allah had a female slave with whom he had intercourse, but 'Aishah and Hafsah would not leave him alone until he said that she was forbidden for him. Then Allah, the Mighty and Sublime, revealed:
  • "O Prophet! Why do you forbid (for yourself) that which Allah has allowed to you.' until the end of the Verse. Sunan an-Nasa'i 3959
    • Koran 66:1 Tafsiri Al- Jalalayn O Prophet! Why do you prohibit what God has made lawful for you in terms of your Coptic handmaiden Māriya when he lay with her in the house of Hafsa who had been away but who upon returning and finding out became upset by the fact that this had taken place in her own house and on her own bed — by saying ‘She is unlawful for me!’ seeking by making her unlawful for you to please your wives? And God is Forgiving Merciful having forgiven you this prohibition.
Bibi Faiza anatupanga sana mkuu
 
Hayo yako unajitungia tu, ni fikra zako za kijinga tu.

Uislam ukipewa zawadi ya binti ni mke, siyo kahaba.

Halafu usishangae hilo, hata mkuu wa Kanisa la Kikoptik alimzawadia mtume Muhammad, salla Allahu alayhi wasalaam, binti mbichi, Bi Maria AlKibtiya, akawa mkewe na AlhamduliLlah akajaaliwa nae mtoto anaitwa Ibrahim.

Nawashangaa mnaojiita wakristo sasa hivi msioelewa maana ya Uislam.
Mm nimekuuliza swali sipati jibu...Nimekuuliza kwahiyo gangster MBS atampa christian dada yake au mdogo wake??????? Pili mimi ni mbantu nitaelewa vipi dini ya kiarabu
 
Mm nimekuuliza swali sipati jibu...Nimekuuliza kwahiyo gangster MBS atampa christian dada yake au mdogo wake??????? Pili mimi ni mbantu nitaelewa vipi dini ya kiarabu
Kuhusu MBS mimi siwezi kumfanyia maamuzi. Yupo huru na maamuzi yake, au wewe unaweza kumpangia?

Dini ya Kiarabu ni ipi hiyo?
 
Screenshot_2023-05-25-11-47-12-257_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg


At least leo umethibitisha kwamba nyie atheist mnaanini Allah yupo lakini Mungu hayupo pia kupitia wewe nimezidi kuamini kwamba allaha siyo Mungu anayenasibishwa na Ukristo,nimekuwa nikifuatilia post zenu hapa jamvini nikiri wazi huwa mnafurahisha.
 
View attachment 2634193

At least leo umethibitisha kwamba nyie atheist mnaanini Allah yupo lakini Mungu hayupo pia kupitia wewe nimezidi kuamini kwamba allaha siyo Mungu anayenasibishwa na Ukristo,nimekuwa nikifuatilia post zenu hapa jamvini nikiri wazi huwa mnafurahisha.
Someone took the words to my song, the next time I write a song there ain't gonna be no words
 
Tuhakikishie wapi Yesu alisema "mimi Mungu" au "niabuduni"

Usijidanganye.
Kila dini ina mungu wake.Wakrsto ni Yesu na waislamu ni Allah na wayahudi ni Yehova na ect........Mimi nimekuuliza mungu yupi hujanijibu unaleta maswali??????? Nijibu swali langu kwanza.
 
Kuhusu MBS mimi siwezi kumfanyia maamuzi. Yupo huru na maamuzi yake, au wewe unaweza kumpangia?

Dini ya Kiarabu ni ipi hiyo?
Si umesema mtamzawadia binti mfalme ambae ni dadake au mdogo wake MBS. Kuhusu dini ya kiarabu ni ile dini ambayo wafusi wake wanasali kwa lugha na tamaduni za kiarabu na Mungu wao ana tamaduni za kiarabu na anaswaliwa kwa kiarabu na vitabu vyao vya miongozo ni vya lugha ya kiarabu,,,nadhani ushaielewa hiyo dini bibi Faiza.
 
Tuhakikishie wapi Yesu alisema "mimi Mungu" au "niabuduni"

Usijidanganye.
Sasa wewe unataka kulazimisha wakrsto wamuabudu Allah wakati hawamtambui na kama una maswali kuhusu mapokeo yao kawaulize.Au unataka kulazimisha waislamu wamuabudu Yesu wakati hawamtambui...Kila dini hapa duniani ina Mungu wake kutokana na mapokeo ya dini husika Bibi Faiza.
 

hehehe waislamu mko deperate sana, hivi shida nini, halafu nilisoma sehemu mwanaume hapaswi kuonekana magoti kwa uislamu, mbona wachezaji wenu huwa hawavai mavazi ya kuficha magoti maana.
Kwa sasa hivi mtu kuaga Ukristo na kujiunga freemason, uislamu au hayo mavitu mengine sio issue maana yalitabiriwa.
 
Back
Top Bottom