adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Huwezi kunikuta nikijadili kipuuzi ,huu sio mjadala wangu sioni cha kujadili halafu kitu kama kina maslahi machache kinahusisha maneno ya hovyo na kejeli mimi napita mbali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kunikuta nikijadili kipuuzi ,huu sio mjadala wangu sioni cha kujadili halafu kitu kama kina maslahi machache kinahusisha maneno ya hovyo na kejeli mimi napita mbali.
Allah ndio nani mkuu????? Mungu wa kiarabu?????Pindi itakapokuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi
Na ukaona watu wakiingia kwenye dini( uislamu) makundi kwa makundi
Basi mtakase Allah na mtake msamaha mwenyezi Mungu na mwenyezi mungu anapokea toba
Quraan 110:1-3
Maria the Coptic hakuwa mke alikuwa mtumwa na Muhammad akakamatwa na hafsa anambakamkuu wa Kanisa la Kikoptik alimzawadia mtume Muhammad, salla Allahu alayhi wasalaam, binti mbichi, Bi Maria AlKibtiya, akawa mkewe na AlhamduliLlah akajaaliwa nae mtoto anaitwa Ibrahim.
Bibi si umesema mtamzawadia binti wa kifalme....Au sio wewe umesema????Hayo yako unajitungia tu, ni fikra zako za kijinga tu.
Uislam ukipewa zawadi ya binti ni mke, siyo kahaba.
Halafu usishangae hilo, hata mkuu wa Kanisa la Kikoptik alimzawadia mtume Muhammad, salla Allahu alayhi wasalaam, binti mbichi, Bi Maria AlKibtiya, akawa mkewe na AlhamduliLlah akajaaliwa nae mtoto anaitwa Ibrahim.
Nawashangaa mnaojiita wakristo sasa hivi msioelewa maana ya Uislam.
Bibi Faiza anatupanga sana mkuuMaria the Coptic hakuwa mke alikuwa mtumwa na Muhammad akakamatwa na hafsa anambaka
Ndio kisa Allah akashusha verse za kumruhusu Muhammad kuwapiga pipe watumwa bila ndoa , na Allah akashusha verse nyingine kumgombeza hafsa na Aisha wasimkataze Muhammad la sivyo atawashukia
- It was narrated from Anas, that the Messenger of Allah had a female slave with whom he had intercourse, but 'Aishah and Hafsah would not leave him alone until he said that she was forbidden for him. Then Allah, the Mighty and Sublime, revealed:
- "O Prophet! Why do you forbid (for yourself) that which Allah has allowed to you.' until the end of the Verse. Sunan an-Nasa'i 3959
- Koran 66:1 Tafsiri Al- Jalalayn O Prophet! Why do you prohibit what God has made lawful for you in terms of your Coptic handmaiden Māriya — when he lay with her in the house of Hafsa who had been away but who upon returning and finding out became upset by the fact that this had taken place in her own house and on her own bed — by saying ‘She is unlawful for me!’ seeking by making her unlawful for you to please your wives? And God is Forgiving Merciful having forgiven you this prohibition.
WAISLAMU wanaruhusiwa na Allah kudanganya mkuu (inaitwa takiya) , anajua kabisa anadanganya lakini karuhusiwa ili aeneze diniBibi Faiza anatupanga sana mkuu
Mm nimekuuliza swali sipati jibu...Nimekuuliza kwahiyo gangster MBS atampa christian dada yake au mdogo wake??????? Pili mimi ni mbantu nitaelewa vipi dini ya kiarabuHayo yako unajitungia tu, ni fikra zako za kijinga tu.
Uislam ukipewa zawadi ya binti ni mke, siyo kahaba.
Halafu usishangae hilo, hata mkuu wa Kanisa la Kikoptik alimzawadia mtume Muhammad, salla Allahu alayhi wasalaam, binti mbichi, Bi Maria AlKibtiya, akawa mkewe na AlhamduliLlah akajaaliwa nae mtoto anaitwa Ibrahim.
Nawashangaa mnaojiita wakristo sasa hivi msioelewa maana ya Uislam.
Takiya mkuu???WAISLAMU wanaruhusiwa na Allah kudanganya mkuu (inaitwa takiya) , anajua kabisa anadanganya lakini karuhusiwa ili aeneze dini
Mungu yupi sasa ??????Kuna Yesu wa kiyahudi kuna Yehova wa kiyahudi kuna Allah wa kiarabu and ect.....Usiwe na shaka, Anatajwa kwa jina lolote lile ulijuwalo, wewe humjuwi muumba wsko?
Kuhusu MBS mimi siwezi kumfanyia maamuzi. Yupo huru na maamuzi yake, au wewe unaweza kumpangia?Mm nimekuuliza swali sipati jibu...Nimekuuliza kwahiyo gangster MBS atampa christian dada yake au mdogo wake??????? Pili mimi ni mbantu nitaelewa vipi dini ya kiarabu
Allah
Someone took the words to my song, the next time I write a song there ain't gonna be no wordsView attachment 2634193Mungu Yuko wapi?
Hata ukiletewa authenticity utabisha ndo mana watu ni rahisi kwenda kwa mganga tofauti na aliyemuumba kwa jinsi akili na ufahamu ulivyokuwa programmed toka anakuwa. Mganga nae Hana tofauti na mchungaji, wote wanatumia uongo kukutapeli.www.jamiiforums.com
At least leo umethibitisha kwamba nyie atheist mnaanini Allah yupo lakini Mungu hayupo pia kupitia wewe nimezidi kuamini kwamba allaha siyo Mungu anayenasibishwa na Ukristo,nimekuwa nikifuatilia post zenu hapa jamvini nikiri wazi huwa mnafurahisha.
Kila dini ina mungu wake.Wakrsto ni Yesu na waislamu ni Allah na wayahudi ni Yehova na ect........Mimi nimekuuliza mungu yupi hujanijibu unaleta maswali??????? Nijibu swali langu kwanza.Tuhakikishie wapi Yesu alisema "mimi Mungu" au "niabuduni"
Usijidanganye.
Yaani kuna watu Wana akili za makamasi mpaka basi, kwamba mzungu awezi kufanya unafki kisa PESA, aoni watu wanavyosLitiana kisa PESA,Sasa isingekuwa kisa pesa angeenda kucheza mpira Soudi Arabia? Au hajafata pesa kule?
Si umesema mtamzawadia binti mfalme ambae ni dadake au mdogo wake MBS. Kuhusu dini ya kiarabu ni ile dini ambayo wafusi wake wanasali kwa lugha na tamaduni za kiarabu na Mungu wao ana tamaduni za kiarabu na anaswaliwa kwa kiarabu na vitabu vyao vya miongozo ni vya lugha ya kiarabu,,,nadhani ushaielewa hiyo dini bibi Faiza.Kuhusu MBS mimi siwezi kumfanyia maamuzi. Yupo huru na maamuzi yake, au wewe unaweza kumpangia?
Dini ya Kiarabu ni ipi hiyo?
Sasa wewe unataka kulazimisha wakrsto wamuabudu Allah wakati hawamtambui na kama una maswali kuhusu mapokeo yao kawaulize.Au unataka kulazimisha waislamu wamuabudu Yesu wakati hawamtambui...Kila dini hapa duniani ina Mungu wake kutokana na mapokeo ya dini husika Bibi Faiza.Tuhakikishie wapi Yesu alisema "mimi Mungu" au "niabuduni"
Usijidanganye.
🤣🤣🤣🤣Wanauza kitimoto msikitiniHawa wapuuzi hawanipi saida. Nawajua vyema maana nami nilikuwa hukohuko kwenye upuuzi