Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa, ni vyema furaha yake imetufurahisha zaidiFuraha iliyopitiliza hufanya mtu jufanya vitu ambavyo si vya kawaida
Mradi kaanza kusujudu, aliyemsujudia atamwongowa, usiwe na hofu.Hatutaki mashoga kwenye dini yetu,huyo mwamba analiwa mattercle
Aahahaaaaa
Hivi kati ya wazungu kusilimu na wazungu kuwa mashoga kila kukicha kipi kinaongoza?Kweli mzubgu si nwenzagu, iiipokuwa hivi sasa tunaona kumekuwa "trend" ya wazungu wengi kusilim duniani. Tunaomba In shaa Allah soon tushuhudie Ronaldo akisilim.
Ya Ustaaz na nguruwe wake ndio nzuri zaidi.Unaonesha umeifurahia sana habari ya Ronaldo.
Anasilumu kuwa Dhehebu gan ,Shia,Sunni, Ahmadiya,n.k ?Kweli mzubgu si nwenzagu, iiipokuwa hivi sasa tunaona kumekuwa "trend" ya wazungu wengi kusilim duniani. Tunaomba In shaa Allah soon tushuhudie Ronaldo akisilim.
Miaka ya nyuma akicheza Madrid kuna tetesi zilivumishwa na wafuasi wenunkuwa Ronaldo kaolewa na Mmoroco na picha zikasambazwa akiwa na Mmoroco wake. Tuombe uzima hili nalo liwe kweli....sijui watamkata kichwa kwa tuhuma zake za huko nyuma😂😂View attachment 2633895
Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.
Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?
Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
wamejipa hati milikiKusujudu sio kwa waislam mpekee.
Huyo binti ni bikira?Safi sana, tena tukishuhudia anasilim atazawadiwa binti wa kifalme.
Raha iliyoje.
🗣️ Takbiiiiiiiir! Takbiiiiiir!View attachment 2633895
Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.
Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?
Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
Panapo majaliwa, atasilim tu! Na mke wake pia Georgina, pamoja na watoto wao wote watasilim tu. InshaAllah!Kweli mzubgu si nwenzagu, iiipokuwa hivi sasa tunaona kumekuwa "trend" ya wazungu wengi kusilim duniani. Tunaomba In shaa Allah soon tushuhudie Ronaldo akisilim.
Astaghafulillah!! 😫