Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

Muhuni kutoka Madeira Portugal.... Hiyo inaitwa 3 chafu
 
Ur right
 
Mbona hio style tunawapiga sana madem wakija magetoni na kama anapapa imelegea utaskia vijambo kwenye k kila ukipress pipe. Alafu mwamba anacheza na akili za watu kule hana cha kufanya akawa kwenye mitandao kwahyo akipiga hyo style ya mbuzi kagoma bas mtaongea sana😂😂
 
Ronaldo amesujudu, juu huko wamesema kama alivyofanya Papa Paulo alipokuja Tanzania, umemuona?
 
HIVI WAISLAM NDO WANAOSUJUDU WAO PEKE YAO AMA UTARATIBU UKOJE
 
Papa aliyekuja Tanzania unafahamu kisa kilichomtowa kwenye upapa mbio mbio? isijekuwa ni huko kusujudu.

Jiulize na katafute sababu za yeye kujitowa upapa.
 
Umekwepa swali, nalirudia; unafahamu maana ya neno Uislam?
Yaani bibi faiza unaniuliza swali badala ya kujibu maswali yangu kwanza...Acha uhuni wa kitoto,,wewe ndio mleta mada sasa lazimaa ujibu maswali yetu kwanza kabla hujatuuliza maswali.
 
Kusujudu nachojua ni Kwa wote wakristo na waislam me Sion kama Kuna maana ya amemaanisha ni kupenda uislam laa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…