Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini ya waarabu hiyo sisi wabantu haituhusu Faiza.Uislam ni dini ya walimwengu wote.
Unafahamu maana ya neno Uislam?
Ur rightNimewaona wengi sana hata Ligi ya ndani hapa ya NBC. But Papa alipofika Tz mwaka 1990 au 92 alisujudu. Na akakiss ardhi ya Tz. So akawa Muislamu 🤣 mimi huwa nasujudu mara nyingi tu. Yaani issues nyingine ni za kitoto hata kuzipost. Zinaonesha wewe ni maamuma sana. Kuna ambao wakifunga goal wanaonesha vidole juu Wakristo kwa Waislamu. Wakimshukuru Mungu. Kuna wanaosujudu Wakristo kwa Waislamu. Yaani its normal its not an issue. But suppose we assume amekuwa Muislam. Is that an issue? Only for poor minded people.
anapalilia KIBARUA chake..... Kama Yuko serious nayo siyo mbaya MUNGU ni wetu soteMa shaa Allah, umemuona "muhuni" amesujudu eeh?
Mbona hio style tunawapiga sana madem wakija magetoni na kama anapapa imelegea utaskia vijambo kwenye k kila ukipress pipe. Alafu mwamba anacheza na akili za watu kule hana cha kufanya akawa kwenye mitandao kwahyo akipiga hyo style ya mbuzi kagoma bas mtaongea sana😂😂View attachment 2633895
Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.
Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?
Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
Uliwahi fika huko motoni? Hao moja kwa moja mbinguni. Wamechoka kuabudu vitu vya uongo.Kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani.
. Isikilize vizuri hiyo video, wote motoni hao, ni wa kuwaonea huruma tu.
Ronaldo amesujudu, juu huko wamesema kama alivyofanya Papa Paulo alipokuja Tanzania, umemuona?Mbona hio style tunawapiga sana madem wakija magetoni na kama anapapa imelegea utaskia vijambo kwenye k kila ukipress pipe. Alafu mwamba anacheza na akili za watu kule hana cha kufanya akawa kwenye mitandao kwahyo akipiga hyo style ya mbuzi kagoma bas mtaongea sana😂😂
Sisi tunaoamini katika ghaibu. Hatuna shaka kabisa.Uliwahi fika huko motoni? Hao moja kwa moja mbinguni. Wamechoka kuabudu vitu vya uongo.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Papa aliyekuja Tanzania unafahamu kisa kilichomtowa kwenye upapa mbio mbio? isijekuwa ni huko kusujudu.Nimewaona wengi sana hata Ligi ya ndani hapa ya NBC. But Papa alipofika Tz mwaka 1990 au 92 alisujudu. Na akakiss ardhi ya Tz. So akawa Muislamu 🤣 mimi huwa nasujudu mara nyingi tu. Yaani issues nyingine ni za kitoto hata kuzipost. Zinaonesha wewe ni maamuma sana. Kuna ambao wakifunga goal wanaonesha vidole juu Wakristo kwa Waislamu. Wakimshukuru Mungu. Kuna wanaosujudu Wakristo kwa Waislamu. Yaani its normal its not an issue. But suppose we assume amekuwa Muislam. Is that an issue? Only for poor minded people.
Yaani bibi faiza unaniuliza swali badala ya kujibu maswali yangu kwanza...Acha uhuni wa kitoto,,wewe ndio mleta mada sasa lazimaa ujibu maswali yetu kwanza kabla hujatuuliza maswali.Umekwepa swali, nalirudia; unafahamu maana ya neno Uislam?
WE BIBI MBONA MZINGUAJI NIMEKULIZA NI WATU WA DINI GANI WANATAKIWA KUSUJUDUSijaona nchezqji asiye Mmuislam akifunga goli akasujudu.
Huu ndo unafik sasa watu wanatolewa shingo namujahdin huko kila siku kisa kuslim
Kusujudu nachojua ni Kwa wote wakristo na waislam me Sion kama Kuna maana ya amemaanisha ni kupenda uislam laaView attachment 2633895
Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.
Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?
Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
We Ulifungwa goal? 😁Papa nae alifunga goli?