raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Mpaka sasa hakuna wa mfano wakeMwamba alikuwa na udambwidandwi mwingi sana.., Magician Player!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka sasa hakuna wa mfano wakeMwamba alikuwa na udambwidandwi mwingi sana.., Magician Player!
Sure!Mpaka sasa hakuna wa mfano wake
Aliyecheza msimu mmoja akastaafu😁Mchezaji wangu bora wa mda wote ni Ronaldinho Gaucho.
Bruh ishu kama ya ballon dor ukiachana na kuongoza magoli na kuchukua vikombe imetawaliwa pia na mapenzi ya watu kwenye kukupigia kura na uwezo wa mchezaji binafsi uwanjanUyo Messi kafanya kitu Gani Cha ajabu icho ambacho Ronaldo hajafanya Hadi useme Ronaldo alinganishwe na takataka zako kina lewandoski
🤣🤣🤣🤣Christiano Ronaldo hamfikii hata Thierry Henry
Mbona hawa wote washastaafu mkuu??Messi bila Iniesta na Xavi ni Di Maria aliechangamka.
Shangaa na wewe mkuu. Huyu Ronaldo akijiroga akastaafu kabla ya Messi huo ugoal machine atusikia kwenye bombaSijaelewa, kwanini ronaldo anatumia dakika 113 kupata goli wakati messi anatumia dakika 104...halafu ronaldo ndio aitwe goal machine??
Msaada tafazali
Ulipo muweka Messi juu ya Pele nikadharau kila kituCristiano Ronaldo moja ya mafanikio yake makubwa ni kufananishwa na Lionel Messi lakini kiuhalisia huyu Lionel Messi ni wa level za Pele na Maradona.
Huyu Ronaldo ni wa kulinganishwa na akina Lewandowski na Ibrahmovic ambao ndio level zake.
Kitu pekee team Cr7 walichobakiza ni kumuita Ronaldo goal machine. Hii hoja nayo muda sio mrefu Messi ataizima. Mwambieni Ronaldo ahakikishe mpaka Messi kastaafu na yeye astaafu ila akijiroga akastaafu kabla ya Messi ni suala la msimu mmoja tu atapitwa kwa magoli na ugoal machine utaishia hapo na jambo hili linamuuiza sana kichwa Ronaldo japo mwili umeshamkataa.
View attachment 2450562
Yote kwa yote all time top 3 G.O.A.Ts:
1. Lionel Messi
2. Pele
3. Maradona
NB:Huyu dogo video yake ilinichekesha sana
View attachment 2450574
Mkuu vitu vingi Messi anamshinda Ronaldo kilichokua kimebakia kilikua ni mafanikio yao kimataifa kitu ambacho Messi amekwishampita Ronaldo kwa kucheza fainali 2 kombe la dunia huyo Ronaldo tofauti na kufunga magoli kitu ambacho Messi anafanya hana tofauti na LukakuUyo Messi kafanya kitu Gani Cha ajabu icho ambacho Ronaldo hajafanya Hadi useme Ronaldo alinganishwe na takataka zako kina lewandoski
Pele kitu alichokifanya ni kikubwa sijaki underrate ambacho nakiongelea hapa ni kumfananisha CR7 na hawa miamba watatu Messi, Pele na MaradonaUlipo muweka Messi juu ya Pele nikadharau kila kitu
Ndio vitaje vyote tuaze kuchambua kimoja baada ya kingine mim nimeanza cristiano Ronaldo ndio Top score wa champions league history ana jumla ya Goli 141 haya Messi kamzidi nin apo Ronaldo na je Ibrahimovic anaweza kuwa top score wa champions league history Lewandoski anaweza kuwa top score wa champions league historyMkuu vitu vingi Messi anamshinda Ronaldo kilichokua kimebakia kilikua ni mafanikio yao kimataifa kitu ambacho Messi amekwishampita Ronaldo kwa kucheza fainali 2 kombe la dunia huyo Ronaldo tofauti na kufunga magoli kitu ambacho Messi anafanya hana tofauti na Lukaku
Kipaji halisi cha soka ronaldo kazidiwa sana na messi, ronaldo kaweza kula sahani moja na messi kutokana na jitihada zake binafsi wanasema hard working beat talent ila hao wakina lewandowsk na zlatan ni level za chini sana kuwalinganisha na ronaldo.. vipaji halisi nikivyovishuhudia tangu nianze kufatilia soka 1. Ronaldinho(ingawa alidumu kwa muda mfupi sana), 2. Messi, 3. Ronaldo.. nb: pele na maradona sijawaona wakati wakicheza mpira na ronaldo de lima nimemkuta ndo anaishia miaka ya mwisho ile anaandamwa sana na majeruhiCristiano Ronaldo moja ya mafanikio yake makubwa ni kufananishwa na Lionel Messi lakini kiuhalisia huyu Lionel Messi ni wa level za Pele na Maradona.
Huyu Ronaldo ni wa kulinganishwa na akina Lewandowski na Ibrahmovic ambao ndio level zake.
Kitu pekee team Cr7 walichobakiza ni kumuita Ronaldo goal machine. Hii hoja nayo muda sio mrefu Messi ataizima. Mwambieni Ronaldo ahakikishe mpaka Messi kastaafu na yeye astaafu ila akijiroga akastaafu kabla ya Messi ni suala la msimu mmoja tu atapitwa kwa magoli na ugoal machine utaishia hapo na jambo hili linamuuiza sana kichwa Ronaldo japo mwili umeshamkataa.
View attachment 2450562
Yote kwa yote all time top 3 G.O.A.Ts:
1. Lionel Messi
2. Pele
3. Maradona
NB:Huyu dogo video yake ilinichekesha sana
View attachment 2450574
Messi ana kipi ambacho Ronaldo hana?Pele kitu alichokifanya ni kikubwa sijaki underrate ambacho nakiongelea hapa ni kumfananisha CR7 na hawa miamba watatu Messi, Pele na Maradona
Baada ya hao kustaafu Messi Kafanya nini kikubwa?Mbona hawa wote washastaafu mkuu??
Hata asipostaafu, Messi nwakani anamzidiShangaa na wewe mkuu. Huyu Ronaldo akijiroga akastaafu kabla ya Messi huo ugoal machine atusikia kwenye bomba
Ngoja leo usiku utakionaBaada ya hao kustaafu Messi Kafanya nini kikubwa?
AssistMessi ana kipi ambacho Ronaldo hana?