Cristiano Ronaldo kama kulinganishwa alinganishwe na akina Lewandowski na Ibrahmovich

Cristiano Ronaldo kama kulinganishwa alinganishwe na akina Lewandowski na Ibrahmovich

Wenzenu washajitengenezea pesa zaoo nyiee mnakaa kubishanaa kuhusu waoo wote ni wachezaji wakubwaa na wote watakumbukwa katika historia ya mpira sababu kila anayemjua messi pia anamjua ronaldo na kila anaye mjua rinaldo anamjua messi kwahiyoo wotee wachezajii maarufu
 
Ndio vitaje vyote tuaze kuchambua kimoja baada ya kingine mim nimeanza cristiano Ronaldo ndio Top score wa champions league history ana jumla ya Goli 141 haya Messi kamzidi nin apo Ronaldo na je Ibrahimovic anaweza kuwa top score wa champions league history Lewandoski anaweza kuwa top score wa champions league history
Mahaba tu yanasumbua watu.
 
Messi ana kipi ambacho Ronaldo hana?
Tena messi kapita njia laini sana kwenye mafanikio ya soka lake.Kuanzia timu alizocheza hadi timu ya taifa.Kote uko kakutana na vikosi bora vilivyomlea vizuri tofauti na ronaldo aliyetumia muda mwingi kuonyesha juhudi binafsi na upambanaji.Mambo mengine yanatakiwa yabaki kua mtazamo binafsi ya mtu.
 
Tena messi kapita njia laini sana kwenye mafanikio ya soka lake.Kuanzia timu alizocheza hadi timu ya taifa.Kote uko kakutana na vikosi bora vilivyomlea vizuri tofauti na ronaldo aliyetumia muda mwingi kuonyesha juhudi binafsi na upambanaji.Mambo mengine yanatakiwa yabaki kua mtazamo binafsi ya mtu.
Njia laini mkuu hivi upo serious kweli?
 
Ndio vitaje vyote tuaze kuchambua kimoja baada ya kingine mim nimeanza cristiano Ronaldo ndio Top score wa champions league history ana jumla ya Goli 141 haya Messi kamzidi nin apo Ronaldo na je Ibrahimovic anaweza kuwa top score wa champions league history Lewandoski anaweza kuwa top score wa champions league history
Messi ana world cup. Ana Ballon d or 7 lakini pia ana player of the tournament award world cup je Ronaldo anavyo?. Zamu yako nitajie vitu ambavyo Ronaldo anavyo Messi hana
 
Mchezaji wangu bora wa mda wote ni Ronaldinho Gaucho.
Kama umefuatilia interviews nyingi alizofanyiwa MESSI akiulizwa ni mchezaji gani aliyekupa hamasa na kukujenga kimchezo huwa anamkiri RONALDINHO.
Unasema kila walipokuwa wakimaliza mazoezi ya pamoja pale Nou Camp, Ronaldinho alikuwa anafanya mazoezi binafsi na Messi kwa masaa mawili peke yao.
 
Jamaa namkubali sana
Nadhani hata kipindi anachukuwa ballon dor hakuwa hata anaongoza magoli kwenye ligi ni mambo yake tu ya uwanjan
Watu wanaongea mambo ya msingi , mnaleta ujinga , jiheshimuni basi , Yani watu wanajadili Messi na Ronaldo unaingiza takataka Ronaldinho, kuweni serious
 
Cristiano Ronaldo moja ya mafanikio yake makubwa ni kufananishwa na Lionel Messi lakini kiuhalisia huyu Lionel Messi ni wa level za Pele na Maradona.

Huyu Ronaldo ni wa kulinganishwa na akina Lewandowski na Ibrahmovic ambao ndio level zake.

Kitu pekee team Cr7 walichobakiza ni kumuita Ronaldo goal machine. Hii hoja nayo muda sio mrefu Messi ataizima. Mwambieni Ronaldo ahakikishe mpaka Messi kastaafu na yeye astaafu ila akijiroga akastaafu kabla ya Messi ni suala la msimu mmoja tu atapitwa kwa magoli na ugoal machine utaishia hapo na jambo hili linamuuiza sana kichwa Ronaldo japo mwili umeshamkataa.

View attachment 2450562
Yote kwa yote all time top 3 G.O.A.Ts:
1. Lionel Messi
2. Pele
3. Maradona

NB:Huyu dogo video yake ilinichekesha sana
View attachment 2450574

Chuki ni mzigo mzito ukiubeba utaumia,,
La pulga mwenyewe anakwambia mshindani wake ni CR7 wee ambae hata dana dana kumi hufikishi unapiga kelele
 
Messi ana world cup. Ana Ballon d or 7 lakini pia ana player of the tournament award world cup je Ronaldo anavyo?. Zamu yako nitajie vitu ambavyo Ronaldo anavyo Messi hana

Ana Uero, Uefa National league
Ana Seria A, Epl, na mfungaji bora wa muda wote ktk International tournament....
Sema jingine?
 
tulijua tu hio argentina ikishinda duniani tutakoma itakua ni kejeli kwa C.ronaldo kila uchwao! mnajua kumsifu na kumuabudu khaa
 
Messi ana world cup. Ana Ballon d or 7 lakini pia ana player of the tournament award world cup je Ronaldo anavyo?. Zamu yako nitajie vitu ambavyo Ronaldo anavyo Messi hana
Cristiano Ronaldo ana champions league tano 2008,2014,2016,2017,2018 Messi wako anazo ngapi
 
Ballon zipi ya lewandoski na sjinder nazo unazihesabu kombe la Dunia Ata kimpembe wa PSG analo au hufahamu icho kitu
Kiatu cha dhahabu kileee [emoji117] 7 goals with the King Mbappe's 5 fantastic goals but not the same as Miss penati's 5 goals
JamiiForums-716845962.jpg
JamiiForums-1394873182.jpg
JamiiForums-201325086.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Top score wa champions league history michuano Bora ya vilabu Duniani mchezaji mwenye Tuzo Tano za haki ta Ballon dor mchezaji anayeshirikilia rekodi ya kufunga Goli nyingi Kwa msimu mmoja kweny champions league mchezaji mwenye more than 40 hat trick mchezaji aliyechukua ufungaji Bora wa Champions leauge zaidi ya mara nne unakuja Kulinganisha na matakakataka gani wew bila shaka ni kichaa wa akili
Angalia data no data no right to type
Screenshot_20221218-230311.jpg
 
Back
Top Bottom