msukuma fekero
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 2,285
- 2,969
Kitu ambacho kwa wapenzi wa Ronaldo kama wewe huwezi sema kafunga magoli hayo baada ya Mechi ngapi.Mfano Ronaldo kafikisha goli 100 akiwa amecheza mechi 27 zaidi ya Messi.Swali je Messi akicheza hizo mechi 27 alizonazo mkononi zaidi ya mpinzani wake atakuwa na goli ngapi.Huwezi ongea hili,utaingelea wingi wa goli tu lakini huwezi jiuliza kafunga hizo akiwa kacheza mechi ngapi.Pole
Cr7 noma,alianzia EPL kugumu kule so poaRonaldo ilimchukua mechi 855 kupata goli 600
Messi imemchukua mechi 747 kufikia magoli 600
Naona buffon alikuwa akimwambia CR7 kuwa he is the best.....
Na wewe kavizie kama unafikiri ni rahisi ki-hivyo.Mviziaji tu yule
Kajinyongee, maana huwa hamkawiii! Huyo kimo Cha mbuzi hamuwezi kwa lolote mnyama cr7!Huyo Mmoroko hayo magoli 120 kayafunga kwenye mechi ngapi?
Na King goli 101 kazifunga kwenye mechi ngapi?
Cc PNC 1 nyambafuuuuuzamani tulikuwa tunaambiwa Ronaldo mchoyo, Messi anagawia wenzake mapande.
Pamoja na Messi kucheza na wachezaji Hatari kama suarez na Neymar ila amepitwa Assist na Ronaldo ambaye anacheza na kina isco, Asensio, bale, benzema etc ambao hawalijui sana goli.
Uefa Top assist.
1. Ronaldo 33
2. Giggs 30
3. messi 25
Hakuna penalty hata Moja hapo! Kuwa makini kijana!Penati noma sana