Cristiano Ronaldo ni mchezaji hatari zaidi, takwimu hazidanganyi

Cristiano Ronaldo ni mchezaji hatari zaidi, takwimu hazidanganyi

Kitu ambacho kwa wapenzi wa Ronaldo kama wewe huwezi sema kafunga magoli hayo baada ya Mechi ngapi.Mfano Ronaldo kafikisha goli 100 akiwa amecheza mechi 27 zaidi ya Messi.Swali je Messi akicheza hizo mechi 27 alizonazo mkononi zaidi ya mpinzani wake atakuwa na goli ngapi.Huwezi ongea hili,utaingelea wingi wa goli tu lakini huwezi jiuliza kafunga hizo akiwa kacheza mechi ngapi.Pole

atachezaje kwa mfano maana ni kwamba timu ya ronaldo inafika fainali mara nyingi kuliko timu ya messi uelewe labda akacheze mchangani huko
 
Lakini Mkae na kujua kua Balloon de or mwaka huu mpaka sasa ni Messi na Salah...

9.0 kwa 8.9 ratio

Mwaka Jana mlimpa ronaldo ballon de or kwa kisingizio et kabeba trophy Messi aliongoza form na magoli

Haya tumekubali so far mwaka huu mnyama projected trophies ni 2 (delay+ laliga) kati ya nne nyumbu wenu 0 kati ya NNE... 6th ballon de or for Messi hakuna mbadala mwaka huu.


Hili linawauma washabiki wengi wa ronaldo
 
Ronaldo ilimchukua mechi 855 kupata goli 600
Messi imemchukua mechi 747 kufikia magoli 600
Mnyama kama kawa kafanaya yake kwenye kombe lake
 
Mashabiki wa Juventus wanasimama na kumpigia makofi ya heshima CR7 alafu kuna mwenzangu niko nae hapa Mbagala Kimbangulile anasema yule jamaa anavizia tu [emoji23][emoji23] hapo ndipo utajua sisi mi-Afrika njaa haipo tumboni tu hadi kwenye ubongo.
 
Hakuna Ubishi Bali Nakubali Kuwa Ronaldo Ni Unstoppable.
Ronaldo ni Mfalme Wa Dunia na Kile Kibushuti Ni Mfalme Wa Barca. Ova

√ Ronaldo ndiye Mfungaji Bora Wa [HASHTAG]#Laliga[/HASHTAG] 2017/18

√ Ronaldo ndiye Mfungaji Bora [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG] 2017/18

√ Ronaldo ndiye atakayebeba Ballon d'Or 2017/18

Anayebisha na abishe.
 
Nidhamu pia
Ronaldo ana nidhamu ndani na nje ya uwanja wa mpira.
Messi kachonga tatoo mwili mzima.
Sisi tulio kwenye majeshi ya ulinzi tunajua maana ya tatoo.
Kijana mwenje tatoo ndogo tu hatumwingizi jeshini nikuwa hana nidhamu.
Messi ana kipaji cha mpira.
Ronado ana nidhamu ya mpira
Therefore Ronaldo ni zaidi ya Messi
Full Stop.
 
FB_IMG_1522791896421.jpg
 
Huyo Mmoroko hayo magoli 120 kayafunga kwenye mechi ngapi?
Na King goli 101 kazifunga kwenye mechi ngapi?
Kajinyongee, maana huwa hamkawiii! Huyo kimo Cha mbuzi hamuwezi kwa lolote mnyama cr7!
 
zamani tulikuwa tunaambiwa Ronaldo mchoyo, Messi anagawia wenzake mapande.

Pamoja na Messi kucheza na wachezaji Hatari kama suarez na Neymar ila amepitwa Assist na Ronaldo ambaye anacheza na kina isco, Asensio, bale, benzema etc ambao hawalijui sana goli.

Uefa Top assist.

1. Ronaldo 33
2. Giggs 30
3. messi 25
Cc PNC 1 nyambafuuuuu
 
Back
Top Bottom