Mpaka waseme "abeee"!ššššMoisemusajiografii itikadi uchwara wameanza kutapa tapaš¤£
View attachment 3152677
View attachment 3152678
Mwamba aliwahi kuwa jeshini
View attachment 3152680
"Tamthilia"(?)Kuiliwaza nafsi ni muhimu katika nyakati ngumu.Lakini hao mbona huwa tunawapiga kila siku kwenye tamthila za Azam Tv (Burudani kwa Waturuki)?.
Ayatollah amekubali kukaa chini na kusitisha uzalishaji/uendelezaji "zana" za nyuklia.Unadhani kwa nini?Nothing can defeat a true Jihad. Bring them
Hahaha,Ayatollah amekubali kukaa chini na kusitisha uzalishaji/uendelezaji "zana" za nyuklia.Unadhani kwa nini?
Mnawapiga kwenye tamthiya Ila kiuhalisia. Hamna kitu.Lakini hao mbona huwa tunawapiga kila siku kwenye tamthila za Azam Tv (Burudani kwa Waturuki)?.
Paka kaingia uwandani; mapanya yanatafuta mashimo. Tatizo paka anakatiza zake njia. Akiondoka mapanya wanatokeza tena na wamejiwekea himaya za kudumu.Hahaha,
Ayatollah anajua mwamba huwa hacheki na kima..
View: https://youtube.com/watch?v=bDQZgHqKKm0&si=aoOkQ9EH-LqNKBuj
Unajidanganya Ayatollah hawezi kuacha huo mpango anajua anazubaishwa kama Sadam. Waajemi wana akili kuliko mlivyowazoea waarabu hapo bado kazi ipoAyatollah amekubali kukaa chini na kusitisha uzalishaji/uendelezaji "zana" za nyuklia.Unadhani kwa nini?
Kwa sababu umemshikia akili,ni sawa.Mwenzenu anawaza kujiokoa wewe unaleta ubishi wa Mnazi-mmoja.Unajidanganya Ayatollah hawezi kuacha huo mpango anajua anazubaishwa kama Sadam. Waajemi wana akili kuliko mlivyowazoea waarabu hapo bado kazi ipo
Duuh ngoja tusubiri tuone lakini usalama wa Iran ni kumiliki nyuklia na si vinginevyoKwa sababu umemshikia akili,ni sawa.Mwenzenu anawaza kujiokoa wewe unaleta ubishi wa Mnazi-mmoja.
Dunia ina wababe wanaokuchagulia hadi ulale saa ngapi!Duuh ngoja tusubiri tuone lakini usalama wa Iran ni kumiliki nyuklia na si vinginevyo