Wenzako wanajaribu kuifungua Iran duniani wewe unadhani wanaogopa USA.Na jana Balozi wa Iran UN kamtafuta Elon Musk na kufanya nae mazungumzo ya siri. Wanajua wasipojisalimisha nini kitawakuta.
Doh poleni sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzako wanajaribu kuifungua Iran duniani wewe unadhani wanaogopa USA.Na jana Balozi wa Iran UN kamtafuta Elon Musk na kufanya nae mazungumzo ya siri. Wanajua wasipojisalimisha nini kitawakuta.
Chadema mumekatwa ktk serekali za mitaa mumenyongonyea, halafu mnaamini mabokaz ndio maadui wenu . Mtageuzwa kama chapati kila chaguzimakobaz watanyooka...hili ni dume la mbeguu mazeee...litatusafishia uchafu wotee
Chadema unaiingiza yanini wakati hapa ni uwanja wa Trump safari hii kaja na Knight Templers wa kwanza kuondolewa ni Erdoğan na Ayatolah 😁Chadema mumekatwa ktk serekali za mitaa mumenyongonyea, halafu mnaamini mabokaz ndio maadui wenu . Mtageuzwa kama chapati kila chaguzi
Waislamu ni watu wa ajabu kabisa!Vip hapo sudan
Wewe unajua chanzo Cha Sudan kupigana!?Waislamu ni watu wa ajabu kabisa!
Sudan wanauana waislamu kwa Waislamu na wala hawana shida!
Ila Waislamu wakifumuliwa na wasio waislamu ndipo tabu inaanza 🤣 🤣 🤣 🤣
Wewe ndio unajua sioWewe unajua chanzo Cha Sudan kupigana!?
Au unaropoka tuu kama umelishwa usembe?
😆😆😆 wale azam wasn't sana...muvi zao wakristo wanapigwa tuLakini hao mbona huwa tunawapiga kila siku kwenye tamthila za Azam Tv (Burudani kwa Waturuki)?.
Haujui tukuletee article kuhusu chanzo cha mapigano!?Wewe ndio unajua sio
Story za jaba ndio unataka kutuleteaHaujui tukuletee article kuhusu chanzo cha mapigano!?
Onhoo kumbe siku hizi BBC,Aljazeera na CGTN na UNHCR wanaandika stori za jaba!??Story za jaba ndio unataka kutuletea
Kati ya bbc na aljazeera ni chombo kipi unakiaminOnhoo kumbe siku hizi BBC,Aljazeera na CGTN na UNHCR wanaandika stori za jaba!??
Huwa ukikosa hoja unachekeshaga mkuu!
Siamini chombo chochote moja kwa moja hadi nitakapoihakiki hiyo taarifa na kuona ni ya kweli.Kati ya bbc na aljazeera ni chombo kipi unakiamin
Basi kumbe kuna chombo unakiamin wewe. Hakuna chombo hakina upande so kwa uelewa huu pole sana kijanaSiamini chombo chochote moja kwa moja hadi nitakapoihakiki hiyo taarifa na kuona ni ya kweli.
Chombo pekee ambacho hakinaga mfungamano ni CGTN.
Nikitizama habari nikaona inafanana kwenye vyombo vyote vitatu basi ndio naiamini.
Kwahiyo kila anayo pings kobaz ni CHADEMA!Chadema mumekatwa ktk serekali za mitaa mumenyongonyea, halafu mnaamini mabokaz ndio maadui wenu . Mtageuzwa kama chapati kila chaguzi