Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Order of the holy Sepleture(inatamkwa sapacha) ni fraternity ya Kanisa Katoliki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio bwana si ameingia Rambomakobaz watanyooka...hili ni dume la mbeguu mazeee...litatusafishia uchafu wotee
Despite ya mambo mengine yaliyotajwa hapa. Us inafanya vizuri kuchagua vipngoz wa vyombo vya ulinzi, hizi nafasi zinatakiwa zishikwe na former military members or formers spies.Moisemusajiografii itikadi uchwara wameanza kutapa tapa🤣
View attachment 3152677
View attachment 3152678
Mwamba aliwahi kuwa jeshini
View attachment 3152680
Aisee hata nilichoongea umenielewa!??Basi kumbe kuna chombo unakiamin wewe. Hakuna chombo hakina upande so kwa uelewa huu pole sana kijana
Yeah shambulio ambalo lilifeli likabaki kuitangaza mifumo ya ulinzi ya anga ya Iran kuwa bora.Hii hii Iran iliyoshambuliwa juzi na idf?
Likimkunja mama yko mambo safiii linakuachia mbegu kwenye familiamakobaz watanyooka...hili ni dume la mbeguu mazeee...litatusafishia uchafu wotee
Vp kuke Ukraine na raishia wanaueana nani na nani mbona hamkutulia walipouliwa wa israel hyo picha nazani umeipataWaislamu ni watu wa ajabu kabisa!
Sudan wanauana waislamu kwa Waislamu na wala hawana shida!
Ila Waislamu wakifumuliwa na wasio waislamu ndipo tabu inaanza 🤣 🤣 🤣 🤣
Hata angekuwa Navy seals au rangers special forces ,kipigo kiko palepaleMwamba na nusu Green Beret,Afghanistan na Iraq wanamtambua.
Hiyo angalau umeipataje na kwa vipimo gan umetumiaAisee hata nilichoongea umenielewa!??
Embu jaribu kusoma tena kwa uelewa.
Ingekua ninaamini chombo kimoja nisingehangaika kuoanisha habari.
Ila angalau CGTN wanajitahidi kutokufungamana na upande.
Kuna muda siasa ya dunia inachafuka mathalan vita ya Ukraine ama vita za Gaza.Hiyo angalau umeipataje na kwa vipimo gan umetumia
Vyombo vyote vya habar hasa vikubwa vinaendeshwa kuendana na upande serikali ilipoKuna muda siasa ya dunia inachafuka mathalan vita ya Ukraine ama vita za Gaza.
Kama vita ya Ukraine utaona vyombo mathalan BBC,France 24 English,skynews,NBC 80% news coverage itakua ni Ukraine war na mara nyingi wakiongelea negativity Kwa Russia.
Mfano wa Gaza war Aljazeera utaiona 80% ya news coverage ni Gaza kiasi upande mwingine wa dunia unatengwa.
Ila Kwa CGTN hilo halipo,hata kama kutakua na yanayoendelea China kuna kipindi chake kwenye program ya CGTN yataoneshwa na muda ukiisha habari zingine zinaendelea.
Na wao utoaji wao habari ni kuripoti kama walivyozipata basi hakuna cha ziada.
Mbona ottoman iliangushwa na kobazi wakaja kupewa mamlaka ya ardhi zao na wazunguNothing can defeat a true Jihad. Bring them
Elewa maana ya True..Mbona ottoman iliangushwa na kobazi wakaja kupewa mamlaka ya ardhi zao na wazungu
False ..........crusade iendeleeElewa maana ya True..
Kama wenyewe wamekubali hilo na wamekiri hadharani wewe ni nani uwabishie?Duuh ngoja tusubiri tuone lakini usalama wa Iran ni kumiliki nyuklia na si vinginevyo
Ujinga walio nao waarabu ni unafiki wa wao kwa wao. Ndani ya mifumo yao mapandikizi ni wengi mpaka nafasi za juu sanaUnajidanganya Ayatollah hawezi kuacha huo mpango anajua anazubaishwa kama Sadam. Waajemi wana akili kuliko mlivyowazoea waarabu hapo bado kazi ipo
Ujue haya mambo yako kinafikia sana kila mtu anangalia maslahi yake yako wapi vitendo ndio vitaangaliwa zaidi sio maneno matupuKama wenyewe wamekubali hilo na wamekiri hadharani wewe ni nani uwabishie?