Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili dume la mbegu linaweza kukupa mimba kabisamakobaz watanyooka...hili ni dume la mbeguu mazeee...litatusafishia uchafu wotee
Moisemusajiografii hawa wanadhani wapo karne ya 11 , wanadhani sasa hivi watu watakubali dharau ya wanywa gahawa 🤣🤣🤣🤣Duuh ngoja tusubiri tuone lakini usalama wa Iran ni kumiliki nyuklia na si vinginevyo
Dawa ya moto motoHahaha jihad aka itikadi ya kitapeli hahahah
Hapana huu hapaMoto upi huu au 🤣🤣
View attachment 3152783
Asikilize tena hiyo clip hapo juu ingawa Trump alijaribu kuongea kiungwana ila anamaanisha jambo kubwa kwa Iran & her partners' in crimes!Moisemusajiografii hawa wanadhani wapo karne ya 11 , wanadhani sasa hivi watu watakubali dharau ya wanywa gahawa 🤣🤣🤣🤣
America ni Secular.America the Christian State
Mwamba na nusu Green Beret,Afghanistan na Iraq wanamtambua.Moisemusajiografii itikadi uchwara wameanza kutapa tapa🤣
View attachment 3152677
View attachment 3152678
Mwamba aliwahi kuwa jeshini
View attachment 3152680
Na jana Balozi wa Iran UN kamtafuta Elon Musk na kufanya nae mazungumzo ya siri. Wanajua wasipojisalimisha nini kitawakuta.Ayatollah amekubali kukaa chini na kusitisha uzalishaji/uendelezaji "zana" za nyuklia.Unadhani kwa nini?
Haaa😂😂😂😂😂Lakini hao mbona huwa tunawapiga kila siku kwenye tamthila za Azam Tv (Burudani kwa Waturuki)?.
Marekani ruksa muda mrefu sana,waliweka hivyo kuwavutia vijana wengi kujiunga na jeshi.Mbona mwamba kajichora tatuu wakati majeshi yetu hayaruhusu uwe nayo?
Usidanganye watu hapa.Ayatollah amekubali kukaa chini na kusitisha uzalishaji/uendelezaji "zana" za nyuklia.Unadhani kwa nini?