CRYPTO-FUNZO KWA WAKURUPUKAJI: Luna coin ilikua ni sawa na $85 wiki ilopita lkn kwa sasa ni takataka(trash coin)

CRYPTO-FUNZO KWA WAKURUPUKAJI: Luna coin ilikua ni sawa na $85 wiki ilopita lkn kwa sasa ni takataka(trash coin)

Naomba kuuliza swali wataalam wa ma cyrpto currency.
1. Kwenye hii biashara, bidhaa ni nini?
2. Risk Mitigation ikoje kwenye hii biashara?, since haiko regulated?
3. Kila mtu akiamua ku convert fedha zake back to USD, faida itatokea wapi kwa wale watakaopaswa kulipwa faida kwa bei ya kipindi hicho?
4. Kwa nini hii sio scam or pyramid scheme?
 
Naomba kuuliza swali wataalam wa ma cyrpto currency.
1. Kwenye hii biashara, bidhaa ni nini?
2. Risk Mitigation ikoje kwenye hii biashara?, since haiko regulated?
3. Kila mtu akiamua ku convert fedha zake back to USD, faida itatokea wapi kwa wale watakaopaswa kulipwa faida kwa bei ya kipindi hicho?
4. Kwa nini hii sio scam or pyramid scheme?
1. Bidhaa ni sarafu. Kama unavyonunua dollar kwa kutumia tsh basi ndivyo hvo mtu alinunua Luna coin kwa kutumia tsh.

2. Risk mitigation ni kwa wanaoifanya hii bizness kitaalam. Inshort ni buy low sell high au reverse kwa shortselling. So kabla ya kuamua kununua unaangalia kama sarafu mtandao(crypto) unayonunua ina potential ya kuongezeka value. Kucontrol risk ni ile namna unajipanga kwamba uiuze ikifika value ipi incase isipo ongezeka value, yaan ikashuka. Ni kama stop loss na take profit

3. Watu wakisell crypto zote ofcoz crypto zitakua worthless coz value zao zinaongozwa na sheria ya supply and demand. LAKINI hio haiwezekani mkuu, the only currency kwenye dark web ni hz crypto. So theoretically kuuzwa ni sawa ila practically ni ngumu. Kuna mda itatokea tu watu wengi(japo sio wote) wakaziuza na hio imetokea now coz crypto karibia zote zimeshuka thamani kiasi kikubwa lkn complete sell off ni ngumu kutokea.

4. kama umenielewa basi utaona crypto ni financial instrument kama vle stock. The earlier you buy, the lower quote you get. hapo ndo panakuchanganya ukadhani ni pyramid scheme. If crypto is scam then NYSE & NASDAQ nazo ni scam coz zinapokea IPOs za Crypto exchanges.
 
1. Bidhaa ni sarafu. Kama unavyonunua dollar kwa kutumia tsh basi ndivyo hvo mtu alinunua Luna coin kwa kutumia tsh.
I thought that way but naona ni unfair comparison kwa sababu USD iko backed up na US Central Bank while hizo zingine hazina guarantee. So I don't think ni fair comparison. Kama reasoning yangu ni sawa, then swali bado linasimama. Na kama siko sahihi, nasimama kukubali kurekebishwa!
2. Risk mitigation ni kwa wanaoifanya hii bizness kitaalam. Inshort ni buy low sell high au reverse kwa shortselling. So kabla ya kuamua kununua unaangalia kama sarafu mtandao(crypto) unayonunua ina potential ya kuongezeka value. Kucontrol risk ni ile namna unajipanga kwamba uiuze ikifika value ipi incase isipo ongezeka value, yaan ikashuka. Ni kama stop loss na take profit
Kama nimeelewa ni sort ya kamari, unabahatisha kwa kuangalia trend na vitu kama hivyo. Kama niko sahihi, tofauti yake na kucheza kamari kama betting ni ipi?

3. Watu wakisell crypto zote ofcoz crypto zitakua worthless coz value zao zinaongozwa na sheria ya supply and demand. LAKINI hio haiwezekani mkuu, the only currency kwenye dark web ni hz crypto. So theoretically kuuzwa ni sawa ila practically ni ngumu. Kuna mda itatokea tu watu wengi(japo sio wote) wakaziuza na hio imetokea now coz crypto karibia zote zimeshuka thamani kiasi kikubwa lkn complete sell off ni ngumu kutokea.
Naelewa kwamba hilo haliwezekani kutokea kwa pamoja, ila lengo ni kujua kama ni pyramid scheme ama la. Kwenye biashara product ndio inatunza thamani ya kitu. Mfano nikiwa na maembe watu wakawekeza, ikifikia kipindi cha kuwarudishia pesa zao tutahesabu maembe na kuwapa wakauze wajilipe au tutawapa maembe wakale na familia. Sasa kwa sababu CC zinanunuliwa kwa dollar, wakitakiwa kum refund kila mtu inawezekana au kuna watakaoondoka mikono mitupu kwa sababu hela zao wamelipwa wengine?

4. kama umenielewa basi utaona crypto ni financial instrument kama vle stock. The earlier you buy, the lower quote you get. hapo ndo panakuchanganya ukadhani ni pyramid scheme. If crypto is scam then NYSE & NASDAQ nazo ni scam coz zinapokea IPOs za Crypto exchanges.
Hisa ni government sanctioned kind of scam. Sema yenyewe at least kuna kampuni unanunua hisa na zinaeleweka. Ila kuna kuumia kwingi huko pia!

Nashukuru kwa majibu yako, kuna vitu nimejifunza. Ila ukiweza ku comment on followup comments zangu nitashukuru!
 
I thought that way but naona ni unfair comparison kwa sababu USD iko backed up na US Central Bank while hizo zingine hazina guarantee. So I don't think ni fair comparison. Kama reasoning yangu ni sawa, then swali bado linasimama. Na kama siko sahihi, nasimama kukubali kurekebishwa!

Kama nimeelewa ni sort ya kamari, unabahatisha kwa kuangalia trend na vitu kama hivyo. Kama niko sahihi, tofauti yake na kucheza kamari kama betting ni ipi?


Naelewa kwamba hilo haliwezekani kutokea kwa pamoja, ila lengo ni kujua kama ni pyramid scheme ama la. Kwenye biashara product ndio inatunza thamani ya kitu. Mfano nikiwa na maembe watu wakawekeza, ikifikia kipindi cha kuwarudishia pesa zao tutahesabu maembe na kuwapa wakauze wajilipe au tutawapa maembe wakale na familia. Sasa kwa sababu CC zinanunuliwa kwa dollar, wakitakiwa kum refund kila mtu inawezekana au kuna watakaoondoka mikono mitupu kwa sababu hela zao wamelipwa wengine?


Hisa ni government sanctioned kind of scam. Sema yenyewe at least kuna kampuni unanunua hisa na zinaeleweka. Ila kuna kuumia kwingi huko pia!

Nashukuru kwa majibu yako, kuna vitu nimejifunza. Ila ukiweza ku comment on followup comments zangu nitashukuru!
Mkuu ukipata muda ingia hapa www.teachyourselfcrypto.com its free knowledge is power!
 
hii yote imesababishwa na mkorea Do Kwon alipewa tahadhali ya wazi kabisa kuwa mtu mwenye capital ya $1billion angeweza kuidepeg UST ila yeye akashupaza shingo yake ona sasa mpaka watu wamejinyonga kisa ukiburi wake
 
Sasa sijaona mahali ambapo mteja angegundua kama sarafu yake itashuka bei.
hebu tuambie hapo huwa wanasema? Au Kuna viashiria gani?
 
Unfortunately kwa sasa sina muda, umebana sana. Nitajifunza kwa wanaojua tu!
Programmer gani wewe wa ajabu unakua eti huna muda wa kujifunza!!

Yaani ndio kusema umesharidhika kabisaaa na hiyo level of knowledge ulionayo sasa!

Yaani ushaamua utakufa na Laravel, Flute, Django library pamoja na MongoDB! Vingine vipite kuleee!

Learning is a continuous process.
 
Programmer gani wewe wa ajabu unakua eti huna muda wa kujifunza!!

Yaani ndio kusema umesharidhika kabisaaa na hiyo level of knowledge ulionayo sasa!

Yaani ushaamua utakufa na Laravel, Flute, Django library pamoja na MongoDB! Vingine vipite kuleee!

Learning is a continuous process.
Ni programmer wa ajabu ajabu mie...!
 
Programmer gani wewe wa ajabu unakua eti huna muda wa kujifunza!!

Yaani ndio kusema umesharidhika kabisaaa na hiyo level of knowledge ulionayo sasa!

Yaani ushaamua utakufa na Laravel, Flute, Django library pamoja na MongoDB! Vingine vipite kuleee!

Learning is a continuous process.
Hata mie ninashangaa sana yaani,
 
I thought that way but naona ni unfair comparison kwa sababu USD iko backed up na US Central Bank while hizo zingine hazina guarantee. So I don't think ni fair comparison. Kama reasoning yangu ni sawa, then swali bado linasimama. Na kama siko sahihi, nasimama kukubali kurekebishwa!
Japo kuna vitu vinaitwa stable coins hzo ndo utakuta ziko backed up na assets kama vle gold au real dollar. Mfano kuna tether ambayo value yake inamatch na 1 dollar. So provider wa hio coin wako na dollar reserve plus dollar backed assets ili kuipa backup tether
 
Kweli kabisa Mkuu
Unategemea kukusanya RENEC ngapi hadi July? Kuna zawadi sasa hivi zinatolewa na Remitano kwa Watz mtu akijiunga kwa refferal code yako anapata USDT 4 na wewe unapata moja. Je ulishalisikia hilo?
 
Japo kuna vitu vinaitwa stable coins hzo ndo utakuta ziko backed up na assets kama vle gold au real dollar. Mfano kuna tether ambayo value yake inamatch na 1 dollar. So provider wa hio coin wako na dollar reserve plus dollar backed assets ili kuipa backup tether
Haya mambo ya pegging ndiyo bwana George Soros aliwafanya mbaya Uingereza na Pound yao. Haiwezekani na huku siku moja watu wakalazwa na viatu?
 
Unategemea kukusanya RENEC ngapi hadi July? Kuna zawadi sasa hivi zinatolewa na Remitano kwa Watz mtu akijiunga kwa refferal code yako anapata USDT 4 na wewe unapata moja. Je ulishalisikia hilo?
Aisee
 
Hello bosses kwanza kabisa naomba mods msiedit heading ya huu uzi.

Kumekuwa na wimbi la watu kutoheshimu professions za wengine na hili linabackfire mdg mdg.

Watu wengi siku hz wanadhan kila mtu anaweza kuwa investor wakiongozwa na kaka yao fln kule twitter lkn niwaambieni tu hio ni profession kama profession nyingine na inabidi uisomee ili usijeukakutana na majanga yalowapata wale investors wa hii Luna coin.

Kwanza ntaelezea kwa nn watu walidanganya na wakadanganyika. Kwenye crypto hizi coins bei yake inabadilikabadilika sana so wengi huogopa kuinvest. Sasa akatokea jamaa mmoja anajiita somebody 'Kwon' raia wa korea na muhitimu wa Stanford akabuni coin moja ambayo ilikua pegged kwenye 'stable coin' fln inaitwa UST (Terra USD).

Subiri, najua unaweza kujiuliza stable coin ni nn. Stable coin ni coin ambayo iko in sync na asset au currency ambayo haibadiliki sana value yake (less volatile asset/currency) hivyo kufanya hio coin kuwa stable. Stable coin nyingi zinakua pegged kwenye usd kwa mfano (hadi wiki ilopita) 1UST ilikua ni sawa na 1 USD ($ dollar). So hio inamaanisha value ya hio TerraUSD ni inakua sawa na value ya Dollar. Mfano mwngine wa stable coin maarufu ni Tether (USDT) hii ipo kwenye blockchain ya etherium.

Sasa huyu Kwon akatengeneza coin hii inaitwa Luna ambayo sio stable coin lkn akaipeg na Stable coin hio ya TerraUSD (UST).

So watu wengi wanaojiita investor wa crypto wakaona Luna Coin ni deal coz iko pegged kwenye stable coin(bila kujua how hio UST inavyopata stability yake). So wakanunua na coin ilifika mbali sana last week value ya coin moja ya luna ilikua ni $85.


Kumbe haya mambo yanahitaji utaalam na investors wakurupukaji hawakujua hilo.

Iko hv, nmesema stable coin zinakua pegged na less-volatile assets, so wengi hutumia USD DOLLAR. Mfano value ya USDT inachezea kwenye 1 dollar, na value ya UST (TerraUsd) ilikua inachezea humohumo. Tofauti ni kwamba USDT inatumia Real Dollar Reserve, lkn hii UST inatumia virtual au tuuite 'Algorithmic dollar'. Yaan huyu Kwon alitengeneza mechanism fln kwenye program yake ambayo inatumia bitcoin reserve ili kumantain value ya UST (stable coin anayotumia kubackup Luna).

Sasa kwa wachache walolifahamu hilo walijua kwamba aidha wasiinvest kwenye Luna coz stablecoin yake UST haitumii real Dollar kama zilivyo Tether (USDT) na stable coin nyngne Au watumie strategy kwamba bitcoin ikianza kushuka kwa kasi basi ni muda kwa kuuza Luna coz behind the scenes Luna inategemea Bitcoin.

Lakini wale wanaojidai kujua kila kitu waliposikia Luna iko pegged kwenye stablecoin UST moja kwa moja waka-buy.


So kilichotokea ni kwamba kama ulikua na Luna 1000 last week ungeweza nunua Range mpya ya 2021 na ukabakiza chenji ya kutosha tu ila kama bado unazo leo hii basi hazina tofauti na trash coz hata IST used choka mbaya kutoka japan haupati.

Note::Kuna wanaojipa moyo kuwa Luna itaregain value yake lkn ni kitu ambacho haiwezekani coz madudu yake yashawekwa wazi na issue ya kutumia virtual dollar imewakatisha tamaa sana waloamini Luna coin. Na isitoshe hapa nnavyoongea huyo Kwon 'Aloanzisha Luna' alikua anaomba msaada polisi coz watu walivamia nyumba yake juzi na jana wakimshutumu kuwadanganya khs coin alotengeneza.

Ukipewa ushauri khs kuinvest na mtu fln kuwa makini sana coz kasoma summary ya kitabu thn akatengeneza summary yake ndo akatumia hio summary yake kukyshauri

~Peace
Kali Linux
Safi elimu nzur umewapatia.
Kwa wale watakao kuwa interest watembelee Link hii wajiunge wapate Fursa mbali mbali za Uwejezaj wa fedha zao ktk mfumo wa Digital Currency hakika watanikumbuka.

 
Back
Top Bottom