Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna anayeweza kuimiliki wala kuicontrol , kwaiyo imeanzishwa na nani yaani mtu aanzishe kitu alafu asiweze kukicontrol broo uko serious kweli au unachekesha yaanai leo hii nivumbue kitu alafu nisiwe na udhibiti nacho emu kuwa serious kidogo boss wangu!!Huu mfano naujua. Sina uhakika kama practically unawezekana, lakini mantiki yake naielewa.
Lakini huu mfano hau-apply kwa Bitcoin yenyewe kama Crypto, bali unaweza ku-apply kwa "Crypto Banks" au "Crypto Exchanges". Hizi Crypto exchanges zinamilikiwa na kusimamiwa na watu, lakini crypto yenyewe kama Bitcoin hakuna anaeimiliki - kwa kiingereza tunasema ni de-centralized.
Hata huyu anaeitwa Satoshi Nakamoto yeye ni Mvumbuzi wa Bitcoin, lakini sio mmiliki wa Bitcoin wala hawezi "Kui-control" Bitcoin. Na sio Satoshi Nakamoto tu, bali hakuna mtu yeyote, wala serikali yoyote, wala taasisi inayoweza kumiliki na ku-control crypto.
Satoshi sio wa kwanza kuja na concept ya Crypto, bali yeye alisaidia kutatua changamoto ambayo watangulizi wake walishindwa kuitatua, ambayo hiyo ndio imefanikisha kulifanya wazo la Crypto liwe viable. Ni kweli, waleti yake ina 5% ya Bitcoin zote - ila hajawahi kuzitoa wala kufanya muamala wowote tangu mwaka 2009. Mara ya mwisho alituma ujumbe kuwa "Nimeingia kwenye mambo mengine" mwaka 2010, tangu hapo hajasikika tena na wala waleti yake haijawahi kufanya muamala wowote.
Kwahiyo, crypto hazina wamiliki na haiwezekani kuzimiliki, bali zina waanzilishi. Makampuni mengi yanayowatapeli watu yanatumia utapeli ule ule ambao unatumika kutapeli pesa za kawaida; mfano hii kampuni niliyoielezea kwenye uzi - Celsius, na nyingine inaitwa Quadriga CX, na nyingine inaitwa FTX.
BOTTOM LINE
Shida sio crypto, shida ni kampuni zinazofanya biashara ya kutunza, na kufanikisha miamala ya crypto.
Mkuu; pamoja na njia zingine za kufanya utafiti, ungeweza hata ku-google tu ukajua alieanzisha ni nani na kwanini hawezi ku-control 😃. Labda kama unataka lazima ufafanuzi wake niutoe hapa.Hakuna anayeweza kuimiliki wala kuicontrol , kwaiyo imeanzishwa na nani yaani mtu aanzishe kitu alafu asiweze kukicontrol broo uko serious kweli au unachekesha yaanai leo hii nivumbue kitu alafu nisiwe na udhibiti nacho emu kuwa serious kidogo boss wangu!!
Pole; Jibu lako linaonesha hujaelewa kilichoongelewa, badala yake umeelewa sehemu moja tu - ya kuhusu "Crpto Banks" tu 😄.Gazeti reeefu lkn halina maana hapo unazungumzia brokerage companies kufilisika sio cryptocurrency kufilisika. miaka ya 2011 bitcoin ungeuza kwa USD5 leo hii bitcoin moja unauza kwa USD22000.
Kama ambavyo ukipanda mahindi shambani, unatarajia mvua inyeshe (Na inaweza isinyeshe), yaote - yakue vizuri, uvune kiasi cha kutosha, uuze, upate kipato (Ambapo unaweza kula hasara) au ukipanda chombo cha usafiri (Mfano boda boda) kutoka sehemu moja kwenda nyingine - unatarajia ufike (Bila kujua kama dereva aliyekubeba ana ujuzi wa kutosha au bado 'learner', ambapo unaweza ukafika unakoenda au ukafa njiani kwa ajali.Hii sio biashara ni kamali kupata au kukosa
Pole; Jibu lako linaonesha hujaelewa kilichoongelewa, badala yake umeelewa sehemu moja tu - ya kuhusu "Crpto Banks" tu 😄.
Kwa kifupi - Bitcoin haikuanzishwa ili watu wainunue na kuiuza, Bitcoin haikuvumbuliwa ili iwe "investment asset" kama ambavyo wewe unasema kuwa ungenunua $5 na leo ungeuza $22,000. Na hii ya kununua na kuuza ndo imeingiza matapeli wengi kwenye crypto a.k.a Brokerage companies. Andiko la Satoshi mwenyewe linaeleza kwa undani dhumuni la yeye/wao kuanzisha Bitcoin/blockchain.
Nimekusoma Mzee...coin gani kwa sasa tununue labda itatutoa mbele ya safari maana maisha yenyewe kamali tu..japo matapeli wamejaa mpaka sielewi ipi niiaminiKama ambavyo ukipanda mahindi shambani, unatarajia mvua inyeshe (Na inaweza isinyeshe), yaote - yakue vizuri, uvune kiasi cha kutosha, uuze, upate kipato (Ambapo unaweza kula hasara) au ukipanda chombo cha usafiri (Mfano boda boda) kutoka sehemu moja kwenda nyingine - unatarajia ufike (Bila kujua kama dereva aliyekubeba ana ujuzi wa kutosha au bado 'learner', ambapo unaweza ukafika unakoenda au ukafa njiani kwa ajali.
Ukamari wa kitu kwenye maisha ni 'relative term', kila mmoja ana tafsiri yake. Infact, maisha kwa ujumla wake ni kamari, lakini haitufanyi tuogope kuishi japo hatujui kesho itakuwaje.
Luna.Nimekusoma Mzee...coin gani kwa sasa tununue labda itatutoa mbele ya safari maana maisha yenyewe kamali tu..japo matapeli wamejaa mpaka sielewi ipi niiamini
Shiba inu vipi kaka unaionaje maana iko chini sana kwa sasa labda ukinunua ukahold for years inaweza kukupa mzigo wa hatariLuna.
Ape.
Axie infinity.
Avalanche.
Solana.
Fil.
Icp.
Cake.
Nunua kati ya izo
Ingekua vzr uinunulie kwenye 0.0000077-0.0000080 kama itashuka apo ila ni mpak BTC ashuke uzuri coin nying zipo chini xa hv so nunua tyShiba inu vipi kaka unaionaje maana iko chini sana kwa sasa labda ukinunua ukahold for years inaweza kukupa mzigo wa hatari
Pia uwe unafany staking ya coin ulizonunua uku ukisubir price yake kupandaShiba inu vipi kaka unaionaje maana iko chini sana kwa sasa labda ukinunua ukahold for years inaweza kukupa mzigo wa hatari
Yah sahihi mkuu,lwngo la satoshi ni kwamba bitcoin iwe kama hizi pesa za kawaida tufanye miamala mbalimbali bila kodi kubwa na makato makubwa wala mtu kati,pia kuwe na uharaka wa muamala kutoka sehemu moja kwenda ingine.Pole; Jibu lako linaonesha hujaelewa kilichoongelewa, badala yake umeelewa sehemu moja tu - ya kuhusu "Crpto Banks" tu 😄.
Kwa kifupi - Bitcoin haikuanzishwa ili watu wainunue na kuiuza, Bitcoin haikuvumbuliwa ili iwe "investment asset" kama ambavyo wewe unasema kuwa ungenunua $5 na leo ungeuza $22,000. Na hii ya kununua na kuuza ndo imeingiza matapeli wengi kwenye crypto a.k.a Brokerage companies. Andiko la Satoshi mwenyewe linaeleza kwa undani dhumuni la yeye/wao kuanzisha Bitcoin/blockchain.
Yes! Wewe sasa ndo tumeelewana vizuri. Asante sana.Yah sahihi mkuu,lwngo la satoshi ni kwamba bitcoin iwe kama hizi pesa za kawaida tufanye miamala mbalimbali bila kodi kubwa na makato makubwa wala mtu kati,pia kuwe na uharaka wa muamala kutoka sehemu moja kwenda ingine.
Lakini sasa hivi bitcoin sio fedha ya kimtandao bali ni bidhaa maana watu huinunua na kinachonunuliwa ni bidha na sio pesa.
Leo huwezi kusema naenda dukani kununua alfu kumi,kwa sababu pesa sio bidhaa hivyo kwa sasa tukisema bitcoin nni fedha ya kimtandao sio sawa.
japokuwa watu wanapiga pesa kupitia trading(na wengine kupoteza)so cha muhimu ni kwenda na mdundo maadamu pesa inapatikana huko bila kuua mtu wala kudhulumu maana kila mtu anaingia kwa hiyari yake.
now kuna exchange mbalimbali ambazo mtu unaweza fanya trading kama ile ya kwenye forex na ukapata pesa ama UKAPOTEZA pia.
So naungana na wewe kwamba now crypto inavyofanywa ni beyond its goals,japokuwa malengo pia yamefikiwa kwa kiwango fulani
Mkuu, do you trade forex na crypto!!?Kwanza hili neno la "Hela ya kudownload" nadhani limekuwa coined na watu wanaotaka kuuaminisha umma kuwa trading ni rahisi, kitu ambacho hata wao wanajua si kweli. Kwa maoni yangu, hakuna hela za kudownload, kwamba ziko mahali wewe kazi yako ni kuzipakua tu. Ninachojua ni either unafanya biashara kwa kujua unachokifanya au una-bet/unabahatisha (Una-download).
Ndio maana mabenki yanafanya hizi trading, yameajiri watu mahsusi kwaajili ya speculative trading. Utofauti wao na sisi traders wa mtaani ni kuwa wao wanasimamiwa na sheria and so kuna kiwango cha mtaji ambacho ni lazima wa-maintain. Kwahiyo hawawezi ku-bet na ku-risk kwa kiwango ambacho kitaathiri shughuli za benki. Kwa lugha nyepesi; wana-trade professionally, na sio kwa mihemko au tamaa.
Binafsi nimechoma pesa kama ilivyo kwa kila trader duniani; japo siwezi kutaja kiwango hapa 😉 However, kwa sasa sifanyi speculation; nipo najaribu namna zingine.
Unatrade mkuu ?Yes! Wewe sasa ndo tumeelewana vizuri. Asante sana.
Mkuu technology iache. Ukiachana na bitcoin, ushawahi kusikia kisa cha mtandao wa piratebay ambao wahusika walishitakiwa kwa kosa la kusambaza kazi za waty bila hatimiliki na kuinhiza mamilioni ya hasara.Hakuna anayeweza kuimiliki wala kuicontrol , kwaiyo imeanzishwa na nani yaani mtu aanzishe kitu alafu asiweze kukicontrol broo uko serious kweli au unachekesha yaanai leo hii nivumbue kitu alafu nisiwe na udhibiti nacho emu kuwa serious kidogo boss wangu!!
Kufanya verification ya account yako,utatumia nida au passportkyc ndio nini mkuu, samahani
Kitambulisho cha mpiga kura piaKufanya verification ya account yako,utatumia nida au passport