Ni bora tukae kimya.. Unawapa watu michongo + info zote, huwaombi ela ila wanakuita tapeli, hii kitu inanishangaza sana.Mkuu mimi huu ndio uzi wangu wa Mwisho wa Crypto kuchangia, nitabaki kimyaa sanasana likes tu. Wacha nipige pesa kimyakimya maana wajuaji wamekuwa wengi mnoo[emoji23][emoji23][emoji23]
Siku wakiamka naamini wajanja tutakuwa mbali sana.