Mihayo DP
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 560
- 1,000
Kaka Sijui sana kuhusu Ontario,lakini anajiita now days sir Jeff Dennis he is one of the good traders in the financial markets category,Jamaa anajua na anaishi vizurHuwa inachukiza sana baadhi ya w$3nge kuona kama yule jamaa Ontario ndiye kaitengeneza fx..
Wakati ameikuta na itaendelea kuwepo, kila ukisemea haya masuala watu Wana refer Ontario, who is Ontario? Ontario ni nothing kwenye haya masuala, amejifunza kama wengine, yeye sio master, yeye sio best trader kuliko wote, yeye ni mtafutaji kama mentors wengine, kufeli kwake it's not guarantee wengine watafeli.
Yeye sio institute au bank, so tuacheni ujinga...
Jamiiforums imekuwa na wajuaji wengi, wajuaji njaa.. kuna jamaa alinambia jf wanaojua vitu wapo kimya, cause wakitaka kuchangia kuna wa$3nge wajuaji njaa wanapinga kila kitu...
Inaudhi sana...
Mkuu hongera sana, we komaa na Crypto, usione hata noma kusema una trade fx kisa w@$3nge mbu mbu mbu...
One thing about financial markets inahitaji shule kwel kwel sio mchezo,you need to invest energy and time Ku master...lakini the worst thing watu wanaona n scam ni kwa sababu ya kutamani pesa za haraka haraka na unakuta kuna mentors wanafundisha forex ama crypto for week its a weird...Financial markets is promising take time and learn brothers and sisters..
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app