Cryptocurrency ni kweli siyo upigaji; kwa siku tano nimeingiza faida ya dola 900 za kimarekani

Cryptocurrency ni kweli siyo upigaji; kwa siku tano nimeingiza faida ya dola 900 za kimarekani

Status
Not open for further replies.
Ni wiki mbili zimepita nimejiunga kwenye crypto currency baada ya kulazimishwa na rafiki yangu. Alinisihi sana nikasita. Aliniambia sasa hivi kabla ya October kuisha ukiwekeza kwenye coins sahihi ambazo alinisaidia kunionesha nitapata faida.

Nilisita ila siku tano zilizopigwa nikafungua account ya moja za crypto currency kumbuka mimi bado mgeni kwenye mambo haya.

Leo nimeangalia nimepata faida ya 900 dollars kwa 500 dollars niliyoinvest na inapanda.

Nilijuaga hii ni upigaji kama ile forex ya jamaa humu ila siyo. Ukiinvest tu kwenye coin nzuri unaweza kutoka sana na faida nyingi na kubwa.

Ni vizuri pia kujifunza kabla ya ku invest mtandaoni ama unamjua rafiki ambaye yumo kwenye gemu kwa muda. Kuna coins nyingi sana kwenye crypto nimeuja kujua.

Coin yenye thamani sasa hivi ni Bitcoin na Bitcoin moja ni 61,000 USD. Na miaka 10 iliyopita ilikuwa 50 cents.

Wale wazoefu wa Crypto (Bitcoin) tunaomba maujuzi yenu tu jifunze Zaid. Coins zipi zinafaa.

Crypto si upigaji

Karibuni kwenye mjadala

Sawa mkuu nilinunua cardarno
1635808139128.png



Cardano gan ulinunua ukapata faida kubwa hvyo, na cardano uwa inapanda taratibu sana. Acha kudanganya watu
 
Acheni porojo nyie. Hapa kuna kaharufu ka upigaji hakuna hela za bure ni kufanya kazi tu na uzalishaji mali baas. Kuna mapori mapana lukuki nchini, vyanzo vya maji, ardhi yenye rotuba. Tufanyeni kazi jamani.
Aiseee...
wewe bado sana endelea kulala....
Na huo upigaji unatoka wapi?,
wakati crypto ni kama mtu kafungua account yake benki mwenyewe, na hahitaji msaada wa kufanya hivyo kama anajua mwenyewe kutumia simu janja...
Hata wa vijiji kama nyie miaka ile wakati wafanyakazi wa benki walikuwa wanazunguka vijijini kuwashauri mfungue akaunti benki kuhifadhi hela zenu za mazao, kulikuwa na watu kama wewe mnawaambia utaibiwa hela ukiweka benki....
 
Napenda sana nijifunze how to trade. Ukiwin hii kitu unaweza ishi kama freemason.
Kuna shabiki mmoja maarufu wa mpira wa miguu wa timu ya taifa alihojiwa anawezaje kusafiri kila nchi kushabikia timu akajibu kwa ufupi anatrade.
Yaani ukiwa smart hii kitu inaweza kukufanya uishi kifalme.
 
Napenda sana nijifunze how to trade. Ukiwin hii kitu unaweza ishi kama freemason.
Kuna shabiki mmoja maarufu wa mpira wa miguu wa timu ya taifa alihojiwa anawezaje kusafiri kila nchi kushabikia timu akajibu kwa ufupi anatrade.
Yaani ukiwa smart hii kitu inaweza kukufanya uishi kifalme.
Ni kweli mkuu kabisa mkuu. Tuseme umeinvest kama 1000 kwenye coin ambayo ilikuwa dollar moja halafu ipande hadi 1000
 
Mara wewe mgeni kwenye hii ishu mara umepata 900$...

Kirahis rahis hvyo..

Hebu nenda fesibuku a.k.a meta kawakusanye huko
 
Mkuu ni kweli market itakuwa nzuri hadi mwisho wa mwaka huu ukiinvest kwenye crypto ? Halafu itashuka hadi mwezi wa nne April next year na kupanda tena.? Nimesikia wanao wekeza sasa hivi hadi December watakuwa kwenye mazingira mazuri ya kufaidika?
Mkuu cryptos ziko volatile sana, ni ngumu kupredict itapanda au itashuka. We fikiria tuu, Elon Musk akitweet kuhusu crypto, market inahama kabisa.

Yaani muda wowote inapanda au kushuka.
 
Huwa inachukiza sana baadhi ya w$3nge kuona kama yule jamaa Ontario ndiye kaitengeneza fx..

Wakati ameikuta na itaendelea kuwepo, kila ukisemea haya masuala watu Wana refer Ontario, who is Ontario? Ontario ni nothing kwenye haya masuala, amejifunza kama wengine, yeye sio master, yeye sio best trader kuliko wote, yeye ni mtafutaji kama mentors wengine, kufeli kwake it's not guarantee wengine watafeli.

Yeye sio institute au bank, so tuacheni ujinga...

Jamiiforums imekuwa na wajuaji wengi, wajuaji njaa.. kuna jamaa alinambia jf wanaojua vitu wapo kimya, cause wakitaka kuchangia kuna wa$3nge wajuaji njaa wanapinga kila kitu...

Inaudhi sana...

Mkuu hongera sana, we komaa na Crypto, usione hata noma kusema una trade fx kisa w@$3nge mbu mbu mbu...
Kwani mkipiga hela nyie ni lazma uwaambie na wenzio?
 
Mkuu mimi nafanya kazi siyo eti ntategemea tu crypto. Iyo 500 USD nimeinvest tu mkuu kama Pata potea ila nilivoona hii faida imenipa moyo. Pia ukiwa na akili timamu huwezi wekeza hela yako yote.

Lakini tegemea ipo siku utalia...
Ongeza dau la uwekezaji! Weka10,000 USD
 
Ni wiki mbili zimepita nimejiunga kwenye crypto currency baada ya kulazimishwa na rafiki yangu. Alinisihi sana nikasita. Aliniambia sasa hivi kabla ya October kuisha ukiwekeza kwenye coins sahihi ambazo alinisaidia kunionesha nitapata faida.

Nilisita ila siku tano zilizopigwa nikafungua account ya moja za crypto currency kumbuka mimi bado mgeni kwenye mambo haya.

Leo nimeangalia nimepata faida ya 900 dollars kwa 500 dollars niliyoinvest na inapanda.

Nilijuaga hii ni upigaji kama ile forex ya jamaa humu ila siyo. Ukiinvest tu kwenye coin nzuri unaweza kutoka sana na faida nyingi na kubwa.

Ni vizuri pia kujifunza kabla ya ku invest mtandaoni ama unamjua rafiki ambaye yumo kwenye gemu kwa muda. Kuna coins nyingi sana kwenye crypto nimeuja kujua.

Coin yenye thamani sasa hivi ni Bitcoin na Bitcoin moja ni 61,000 USD. Na miaka 10 iliyopita ilikuwa 50 cents.

Wale wazoefu wa Crypto (Bitcoin) tunaomba maujuzi yenu tu jifunze Zaid. Coins zipi zinafaa.

Crypto si upigaji

Karibuni kwenye mjadala
what can you buy with this invisible cash of yours? lets say you want out of the investment, how much real currency will you get?
Vijana wa IT mnavamia fani za watu (hapa ni IT wa dunia nzima sio wa Tz pekee). What immunity does bitcoin has from Market crash?
Finance ni fani ya watu. Untill bitcoin can buy tangible things, steer clear. You can't invest in a currency.
 
Sasa faida ya kuingiza siku 2 wewe uhangaike siku 5 zote hizo, what for? Tena bahati nasibu, ikishuka thamani ndio umeliwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom