Cryptocurrency ni kweli siyo upigaji; kwa siku tano nimeingiza faida ya dola 900 za kimarekani

Status
Not open for further replies.
Mkuu mimi huu ndio uzi wangu wa Mwisho wa Crypto kuchangia, nitabaki kimyaa sanasana likes tu. Wacha nipige pesa kimyakimya maana wajuaji wamekuwa wengi mnoo[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni bora tukae kimya.. Unawapa watu michongo + info zote, huwaombi ela ila wanakuita tapeli, hii kitu inanishangaza sana.
Siku wakiamka naamini wajanja tutakuwa mbali sana.
 
Shiba Inu? Au umechanganya??
 
Ni bora tukae kimya.. Unawapa watu michongo + info zote, huwaombi ela ila wanakuita tapeli, hii kitu inanishangaza sana.
Siku wakiamka naamini wajanja tutakuwa mbali sana.
Kabisa Mkuu. Wacha kila mtu apambane kivyake.
 
Quantitative Finance / Finance/Fintech na computer skills zinaenda sambambaa acha kutisha watu
 
Nilijuaga hii ni upigaji kama ile forex ya jamaa humu ila siyo.
Mtu ndiye mpigaji Ila trading Kama trading sio upigaji ni real business like any other business inazo ups and downs.
Halafu hii biashara kujifunza Ila ukishaijua
 
Acha kutukana ndugu na marafiki zako..kisa umezaliwa na kukulia mjini.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni kweli
 
mhh!!! ONTARIO umerudi kivingine?
 
Acheni porojo nyie. Hapa kuna kaharufu ka upigaji hakuna hela za bure ni kufanya kazi tu na uzalishaji mali baas. Kuna mapori mapana lukuki nchini, vyanzo vya maji, ardhi yenye rotuba. Tufanyeni kazi jamani.
Wanajiandaa kuwapiga wenye tamaa
 
Na Ki
kaa kitaalam mkuu
Doge ilifika mpaka 0.74 usd na ikafall mpaka 0.17usd
 
Wewe weweeh shiba inu ni 0.00005 haijawahi kufika 1$
 
Watu wa crypto sijui kwanini mnakuwaga na makelele sana..
Ndani ya wiki ushajua kwamba sio upigaji eeh [emoji3][emoji3]
 
Mkuu shida kubwa tuliyonayo Bongo..kwenye Forex na Crypto matapeli wengi mnoo...
Ni matapeli ndo maana hawaishi kupiga kelele mitandaoni..
Hivi issue ambayo unapiga pesa unapata wapi muda wa kuanzishia nyuzi jf? Kwanini usitulie upige hela kimya kimya.
Mbona watu tupo kwenye blogging miaka sasa lakini hutakuta mtu anakuja kuanzisha uzi humu..
 
Hii thread ni wavu wa kuvua wajinga ambao ndio idadi kubwa ya watu duniani, ni sawa tu uwekezaji wa njombe
 
Kweli kabisa...kuna Jamaa yao mmoja Juzi kafungua kampuni kakusanya hela za vijana weengi kawapiga hela tena Mara ya pili🤣🤣
 
Hiyo faida umetrade au umenunua Coin na kuhold na baadae umeuza? All in All usitegemee mjadala positive humu zaidi ya kukatishwa tamaa. Wabongo wengi bado wana ushamba wa Crypto. Usiwasanue ngoja tupige hela ili baadae watuite Freemasons(Joke).
Mkuu nikinunua shia uni coins kwa dollars 100 napata coins ngapi?

Nijibu haraka mkuu
 
Mkuu nikinunua shia uni coins kwa dollars 100 napata coins ngapi?

Nijibu haraka mkuu
Usiwe na haraka. Jifunze kwanza. Do not rush to imvest in things you dont know. Hii kitu nimekuwa nikiwaeleza sana watu. Sababu nikikwambia ununue alafu baadae ukapata hasara utarudi hapa kuanza kusema crypto ni utapeli!
Nawasihi sana vijana Crypto is not a get rich quick scheme. Take time to learn and tech yourself before jumping into investing or trading.

Asante.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…