Cryptocurrency ni kweli siyo upigaji; kwa siku tano nimeingiza faida ya dola 900 za kimarekani

Cryptocurrency ni kweli siyo upigaji; kwa siku tano nimeingiza faida ya dola 900 za kimarekani

Status
Not open for further replies.
Mkuu kuna coin inaitwa GALA nilikuwa naangalia chart yake hapa....Decembe 2020 price ilikuwa 0.6Tsh....leo price ya Gala ni 1400Tsh. Hapa ina maana December 2020 ningetumia tsh 100,000 kununua GALA ningepata gala 166,666 kama sijakosea hesabu. Sasa basi ningeamua kuuza Gala coin zangu leo ningepata 166,666*1400 = 233,332,400.....HIVI MKUU HII NI KWELI AU NAOTA LABDA.
Hata Shiba inu ya wakati huo ( Dec 2020) ungenunua kwa hela uloweka apo.. ungekua mbali sana sasaivi
 
Acha tu mkuu wangu...mm mwenyewe nimeanza kusikia ishu za BTC mwaka 2011 nikawa nasoma ila haziingii akilini kabisa.....nikapotezea....mwaka 2017 ndo nikaelewa nn maana ya cryptos na ishu zinazofanana nazo...2017 kama unakumbuka BTC iliporomoka mpaka usd 5000 nadhani...kwa wakati huo nilikuwa na uwezo wa kununua BTC 3...nikamshirkisha jamaa yangu wazo la kununua btc 3 akaniambia nina kichaa...nikaachana na ishu hyo...huyo jamaa mpaka kesho huwa namlaani...btc 1 imegonga usd 69,000 juzi kati hapa....je ningekuwa bazo 3.....3*69,000 = usd207,000....weka kwa pesa ya madafu...207,000*2300=jaza mwenyewe napatwa na hasira sana
Mimi ndio maana siombi ushauri kwa mtu, kama nna uwezo nnafanya nnacho amini.

Ni bora nipoteze ela nikiwa napambana kuwekeza kuliko nipoteze ela kwa kuto wekeza kwenye nnacho amini!
 
Ile coin iliyojizoelea umaarufu kwenye Crypto currency nakununuliwa kwa wingi kwa matarajio ya kutajirisha watu inazidi kushuka Kwa kasi.

Shiba Inu inaendelea tu kushuka na kuleta taharuki, huzuni na kukata tamaa. Wengi hawaanini na kujuta kwanini waliwekeza na wengi wanafanya kutoka hela yao hata KWA hasara.

Wachumi walitabiri ikifika November Shiba itapanda Hadi one cent$. Kuna member humu majuzi alileta uzi akiomba ushaur jinsi ya kununua Shiba Inu. Pia kuna Latvia alidai kanunua 110 m Shiba coins.

Hadi navyoandika huu uzi Shiba inazidi kushuka. Je wadau tusikate tamaa unaweza ikapanda? Wengine wanashaur ni vizur kuinunua Sasa hivi ilivyoshuka.

Wanadai Shiba Inu ilianzishwa kuiangusha Doge coin na sasa ni zamu yake kuanguka. Sasa coin ya Elon ndio mpango mzima.

Gushleviv mud-oil-chafu Greg50
Njia ya kupata pesa Ni nyebamba Sana hold hold Shiba Inu
 
Hayaaa wale wakuuza na kununua.., huu ndio muda wa kununua Dogecoins, Serum na Solana.. Next month unachekelea..
 
Ingawa nimejiunga HIVI karibuni humu ,nimepitia post nyingi nimeona hali hi ya kupinga Kila kitu ipo sana-hiyo inaitwa"THE PESSIMISTS SEES THE DIFFICULT IN EVERY OPPORTUNITY AND THE OPTIMISTIS SEES THE OPPORTUNITY IN EVERY DIFFICULT-Aliwahi kusema WINSTON SPENCER CHURCHIL Waziri Mkuu wa UK
 
Acheni porojo nyie. Hapa kuna kaharufu ka upigaji hakuna hela za bure ni kufanya kazi tu na uzalishaji mali baas. Kuna mapori mapana lukuki nchini, vyanzo vya maji, ardhi yenye rotuba. Tufanyeni kazi jamani.
Tusibate taabu sana na mawazo ya aina hii,kuna watu wanachochea mawazo hasi ili wengine WASIJARIBU -KILA KITU DUNIANI NI KUJARIBU-BILA KUJARIBU HATUWEZI KUPATA MAFANIKIO-Tukumbuke kuwa kuanzia Mwaka 1989 baada ya kuvunjwa kwa UKUTA WA BERLIN,kiuchumi Dunia ilianza upya,tuliingia rasmi katika Mfumo wa maisha uitwao INFORMATION AGE -kuelekea DIGITAL AGE(DOT COM GENERATION),Tukumbuke Dunia imepitia Early stone age,Iron age, Industry age-HAPO VIPI?????
 
Sawa mkuu nilinunua cardarno
1639572072801.png


Natumai unaelewa maana ya hii kitu kwa holders wa ada lovelaces cardano ...Its a matter of time
 
Acheni porojo nyie. Hapa kuna kaharufu ka upigaji hakuna hela za bure ni kufanya kazi tu na uzalishaji mali baas. Kuna mapori mapana lukuki nchini, vyanzo vya maji, ardhi yenye rotuba. Tufanyeni kazi jamani.
Tuonyeshe pori moja pana na lukuki pamoja na chanzo cha maji ulichoshughulika nacho.
 
Unadhani kwenye so called investments zote duniani kuna watu hawakupata faida ?

Au kabla ya vitu kwenda belly up unadhani hawakuwa na faida ?, Au unadhani kuna kinachopanda kisichoshuka ?, Kwenye hizi Risky investment especially ambazo hazijawa tested sio busara kuwashawishi watu waingie ila mwenyewe unaingia kwa utashi wako baada ya kuangalia na kupitia faida na hasara..., Sababu yoyote atakayekuhakikishia kuna Guarantee ya Profit anakudanganya.
 
Mi sitoagi mawazo ila
iko hivi huwezi ukaja from nowhere ukaanza kwa kutuambia umewekexa sijui dolla ngapi ukapata dolla flani… ni wazi watanzania tunapenda matukio ila sio matukio bila details which coin was that kwaanzia october mpaka mwezi huu imepanda kwa asilimia almost 100? coin
gani brother?
Halafu kitu kingine nmeona unavyojibu watu…Nimecheka sanaa…
Mnabidi mjue kwanza CRYPTO SIO UPIGAJI,FOREX SIO UPIGAJI ila usiwekeze uko kama huna hela ya kula ndani[emoji23][emoji23] PILI MWAKANI DARASA LA CRYPTO NJE NDANI LINAKUJIA YOUTUBE NA NTAWAHOST NDUGU ZANGUNI SI NI BURE NA KWA KISWAHILI… tutakupeleka kwenye ziwa afu wewe utakaata kunywa maji kama
mnavyompinga mshikaji apa!!
 
Huwa inachukiza sana baadhi ya w$3nge kuona kama yule jamaa Ontario ndiye kaitengeneza fx..

Wakati ameikuta na itaendelea kuwepo, kila ukisemea haya masuala watu Wana refer Ontario, who is Ontario? Ontario ni nothing kwenye haya masuala, amejifunza kama wengine, yeye sio master, yeye sio best trader kuliko wote, yeye ni mtafutaji kama mentors wengine, kufeli kwake it's not guarantee wengine watafeli.

Yeye sio institute au bank, so tuacheni ujinga...

Jamiiforums imekuwa na wajuaji wengi, wajuaji njaa.. kuna jamaa alinambia jf wanaojua vitu wapo kimya, cause wakitaka kuchangia kuna wa$3nge wajuaji njaa wanapinga kila kitu...

Inaudhi sana...

Mkuu hongera sana, we komaa na Crypto, usione hata noma kusema una trade fx kisa w@$3nge mbu mbu mbu...
Be humble! Wavumilie tu, wengine humu darasa la2,wengine rigid, wengine mzaha ,wengine very serious, wengine Phd, wengine wamrisga toka kimaisha,cwengine wanaganga na hata wengine hufikia hatua ya kujiua humu humu JF. Hili ni kama likijiji likubwa
Kwa hio usitukane kwa hasira utakuwa kama wao, kama unajambo lilete wapo watakso lipokea na watakao lipuuza.
Vile vile usipuuzie wanaopinga nao wanahoja kama wanaounga mkono.
 
Huwa inachukiza sana baadhi ya w$3nge kuona kama yule jamaa Ontario ndiye kaitengeneza fx..

Wakati ameikuta na itaendelea kuwepo, kila ukisemea haya masuala watu Wana refer Ontario, who is Ontario? Ontario ni nothing kwenye haya masuala, amejifunza kama wengine, yeye sio master, yeye sio best trader kuliko wote, yeye ni mtafutaji kama mentors wengine, kufeli kwake it's not guarantee wengine watafeli.

Yeye sio institute au bank, so tuacheni ujinga...

Jamiiforums imekuwa na wajuaji wengi, wajuaji njaa.. kuna jamaa alinambia jf wanaojua vitu wapo kimya, cause wakitaka kuchangia kuna wa$3nge wajuaji njaa wanapinga kila kitu...

Inaudhi sana...

Mkuu hongera sana, we komaa na Crypto, usione hata noma kusema una trade fx kisa w@$3nge mbu mbu mbu...
Sa kwanini uanze kumzungumzia Ontario kaingiaje hapo??
 
Jibu langu la siku zote ni kuwa HAKUNA MTU ANAEGAWA PESA ZA BURE DUNIANI.

Hivyo ukiona umekula tarajia kuwashawishi watu mia moja na hao wanaenda kuliwa.

Hakuna utajiri Rahisi duniani
You are wrong mkuu. Jielimishe vizuri kuhusu crypto na Blockchain kwanza
 
Ni wiki mbili zimepita nimejiunga kwenye crypto currency baada ya kulazimishwa na rafiki yangu. Alinisihi sana nikasita. Aliniambia sasa hivi kabla ya October kuisha ukiwekeza kwenye coins sahihi ambazo alinisaidia kunionesha nitapata faida.

Nilisita ila siku tano zilizopigwa nikafungua account ya moja za crypto currency kumbuka mimi bado mgeni kwenye mambo haya.

Leo nimeangalia nimepata faida ya 900 dollars kwa 500 dollars niliyoinvest na inapanda.

Nilijuaga hii ni upigaji kama ile forex ya jamaa humu ila siyo. Ukiinvest tu kwenye coin nzuri unaweza kutoka sana na faida nyingi na kubwa.

Ni vizuri pia kujifunza kabla ya ku invest mtandaoni ama unamjua rafiki ambaye yumo kwenye gemu kwa muda. Kuna coins nyingi sana kwenye crypto nimeuja kujua.

Coin yenye thamani sasa hivi ni Bitcoin na Bitcoin moja ni 61,000 USD. Na miaka 10 iliyopita ilikuwa 50 cents.

Wale wazoefu wa Crypto (Bitcoin) tunaomba maujuzi yenu tu jifunze Zaid. Coins zipi zinafaa.

Crypto si upigaji

Karibuni kwenye mjadala
Hata forex sio upigaji ni vile hujapata elimu ya kutosha siku ukipata elimu utaleta ushahidi hapa kutuambia sio utapeli so keep learning
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom