babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Fake english accent.Na bado wanamlilia mkoloni na kizungu chao feki, hawajielewi hawa nyang'au.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fake english accent.Na bado wanamlilia mkoloni na kizungu chao feki, hawajielewi hawa nyang'au.
Walete Darisalama.... Nae aache upuuzi wake huo. Ye anawaza tumbo lake na familia yake. Magu anawanyoosha kwa faida ya wengi.Tanzania wamenyekea lakini... Rafiki yangu huko Monduli ambaye ni mkulima aliniambia jana huu ujinga wa Magufuli unawafka mwisho sasa....
Soko lao kuu ni Kenya, wakikosa soko itakuwa balaa ...
Jombaa nikianza kukutajia pharma za Kenya na viwanda ambavyo ndio vya kutajika ukanda huu wa Afrika mashariki na ya kati si utazimia? Tena faida wanatengeneza kila mwaka na bidhaa zao zinavuka mipaka na kugonga kona zote ukanda huu. Ungejikita tu kwenye kujiliwaza kwamba bidhaa zao ni hedex tu.Pitia kiwanda hiki kimoja kwanza
http://kekopharmaceuticals.co.tz/
So what!? I told you to mention dawa zipi mnauza TZ!?Jombaa nikianza kukutajia pharma za Kenya na viwanda ambavyo ndio vya kutajika ukanda huu wa Afrika mashariki na ya kati si utazimia? Tena juu faida wanatengeneza kila mwaka na bidhaa zao zinavuka mipaka na kugonga kona zote ukanda huu. Ungejikita tu kwenye kujiliwaza kwamba bidhaa zao ni hedex tu.
Lakini wanajionaa kwa waafrika wenzao. Ila wakiwa mbele ya mwingereza mwenye lugha yake wanakuwa wadogo kama piritoni. Huu ni upumbavu uliopitiliza.Fake english accent.
Kenya not yet uhuru.Lakini wanajionaa kwa waafrika wenzao. Ila wakiwa mbele ya mwingereza mwenye lugha yake wanakuwa wadogo kama piritoni. Huu ni upumbavu uliopitiliza.
Itawachukua muda mrefu kujitambua.Kenya not yet uhuru.
Sasa hivi wanaenda kuwa koloni la China.Itawachukua muda mrefu kujitambua.
Jombaa kuna kitu flani kinaitwa google. Ingia humo kama unataka kufahamu majina ya kila dawa ambayo iliingia Tz kutoka Kenya. Kama unabisha kuhusu hizo takwimu za TRA zinazoashiria kwamba madawa ndio yalikuwa export kubwa ya Kenya nchini Tz mwaka jana, fika kwenye ofisi zao kesho asubuhi.So what!? I told you to mention dawa zipi mnauza TZ!?
Kha!!! Kitu kidogo tu unaanza kuandika insha!?Jombaa kuna kitu flani kinaitwa google. Ingia humo kama unataka kufahamu majina ya kila dawa ambayo iliingia Tz kutoka Kenya. Kama unabisha kuhusu hizo takwimu za TRA zinazoashiria kwamba madawa ndio yalikuwa export kubwa ya Kenya nchini Tz mwaka jana, fika kwenye ofisi zao kesho asubuhi.
Mbona unapindisha pindisha na wakati hyo link inaonyesha km katika biashara sisi ndio tunawauzi sana[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nao hawa viumbe, kwa porojo wapo sawa, ila ukiwaletea takwimu, hata kama ni kutoka kwa TRA na BoT lazima watapanick. Nimewaongezea takwimu ambazo zinaonesha kwamba deficit ya mahindi ambayo Kenya huwa inaagiza kutoka nje, 70% huwa yanatoka Uganda wakazamia kwenye mapango yao.Habari zaTRA ndio zimemaliza kila kitu[emoji23][emoji23]Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ka English unaumianga sana but itabidi uzoeeFake english accent.
Panadol na hedex kwenu ni dawa za kulevya?Kha!!! Kitu kidogo tu unaanza kuandika insha!?
Just mention tuone usije ukajikuta unatuletea panadol hahahahah!!!
Hahahaha I like it....Which medicine do u export to us that can't be produced in Tanzania? stop what ur smoking!
Pwahahaha kwahiyo panadol ni wamilk ni kenya!?Hapa ka English unaumianga sana but itabidi uzoee
Panadol na hedex kwenu ni dawa za kulevya?
Kiswahili hamjui, Kimombo hamjui. Ni mtafaruku.Hapa ka English unaumianga sana but itabidi uzoee
Mtakula hayohayo madawa. Ngoja gubaki na maharage yetuThamani ya trela moja ya bidhaa kama madawa ,ambazo ndio export kubwa ya Kenya nchini Tz, ni sawa na thamani ya trela ngapi za maharage na mahindi? 15,20,25,30? Tafakari hayo.
as if hamna alternative ya Hedex! Mimi ninachojua Kenya hu-export chewing gum kama huyu economist Prof dr Ojwang alivyosema leo! Mpaka SGR imetajwa!