mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,780
- 6,480
Habari umeipata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari umeipata
Hahahaha, dawa zipi ambazo Kenya mnauza kwa Tanzania, ni Flagyl na anti pains, hazifiki hata aina NNE.Thamani ya trela moja ya bidhaa kama madawa ,ambazo ndio export kubwa ya Kenya nchini Tz, ni sawa na thamani ya trela ngapi za maharage na mahindi? 15,20,25,30? Tafakari hayo.
Hapa ka English unaumianga sana but itabidi uzoee
Wewe uliyesema ndiye unapaswa kuleta huo ushahidi, sio kuwapa watu home work wafanye kwa niaba yako. Kenya zaidi ya 98% ya dawa zenu mnatoa India, iweje eti ninyi mnauza madawa nchi zingine kwa wingi?.Jombaa kuna kitu flani kinaitwa google. Ingia humo kama unataka kufahamu majina ya kila dawa ambayo iliingia Tz kutoka Kenya. Kama unabisha kuhusu hizo takwimu za TRA zinazoashiria kwamba madawa ndio yalikuwa export kubwa ya Kenya nchini Tz mwaka jana, fika kwenye ofisi zao kesho asubuhi.
Yanakushinda hata ingawa ni madogo.Mambo madogo hayo.
Everyone has the right to their own opinion, Yours is just wrong.Yanakushinda hata ingawa ni madogo.
Utawaua kwa presha wasingizie sukari😁😂Nilijua mtaingiza porojo maanake huwa mna allergy kali sana ya takwimu. Haijalishi ni bidhaa zipi haswa kutoka kwa viwanda vya Kenya. Ila natumai mmeona kwamba mwaka uliopita Kenya iliwapiga bao la kibiashara la $35.8 million(takwimu za TRA/BoT sio mabeberu). Hivi mnajua pia kwamba 70% ya mahindi ambayo Kenya huwa inaagiza kutoka nje yanatoka Uganda? K.m. mwaka huu wa 2018 baada ya Kenya kuzalisha tani 360,000 pengo la demand lilosalia nchini waliagiza tani 66,900 Uganda na Tz tani 10,000 tu. Kenyans import $31.2m maize from the region to meet demand - Kenya
Naona umepokezwa soprano kwenye hiyo kwaya yenu ya porojo. Nikikueleza ulete takwimu kuhusu hayo madai yako kwamba Kenya huwa inaagiza 98% ya madawa ambayo yanatumiwa nchini utapuuza. Kama tu ulivopuuza hizo takwimu za TRA zinazoashiria kwamba madawa ndio zilikuwa top export ya Kenya nchini Tz mwaka jana. Ila unalazimisha sana kwamba nikupe majina ya madawa yenyewe. Hizo zinaitwa sideshows ambazo huwa sikubali zinipotezee muda wala focus. Kama huna mb za kujifanya hiyo homework omba kwa jirani. Au jiliwaze tu kwamba ni madawa ya kuua fangasi kama ulivonieleza hivi majuzi. Ok?Wewe uliyesema ndiye unapaswa kuleta huo ushahidi, sio kuwapa watu home work wafanye kwa niaba yako. Kenya zaidi ya 98% ya dawa zenu mnatoa India, iweje eti ninyi mnauza madawa nchi zingine kwa wingi?.
Tanzania zaidi ya 98% ya dawa zetu zinatoka India, Kenya ni aina kama nne ya dawa (Non Essential medicines).
Aaah wapi? Sukari yenyewe madukani wanainua kilo moja kwa bei sawa na ya kilo mbili nchini Kenya. [emoji1]Utawaua kwa presha wasingizie sukari
#Akilizahandshake#
CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala kikihboy nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
Huwezi izungumzia Belgium bila kuizungumzia Congo, sasa jiulize hizo nchi za Afrika Mashariki zinaingia mara ngapi kwa Congo?Safi kabisa.. Wavuja jasho wa Afrika Mashariki tunatunishiana misuli ili hali kinchi kama Belgium [emoji1045] kenye watu takribani millioni kumi na mbili tu kina gdp ya 532usd billion wakati wavuja jasho wa Afrika Mashariki tupo zaidi ya 180 million lakini combined gdp yetu ni roughly 200usd billion.. Tuendelee tu kubishana ujinga nani yuko juu…
Nyang'auz washasahau 80% ya bidhaa zao wanazoexport hasa matunda utokea kwetu tena wananunua local,yakifika kwao wanayafunga kwenye na chapa juu!Wewe uliyesema ndiye unapaswa kuleta huo ushahidi, sio kuwapa watu home work wafanye kwa niaba yako. Kenya zaidi ya 98% ya dawa zenu mnatoa India, iweje eti ninyi mnauza madawa nchi zingine kwa wingi?.
Tanzania zaidi ya 98% ya dawa zetu zinatoka India, Kenya ni aina kama nne ya dawa (Non Essential medicines).
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi wanaenda kuwa koloni la China.
Jubilee tano tena [emoji23]Bandari ya Mombasa na sgr Yao vinaenda Kwa mchina....hahaaa....Jubilee wanaougua pesa mifukoni hawalipi madeni na china is relentless
Sent using Jamii Forums mobile app
Soko si kenya pekee!! Hata hivyo inawezekana kuhifadhi mazao hata kwa mwezi mmoja wakati unaandaa mpango wa soko jingine. Lakini haiwezekani kukaa na njaa wakati ukitafuta mahali pengine pa kununua chakula. Utalazimika kutumia pesa zaidi kipindi hiki kwa sababu ya upungufu wa chakula na bei kupanda juu.Tanzania wamenyekea lakini... Rafiki yangu huko Monduli ambaye ni mkulima aliniambia jana huu ujinga wa Magufuli unawafka mwisho sasa....
Soko lao kuu ni Kenya, wakikosa soko itakuwa balaa ...
Which medicine do u export to us that can't be produced in Tanzania? stop what ur smoking!
Hizo tunazonunua kwenu sio basic necessity and there are many alternatives to that within our country. But Kenya has no alternatives within their country!Mzee, kabishane na TRA, BoT ndio hizi takwimu zao>>> iTanzania trade with Kenya turns into deficit Tangia mpate uhuru isipokuwa 2014-18, hakuna mwaka ambao mmeuzia Kenya bidhaa za jumla ya thamani ya juu zaidi ya mnazonunua kutoka Kenya. Mwaka jana mmepata deficit ya $35.8 million kwenye biashara na Kenya. Top export za Tz, mahindi, maharagwe, kamba za makonge. Top export za Kenya, madawa, sabuni, bidhaa zingine kutoka kwa viwanda. Una swali lingine?
Inafaa urudi shuleni ndio ufunze upya kwamba supply huwa inafata demand. Sio jambo la kubahatisha kwamba madawa ndio yamekuwa top export ya Kenya nchini Tz, yakifatiliwa na bidhaa zingine kutoka kwa viwanda vya Kenya. Tena bidhaa za Kenya mnazinuanua kwa wingi zaidi ya Kenya inavonunua kutoka Tz. Alafu hiyo ndio taswira kwenye nchi zote ukanda huu wa Afrika mashariki na ya kati. Inaitwa nchi ya viwanda sio viwonder.Hizo tunazonunua kwenu sio basic necessity and there are many alternatives to that within our country. But Kenya has no alternatives within their country!