CS Mohammed: At Namanga every day crosses 120 trucks from Tanzania vs 30 from Kenya

ha ha kwani Tanzania ndiyo wanalima chakula peke yake..?

Kitu kitakachofanyika ni kuwa bei ya bidhaa kama vitunguu itaongezeka kwa sababu wakulima wa Kenya hawatakuwa wamezalisha vya kutosha... miezi mitatu tutakuwa tumeongeza ukulima...

Hapa Wakulima wanaomba mpaka ufungwe waweze kupata pesa, Chakula cha TZ kinaharibu soko...

Tena nchi kama Uganda hawana ujinga kama huu wenu... tutaongeza ununuzi huko..

Hizo zenu TPDF itanunua kama Korosho
 
Thamani ya trela moja ya bidhaa kama madawa ,ambazo ndio export kubwa ya Kenya nchini Tz, ni sawa na thamani ya trela ngapi za maharage na mahindi? 15,20,25,30? Tafakari hayo.
Tehe tehe kafanye research,hiyo panadol haikuji siku hizi
Tuna viwanda vya dawa na zingine tunaagiza india
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…