CS sFaxien inayocheza na Simba kombe la Shirikisho, tumeijua leo

CS sFaxien inayocheza na Simba kombe la Shirikisho, tumeijua leo

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Mashindano ya shirikisho ya timu ndogo na hata hazijulikani
Tuseme tu ukweli nani anayeijua timu ya CS sFaxien inayocheza na Simba Jumamosi?

Hii timu kwenye ligi ya Tunisia ipo nafasi ya 6, sawa na Dodoma Jiji huku Tanzania
Timu kubwa Tunisia ni ES Tunis, Club Africain na Monastir lakini hili timu la ajabu sisi hatulijui

😀😅Tutasikia mtani anatamba eti nae anacheza kimataifa
Kimataifa Gani au UMISETA

Yanga tupo club bingwa tunachezea na team kubwa kama TP Mazembe, MC Alger, Al Ahly, Mamelod, ambazo hizi timu haziwezi kucheza shirikisho yaani mashindano ya akina mama

5imba acheni kufuru kufananisha CAFCL na Mashindano madogo ya Shirikisho

Msijipe ukubwa fake na mpo shirikisho

Ubaya ubwege

Yanga bingwa
 
Tabora United ipo nafasi ya ngapi? Inategemea umeanza lini kufuatilia mpira,Hebu fikiria jinsi viongozi na mashabiki wa Yanga wanavyojisifu kwa kucheza fainali ya Shirikisho (sio kutwaa kombe).Hao CS Sfaxien ndio mabingwa wa kihistoria wa hilo kombe, wamechukua mara 3,hiyo timu ni kongwe kuliko Simba na Yanga.
 
Tuseme tu ukweli nani anayeijua timu ya CS sFaxien inayocheza na Simba Jumamosi?
Yeyote ambaye haijui CS Sfaxien, basi huyo ameanza kufuatilia soka baada ya Manara kuhamasisha.

1733989751639.png
 
Azam TV ndio kaja kuchanganya mafuta na sukari kwenye mpira wa nchi hii,kama mtu anasema hii timu haijui na anasimamisha kijiwe chote kwamba anajua rekodi ya mpira tuna safari ndefu sana,hata baadhi ya wachambuzi wa sasa ni kituko kabisa,niliwahi kumsikia mwingine redioni anasema enzi Kitwana Selemani yupo Simba alikuwa hatari sana
 
Back
Top Bottom