CS sFaxien inayocheza na Simba kombe la Shirikisho, tumeijua leo

CS sFaxien inayocheza na Simba kombe la Shirikisho, tumeijua leo

Timu kubwa Tunisia ni ES Tunis, Club Africain na Monastir lakini hili timu la ajabu sisi hatulijui
Unajidhalilisha tu maana hujui lolote kuhusu vilabu vya Tunisia. Unawezaje kuiacha Etoile du Sahel katika list ya timu za juu kabisa Tunisia? Etoile du Sahel ina mataji mengi ya CAF kushinda vilabu vyote vya Tunisia .
1 CAF Champions League
2 CAF Super Cup titles
2 CAF Confederation Cup titles
2 African Cup Winners' Cup.

Halafu eti unaitaja Monastir na kuiacha ESS
 
Mashindano ya shirikisho ya timu ndogo na hata hazijulikani
Tuseme tu ukweli nani anayeijua timu ya CS sFaxien inayocheza na Simba Jumamosi?

Hii timu kwenye ligi ya Tunisia ipo nafasi ya 6, sawa na Dodoma Jiji huku Tanzania
Timu kubwa Tunisia ni ES Tunis, Club Africain na Monastir lakini hili timu la ajabu sisi hatulijui

😀😅Tutasikia mtani anatamba eti nae anacheza kimataifa
Kimataifa Gani au UMISETA

Yanga tupo club bingwa tunachezea na team kubwa kama TP Mazembe, MC Alger, Al Ahly, Mamelod, ambazo hizi timu haziwezi kucheza shirikisho yaani mashindano ya akina mama

5imba acheni kufuru kufananisha CAFCL na Mashindano madogo ya Shirikisho

Msijipe ukubwa fake na mpo shirikisho

Ubaya ubwege
Mambo ya Simba wewe yanakuhusu nini ndugu
 
Timu ya kitambo sana hii, kihistoria hatuwafikii Kwa mataji ya afrika, ilitambaga sana na ilikuwa tishio halafu ikapotea kabisa. It was the best team in Africa.
 
Na ukitaka kujua huyu ngara23 mpira unampeleka kasi na ana dalili zote za changamoto ya afya ya akili kitengo cha mpira...kumbukeni alishaaga humu jukwaani kwa sbb ya kuvurugwa na matokeo ya timu lake bovu..ila karudi tena sasa ili ajisikie vzr kila saa anaanzisha mada hata isiyo na kichwa wala miguu..##uraibu##
Heloo mtani nakusalimia...hahahha
Ajifanya anajua siasa kali😂
 
Mashindano ya shirikisho ya timu ndogo na hata hazijulikani
Tuseme tu ukweli nani anayeijua timu ya CS sFaxien inayocheza na Simba Jumamosi?

Hii timu kwenye ligi ya Tunisia ipo nafasi ya 6, sawa na Dodoma Jiji huku Tanzania
Timu kubwa Tunisia ni ES Tunis, Club Africain na Monastir lakini hili timu la ajabu sisi hatulijui

[emoji3][emoji28]Tutasikia mtani anatamba eti nae anacheza kimataifa
Kimataifa Gani au UMISETA

Yanga tupo club bingwa tunachezea na team kubwa kama TP Mazembe, MC Alger, Al Ahly, Mamelod, ambazo hizi timu haziwezi kucheza shirikisho yaani mashindano ya akina mama

5imba acheni kufuru kufananisha CAFCL na Mashindano madogo ya Shirikisho

Msijipe ukubwa fake na mpo shirikisho

Ubaya ubwege

Yanga bingwa
Ni kweli yanga chama la wana alimpiga zalan fc nje ndani wakati huo zalan ametoka kubeba ubingwa wa Caf champions league.
 
K
Mashindano ya shirikisho ya timu ndogo na hata hazijulikani
Tuseme tu ukweli nani anayeijua timu ya CS sFaxien inayocheza na Simba Jumamosi?

Hii timu kwenye ligi ya Tunisia ipo nafasi ya 6, sawa na Dodoma Jiji huku Tanzania
Timu kubwa Tunisia ni ES Tunis, Club Africain na Monastir lakini hili timu la ajabu sisi hatulijui

😀😅Tutasikia mtani anatamba eti nae anacheza kimataifa
Kimataifa Gani au UMISETA

Yanga tupo club bingwa tunachezea na team kubwa kama TP Mazembe, MC Alger, Al Ahly, Mamelod, ambazo hizi timu haziwezi kucheza shirikisho yaani mashindano ya akina mama

5imba acheni kufuru kufananisha CAFCL na Mashindano madogo ya Shirikisho

Msijipe ukubwa fake na mpo shirikisho

Ubaya ubwege

Yanga bingwa
Kama huijui hiyo timu inayoongoza kuchukua kombe la shirikisho ndo unaweka wazi we huna akili,nimerudia na kurudia tena kwa posts zako humu unaonekana mtu asiye na maendeleo na akili imeduma,maana unaandika vitu vya kijinga nda wote.
 
K

Kama huijui hiyo timu inayoongoza kuchukua kombe la shirikisho ndo unaweka wazi we huna akili,nimerudia na kurudia tena kwa posts zako humu unaonekana mtu asiye na maendeleo na akili imeduma,maana unaandika vitu vya kijinga nda wote.
Kuwa na maendeleo hadi nikufanye mke mdogo ndo utakubali utajiri wangu
We kuona tupo kijiweni hapa jamii forums tunabishana kuhusu Simba na Yanga unatuona mazuzu
 
Nani aliyekuwa anaijua Malumo Galants? Tuliijua kupitia Yanga, hata hiyo kama huijui utaijua kupitia Simba. Ubaya Ubwela
 
Mashindano ya shirikisho ya timu ndogo na hata hazijulikani
Tuseme tu ukweli nani anayeijua timu ya CS sFaxien inayocheza na Simba Jumamosi?

Hii timu kwenye ligi ya Tunisia ipo nafasi ya 6, sawa na Dodoma Jiji huku Tanzania
Timu kubwa Tunisia ni ES Tunis, Club Africain na Monastir lakini hili timu la ajabu sisi hatulijui

😀😅Tutasikia mtani anatamba eti nae anacheza kimataifa
Kimataifa Gani au UMISETA

Yanga tupo club bingwa tunachezea na team kubwa kama TP Mazembe, MC Alger, Al Ahly, Mamelod, ambazo hizi timu haziwezi kucheza shirikisho yaani mashindano ya akina mama

5imba acheni kufuru kufananisha CAFCL na Mashindano madogo ya Shirikisho

Msijipe ukubwa fake na mpo shirikisho

Ubaya ubwege

Yanga bingwa
Huna mashiko huna huna hoja huna ......bas tu usiku mwema
 
Kuwa na maendeleo hadi nikufanye mke mdogo ndo utakubali utajiri wangu
We kuona tupo kijiweni hapa jamii forums tunabishana kuhusu Simba na Yanga unatuona mazuzu
JF sio kijiwe tunajadili kwa facts,kama unaiona kijiwe nakuandika porojo ndo maana nasema una upeo duni sana,haiwezekani mtu mwenye akili timamu kila siku unaandika upuuzi tu.
 
Back
Top Bottom