#COVID19 Cuba imeonesha njia. Afrika tuone aibu

#COVID19 Cuba imeonesha njia. Afrika tuone aibu

Hii nchi ya Cuba ambayo ina vikwazo kiasi kwamba magari yao mengi ni yale ya kabla ya vikwazo miaka ya 1950’s mpaka sasa wana dose mbili ambazo karibu zitapata uhakiki wa WHO na tayari zina kinga kwa 90% Corona. Nchi hii ina watu milioni 11 tu chini hata ya Rwanda! Ni kisiwa…… Sasa sisi na wasomi kibao hatuna hata dawa ya majaribio ambao imekataliwa ! Yaani hata kujaribu hatujaribu lakini wasomi wetu wanataka wapewe heshima sawa na wale wa Cuba 🇨🇺 kwa lipi? Africa nzima hatuna chanjo 🤔

una uhakika sisi ni wasomi?
 
Hii nchi ya Cuba ambayo ina vikwazo kiasi kwamba magari yao mengi ni yale ya kabla ya vikwazo miaka ya 1950’s mpaka sasa wana dose mbili ambazo karibu zitapata uhakiki wa WHO na tayari zina kinga kwa 90% Corona. Nchi hii ina watu milioni 11 tu chini hata ya Rwanda! Ni kisiwa…… Sasa sisi na wasomi kibao hatuna hata dawa ya majaribio ambao imekataliwa ! Yaani hata kujaribu hatujaribu lakini wasomi wetu wanataka wapewe heshima sawa na wale wa Cuba [emoji1083] kwa lipi? Africa nzima hatuna chanjo [emoji848]

Tulipokosea ni pale tulipoipa siasa nafasi kubwa kuliko taaluma
 
utengenezaji wa Tiba yanafanyika kwenye Nchi inategemea na Msimamo wa Rais.
Kama Rais anajuwa umuhimu wa Tiba za ndani ya Nchi msukumo unakuwa mkubwa wa Nchi kujishughulisha kutafuta Tiba.
Kama Rais anategemea Chanjo za Nje ya Nchi wananchi wanakata tamaa kutafuta Tiba.
Serikali ya Awamu ya 6 wanaamini kwenye Chanjo, watu wamkata tamaa kutafuta Tiba kipindi cha nyuma vyuo mbalimbali walikuwa wanafanya majaribio ya Tiba zao, sasa wamekosa matumaini kutoka Serikali.
 
Elimu yetu ni how to operate things not how to innovate things.

Unaweza kumpa mtu panadol ila huwezi kuvumbua aina mpya ya panadol.

Unaweza kushona vizuri mwili uliochanika ila huwezi kutengeneza sindano ya kushonea umeona utofauti?
Umemaliza mkuu
 
Siasa Inalipa Ina uhakika wa life nani aangaike na utafiti.
 
Kwa PhD za mchongo kama za akina Musukuma, Jaffo au Biteko, unategemea kupata ugunduzi wowote?
 
Nchi haina university Teaching hospital hadi karne hii ya sayansi unategemea nini kitatokea? Mloganzila imekuwa MUHIMBILI ndogo site ni ujinga wetu hu.
 
Nilishawah kuuliza hapa wataalam wetu wana mchango gani kwenye hili janga?

Au wanasubiri chanjo ya mtu mweupe waanze kuikosoa?
Kwa maneno wala huwawezi.
Ukiwapa nafasi ya kuelezea Jambo .
-in the matter of fact.
-actually.
-Of course.
-by the way.
 
Hii nchi ya Cuba ambayo ina vikwazo kiasi kwamba magari yao mengi ni yale ya kabla ya vikwazo miaka ya 1950’s mpaka sasa wana dose mbili ambazo karibu zitapata uhakiki wa WHO na tayari zina kinga kwa 90% Corona. Nchi hii ina watu milioni 11 tu chini hata ya Rwanda! Ni kisiwa…… Sasa sisi na wasomi kibao hatuna hata dawa ya majaribio ambao imekataliwa ! Yaani hata kujaribu hatujaribu lakini wasomi wetu wanataka wapewe heshima sawa na wale wa Cuba 🇨🇺 kwa lipi? Africa nzima hatuna chanjo 🤔

Unawaongelea wengine, wewe mwenywewe umegundua nini?
 
Wataalam wetu wanasomea historia ya sayansi halafu wanapewa mitihani migumu ya kukariri baada ya hapo wanapewa tittle ya udaktari na kusubiri kuajiriwa.
Ni kweli mkuu hata tukiambia panadol imetengenezwa na nini? Hatujuwi unawekewa vicheni tu vya organic halafu unaambiwa ndo bond zilizotengenezwa na dawa hata kutuambia imetengenezwa na mti gani au madini gani hatuambiwi
 
Hii nchi ya Cuba ambayo ina vikwazo kiasi kwamba magari yao mengi ni yale ya kabla ya vikwazo miaka ya 1950’s mpaka sasa wana dose mbili ambazo karibu zitapata uhakiki wa WHO na tayari zina kinga kwa 90% Corona. Nchi hii ina watu milioni 11 tu chini hata ya Rwanda! Ni kisiwa…… Sasa sisi na wasomi kibao hatuna hata dawa ya majaribio ambao imekataliwa ! Yaani hata kujaribu
Hivi unajua success ya Cuba in medicine ? Ingawa huenda wasiwe juu sana kwenye equipment na investment ila Cuba ni one of leading countries kwa medical doctors...

As of 2005, Cuba became the world leader in the ratio of doctors to population with 67 doctors per 10,000 population as compared with 43 in the Russian Federation and 24 in the United States.

 
Nilishawah kuuliza hapa wataalam wetu wana mchango gani kwenye hili janga?

Au wanasubiri chanjo ya mtu mweupe waanze kuikosoa?
Wataalam wetu wengi wameingia kwenye politics

Ova
 
Tusubiri spika wa bunge awe Steve Nyerere labda tutakua na wataalam wa Tiba Kama cuba.
 
Wasomi wetu muda mwingi wamewekeza kwenye deals zao,vikao vya bia na kona za totozi!!

Kuna yule majuzi amejitapa ana degree 9,apewe uspika,sijui hizo degree zake tisa kafanya kitu gani exceptional kwa vizazi vya Tanzania na Tanzania yenyewe!!
 
Back
Top Bottom