Cuba wana kingine kipi cha maana zaidi ya sekta bora ya Afya?

Cuba wana kingine kipi cha maana zaidi ya sekta bora ya Afya?

Cuba hawana lolote la kujivunia, ni yale yale ya Nyerere ya kugawana umaskini.

Fidel Castro aliwaingiza chaka akawadanganya wakafuata siasa mbovu na ya hovyo ya kikomunisti na matokeo yake ndio hayo ya watu kubaki fukara wa kutupwa. Bure kabisa.
Hiyo nchi nafikiri iko overrated sana na wabongo.
 
Wana afya tu, mbona mafunzo ya kikomandoo nchi yako hupeleka wanajeshi wake huko mkuu?
 
Back
Top Bottom