Uchaguzi 2020 CUF - Chama cha Wananchi: Uzinduzi mkubwa wa kuchangia CUF, kuchangia ushindi kufanyika kesho Jumamosi ofisi kuu ya chama Buguruni

Uchaguzi 2020 CUF - Chama cha Wananchi: Uzinduzi mkubwa wa kuchangia CUF, kuchangia ushindi kufanyika kesho Jumamosi ofisi kuu ya chama Buguruni

wamuombe mh raisi awaombee wachangiwe siku ya mkutano wa ccm..watapata pesa nyingi 😀 😀 😀 😀
 
Naibu Katibu mkuu wa Cuf Magdalena Sakaya amewaomba wanaccm na wanachadema bila kujali itikadi zao wakichangie chama chake kiweze kumudu gharama za kampeni.

Sakaya amewataka wana ngangari waliochukua fomu za kuchangisha michango kuomba mchango kwa mtu yoyote na wapokee kiasi chochote hata kama ni sh 100.

Source ITV habari

My take; Hii haijawahi kutokea kuanzia 1995!

Maendeleo hayana vyama
 
Hahaaaaa[emoji848][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji849]loooo

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Naibu Katibu mkuu wa Cuf Magdalena Sakaya amewaomba wanaccm na wanachadema bila kujali itikadi zao wakichangie chama chake kiweze kumudu gharama za kampeni.

Sakaya amewataka wana ngangari waliochukua fomu za kuchangisha michango kuomba mchango kwa mtu yoyote na wapokee kiasi chochote hata kama ni sh 100.

Source ITV habari

My take; Hii haijawahi kutokea kuanzia 1995!

Maendeleo hayana vyama

Yaani hawakuwaomba ACT - Wazalendo! Sipati kuelewa.

Wanyoshe mkono wao huko pia, Zito na Maalim hawawezi kuiwatupa.
 
Chadema kwenyewe hali ni mbaya kupita maelezo.Ndesamburo katangulia mbele ya haki gurudumuu alilishika Edlow nae kawakimbia.
 

Hakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Cuf-chama cha wananchi

Usilalamike, chukua hatua.

Changia CUF, changia ushindi

Uzinduzi wa michango ya wananchi kwa chama chao utafanyika jumamosi ya tarehe 29/08/2020 ofisi kuu buguruni kuanzia saa 4.00 asubuhi

Mgeni rasmi: mgombea urais wa tanzania Prof. Ibrahim Haruna Lipumba

Akaunti ya kuchangia iko benki ya nmb, tawi la temeke: jina la akaunti: CUF michango, namba ya akaunti ni 20710050166

Unaweza pia kuchangia kupitia simu

Kama mwanachama kiongozi wa CUF unaombwa kufika bila kukosa katika tukio hilo.

1. Voda: 0762469342

2. Tigo: 0658111925

3. Zantel: 0777760490

4. Airtel: 0699533883
zile alizochota kwenye akaunti ya CUF hazikutosha
 
Shetani akikutana na huyu Profesa kwenye chocho inabidi Shetani mwenyewe amlaani shetani huyu wa Buguruni
 
Back
Top Bottom