Kigera Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,448
- 1,311
Yote maisha mkuu. kuna kesho baada ya leo...Mlidhani bwana Yule atawazawadia viti vya ubunge sawa na Mbatia na viti vyake ishirini, kumbe hamkujua ni mtu wa namna gani.
Sasa hata ile ruzuku mliokuwa mnapewa na msajili ''kwishey"