Elections 2015 CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima! Vinginevyo, huo ndio mwisho wake

E
Muungano ni uhai wa Tanzania. Sasa jiulize how far will you go kulinda uhai Wako? Ukifanikiwa basi utakuwa umepata jibu.


Ethiopia na Eritrea zimevunja muungano
mbona zipo better zaidi?

mbona Checkslovakia imevunjika? na hakuna baya lilitokea?
 
Naona unajikanyaga tu,adui wa wazanzibar kwenye harakati hizi za kujikomboa kwenye makucha haya ya mkoloni anajulikana,wazanzibar wapo tayari kupambana nao liwalo na liwe.
Ukombozi gani unaouzungumzia zaidi ya yale Mapinduzi Matukufu yaliyoikomboa Zanzibar toka katika makucha ya mvamizi hasidi yule aliyefuushwa?!.

Huyu unayemuita mkoloni ndie mkombozi wenu kupitia muungano wetu adhimu vinginevyo mngeendelea kuchinjana kama kuku na kuvishana majiwe ya shingo na kutosana baharini!.

Tulipo ungana tulikubaliana wote wawili tungechangia uendeshaji wa huu muungano, lakini mpaka sasa mbebaji wa mzingo wote ni mtu mmoja tuu!, Watu wanapewa mishahara bure, polisi bure, jeshi bure, elimu bure, umeme bure!, na fedha za maendeleo asilimia 4.5% halafu leo ndio kwanza badala ya shukrani, unaitwa mkoloni!, ama kweli shukrani ya punda mateke!, fadhila mfadhili mbuzi, utauonja mchuzi lakini binadamu....!.

Pasco
 
kuulinda muungano kwa gharama yoyote!.

gharama yoyote inamaanisha hata kutomtangaza mshindi.........maalim hapendi muundo wa muungano neno gharama yoyote ndo linatu cost.
 
Ngumu kumesa.........
 
Kama katiba mpya itakuwepo yenye kuzingatia, utawala bora, yenye demokrasia ya kweli, na ifuate mapendekezo ya wananchi. Huu upumbavu wa chama kimoja kujidai wamiliki wa nchi hii utakwisha. Mabavu ya hili li chama lililopo madarakani itakuja kutuletea matatizo makubwa sana ktk nchi hii.
 
Hivi Ninyi Mna Wazimu Eeee!!!? Kwa Sheria Ipi Hiyo!!!!?? Kama Kufutwa Kwa MATOKEO Ya UCHAGUZI Wa 25 Oct 15 Hakufuata Sheria Za ZEC, Katiba Na Sheria Ya Uchaguzi!!! IWEJE Kwa CHAMA Ambacho Kimeamua Kutoshiriki Batili Na Ukinyagwaji / Ubakwaji Wa Katiba Na Sheria, Eti Ndio Kiwe Hatarini!!!!!!??? Hivi Mnadhani Kwa Vitisho Na Hoja DHAIFU Kama Hivi, Ndio CUF Wataogopa!!!!!??? Mnajisumbua Buree!!!
 
E



Ethiopia na Eritrea zimevunja muungano
mbona zipo better zaidi?

mbona Checkslovakia imevunjika? na hakuna baya lilitokea?

Hata huu muungano hauna ubaya, una changamoto tu. Je tuvunje muungani kisa changamoto chache zinazoletwa na CUF? Halafu sidhani ni sawa kulinganisha muungano wetu na wa Czechslovakia na Ethiopia na Eritrea kwasababu misingi (sababu) za kuanzisha kila muungano ni tofauti.
 
Mkuu pasco

Zanzibar kuna mambo hayako katika orodha ya muungano, hivyo inajiwakilisha wenyewe. Popote pale.
Ndani ya Zanzibar kuna Balozi ndogo ambazo za mataifa ya nje, ingawa zanzibar sio huru kimataifa lakini inatambuliwa ni nchi na ndio maana Balozi zipo zanzibar.

Mkuu huyu rais asiweza kwenda nje ni rais wa aina gani? Huyu rais wasio mtambua nje ni waina gani, hawa mawaziri wetu wasio tambulika na mataifa ya nje ni mawaziri wa aina gani?

Ukisikia kufa kwa zanzibar ndio huku, tumezoea kuona mabalozi wa Tanzania kuja kumuona rais na Makamu wa kwanza na pili. Sijui baaada ya huo uchafuzi nani watatutembelea. Hii serekali itakuwaje? Naona itakuwa Wilaya.

Nikuulize

Ikiwa wananchi wa Zanzibar watasusia kupiga kura zaidi ya asilimia 50 uchaguzi na vyama kususia uchaguzi utakuje huu uchaguzi kisheria?

Mkuu hayo ni mambo ambayo ninayo yafikiria.
 
Mm huwa nawatahadharisha sana watanganyika,moto wanao uchochea ukija kuwaka wasidhani watanganyika watabaki salama zanzibar.
Acha na mimi nikutadharishe wewe mbaguzi, usidhani na nyie mtabaki salama. Vitisho kama hivi havisaidi na nia zenu uovu za kuvunja muungano hazitafanikiwa.
 
Hakuna Kitu Kama Hicho Mkuu!! Mwanzo Nilikuwa Nadhani Mleta UZI Na Ww Mchangiaji Ni WATU MAKINI MNO, Ktk Kuchambua Na Kujenga HOJA Zenye Mashiko, But Kwa UZI Huu Na Ujengaji Hoja Wako, Yanipasa Kubadili Fikra Zangu Kabisa!!! Kumbe ELIMU Ya MTU Sio Utitiri Wa VYETI Au Kuishi Mazingira Hayo!!!! Bali Ni Ule UWEZO Wake Wa Kutafsri ELIMU Yake Ktk Vitendo Na Maelezo Yake!!!! SASA Subirini 27 Na 28 Jan 16! CUF Watatoa Tamko Lao Rasmi La Kutoshiriki UCHAGUZI Huo Batili!!!! ALAFU Tuje Tuone Hayo Maneno Yenu Yaliojaa Taka Choo!!! KAMA Mngekuwa MNAJITAMBUA, Msingejaribu Kuleta Uzi Huu Na Hoja Mbovu Hivi!!! MAANA CCM Wasingeweka Nguvu Ktk Kujadili Suala La UCHAGUZI Kurudiwa Kwa Kuwakusanya Viongozi Wao WASTAAFU Kujaribu KUMSHAWISHI Mh. Maalim Seif Akubali KUREJEWA Kwa UCHAGUZI!! SI Wangekuwa Wametangaza Tu Tarehe Basi, Kwa Vile CUF Watake Wasitake, Lazima Watashiriki Tu!!!! KWA Kuwa Hilo HALIWEZEKANI, Ndio Maana Walikuwa Wakimshawishi Akubali!! SASA Hayo Maneno Yenu Yenye HOJA DHAIFU Mnayatoa Wapi? Kama Si Ktk Vilabu Vya Pombe Ya Komoni!!!!!
 
Kila siku najiuliza hili swali
watu wanaosema 'tutaulinda muungano wetu' kwa gharama yoyote

exactly wanamaanisha nini?
why huu muungano ulindwe kwa nguvu?


Hilo kaulize nchi zilizoungana kama Uingereza, Marekani, Uchina na Taiwani, Ujerumani, AK n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…