Tetesi: CUF: Lipumba kuwafuta uanachama wabunge wote wa kuchaguliwa majimbo yote ya Bara

Uchambuzi mzuri, ila sikubaliani na haya ya mwisho. Maalim akienda cdm ataenda peke yake kama EL. Nyumbu siyo wengi katika siasa za tz.
 
hiyo option no 2 ya kujiunga na chadema ifanyika kama mambo yatakuwa hivi mpaka 2020 hapo amwacie Lipumba chama ijifie nacho
 
Mkuu hio option namba 2 nimeipenda sana na ndilo linalotakiwa kutekelezwa na cuf maalim
Hapana watakuwa na aina yao ya CUF !kumbuka maalim hana interest kuu ya bara . Akichukua wabunge /wawakilishi wwake znz inatosha kuchukua dola zenji huku bara wakiiunga mkono ukawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanapenda kulaumu matokeo hawataki kuangalia chanzo cha tatizo. Tujiulize Lipumba kuachia uenyekiti wa CUF chanzo nini? Je kulikuwa na maridhiano vizuri ni nani ashike hatamu kuiwakilisha CUF kugombea uchaguzi mkuu wa 2015 au watu waliburuzwa ktk kufikia maamuzi hayo? Na kauli gani zilitolewa na walioshinda kumpitimpitisha mgombea wanae mtaka dhidi ya wale walioshindwa ktk majadiliano? Au ilikuwa ile umeshinda vita lakini mapambano bado?
 
Je CUF ikikosa wabunge RUZUKU watapata wapi?

May Allah bless Me and You
 
Katika maisha yangu yote namtumaini Mungu. Lkn mambo anayofanya lipumba namuangalia Mungu mbona unamuacha uyu bwana anatamba kiasi hiki.....
 
Fukuza Mtolea, hana faida yoyote wananchi wa jimbo la Temeke tunajuta kwanini tulimpa kura zetu. Lipumba fukuza huyu jamaa!
 

Hivi kumbe unaweza kuwa Profesa na bado ukatumika vile vile. Nchi hii bhana duuu!!!
 
Fukuza Mtolea, hana faida yoyote wananchi wa jimbo la Temeke tunajuta kwanini tulimpa kura zetu. Lipumba fukuza huyu jamaa!

Hivi wale wanaomshabikia Lipumba wanasemaje kuhusu UKAWA? Wanasemaje kuhusu ushindi wa Maalim kule visiwani??
 
kila neno uloandika lina uzito sana!.. i salute you!
 
Wasiwasi wangu ni kwamba CCM itapata wakati mgumu Mara dufu kuisambaratisha CHADEMA Visiwani kama inavyofanya kwa CUF ikiwa tu Maalim Seif na kundi lake wataamua kuhama chama

Sent using Jamii Forums mobile app
Me navoona kwa madai anayosimamia Maalim Seif hataweza hama kwa sasa labda ikifika 2020 ndipo atafanya maamuz magumu.
 
Lipumba anatesa kwa udhaifu wa viongozi wa CUF kutochukua hatua mapema
 
Option #3, Cuf ya Maalim ikae na Cuf ya LIPUMBA Wayamalize...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…