Abdallahkova
JF-Expert Member
- Apr 19, 2017
- 1,154
- 1,127
Chanzo nialipewa hela ..sasa utamongopea nani hapa .hizo habari unazosema kawambie kwenye vijiwe vyakahawa .Watu wanapenda kulaumu matokeo hawataki kuangalia chanzo cha tatizo. Tujiulize Lipumba kuachia uenyekiti wa CUF chanzo nini? Je kulikuwa na maridhiano vizuri ni nani ashike hatamu kuiwakilisha CUF kugombea uchaguzi mkuu wa 2015 au watu waliburuzwa ktk kufikia maamuzi hayo? Na kauli gani zilitolewa na walioshinda kumpitimpitisha mgombea wanae mtaka dhidi ya wale walioshindwa ktk majadiliano? Au ilikuwa ile umeshinda vita lakini mapambano bado?
Sent using Jamii Forums mobile app