Tetesi: CUF: Lipumba kuwafuta uanachama wabunge wote wa kuchaguliwa majimbo yote ya Bara

Tetesi: CUF: Lipumba kuwafuta uanachama wabunge wote wa kuchaguliwa majimbo yote ya Bara

Maalim Seif na Wabunge wote wahamie CHADEMA sasa tuone kama huyo Lipumba ataambulia hata diwani mmoja 2020

Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli aliposema "Muungano utalindwa kwa nguvu zote" mlidhani alikuwa anamaanisha nini?

Magufuli hana shida na vyama vya upinzani bara, anapambana na yule anayetaka muungano uvunjike, nae siyo mwingi ni Maalim Seilf ndiye mwenye ushawishi mkubwa,

Wanambana mapema kabla ya 2020 awe amesha futika kwenye uso wa siasa.....

Maalim kosa lingine alilolikosa ni pale Pro Lipumba alivyo tuma barua ya kustaafu wangachangua mwenyekiti mwingine fasta... yasingetokea haya
 
Kama ni kweli, Lipumba anaiua CUF kwa mikono yake na njaa zake.

Damu na Jasho la waliopigania CUF wakati wa uchaguzi wakati yeye akiwa mapumzikoni vitamuandama maisha yake yote.

Dhambi mbaya sana hii..
Atafukuza wote, wataingia bungeni kwa kupitia Chadema na yeye atakosa ruzuku! Bosi wake atamtema na yeye atamalizikia kuokota makopo!
 
CUF HAITAKUWA IMARA TENA! MISSION IMEKAMILIKA KWA 80+℅

CUF sasa inaishilia, ni kama mpango unakamilika, mpango mkakati umetengenezwa kimkakati zaidi, kuhakikisha CUF haina nguvu tena, ili kuleta unafuu visiwani. Wabunge wa majimbo wakishavuliwa uanachama, majimbo yao yatakuwa wazi, uchaguzi utarudiwa, kama hujui ni mpango,: kumbuka kauli ya juzi ya mkurugenzi wa tume ya uchaguzi, pale aliposema' ikiwa wabunge wa CUF watavuliwa uanachama, tume imejiandaa kwa dharula yoyote na bajeti ipo! Akili kumkichwa' mkurugenzi wa tume anazungumzia uchaguzi mdogo kwenye majimbo ambayo bado yana wabunge! MISSION

Lipumba sasa anatambuliwa na kila taasisi ya sirikali, anatambuliwa na Bunge, anatambuliwa na Msajili, anatambuliwa mpaka na taasisi ya jikoni! MISSION

Kete kwa upande wa CUF Halisi ilikuwa imebaki moja tu (MAHAKAMA) baada ya makosa kufanyika nyuma! Ndiyo makosa yalifanyika mwanzo kabisa kwa upande wa Maalim Seif kumdharau Lipumba na kumuona ni mtu mmoja tu anayetapatapa kisha atatulia, hawakumuona mapema aliyekuwa nyuma ya Lipumba! Hili lilikuwa Kosa kubwa! Wamekuja kushituka na kuiona nguvu yake kipindi ameingilia bodi ya wadhamini ya CUF! Hapo ndo walishituka na kumbe tayari walikuwa wamechelewa! Walipaswa kumshughulikia mapema!
Sasa kete ya mahakamani nayo inaanza kufeli, kwa nini nasema inafeli?

1😛amoja na kesi ya kutomtambua Lipumba na kauli ya Msajili kuwa mahakamani! Bado Lipumba ameendelea na shughuli za chama kwa kujitanua hadi kufukuza wabunge bila woga na hakuna mhimili unaohoji!

2: Kutupiliwa mbali kwa mapingamizi ya wabunge wa CUF waliovuliwa uanachama, ni pigo kubwa kwa upande wa Maalim Seif! Hata wakirekebisha vifungu walivyotakiwa kuvirekebisha, wao wako mahakamani, Lipumba anaendelea na shuguli za chama huku akijipanga kuwaita na kuwahoji wabunge wa majimbo!

3: Kutotambulika kwa maazimio ya CUF upande wa Maalim wa kuwavua ubunge wabunge wawili ni pigo kubwa pia.

NANI ALAUMIWE

1. Mtatiro;
Ndiyo, huyu ni mtu wa kwanza kabisa kulaumiwa na wana CUF' atanisamehe. Yeye alipewa jukumu kuwa mwenyekiti wa kamati ya uongozi ya CUF, Lakini amekuwa akifanya siasa za mtandaoni zaidi, kila Lipumba akifanya jambo, yeye huja kulalamika mtandaoni na hukomea kuandika tu bila ya kuelezea njia mbadala ( rejea post zake kwenye plofile yake) Sasa kama yeye kiongozi analalamika na kujibu mapigo ya Lipumba mtandaoni, wengine watafanyeje? Yeye huiongelea CUF baada tu ya Lipumba kufanya kisanga, Lipumba akiwa kimya' na yeye yuko kimya. Kwa hiyo amekuwa akicheza ngoma ya Lipumba!

2. Maalim Seif
Yeye namlaumu kwa kutochukua hatua mapema, Lipumba hakupaswa kupewa nafasi mapema, naye sasa amekuwa akijibu mapigo ya Lipumba tu badala ya Lipumba kujibu mapigo yake! Lipumba akiita Baraza lake, naye anaita lake, Lipumba akifukuza wabunge, naye anafukuza! Amechelewa sana!

NINI CUF YA MAALIM IFANYE?
Kwa sasa CUF ya Maalim imebanwa sana na Lipumba, na naona imebakiwa na option mbili tu!

1. Mahakama;
Mahakama pekee kwa sasa ndo imebaki kuweza kuamua kama CUF iwe ya Lipumba au ya Maalim. Na ikitokea mahakama ikaamua kuwa CUF iwe ya Lipumba, Maalim atabaki na option mbili tu, mosi kuungana na Lipumba au

2. Kuongeza nguvu CHADEMA.
Option ya mwisho kabisa kwa Seif ni kutangaza kuachana na siasa za CUF ya Lipumba na kuongeza nguvu upande wa CHADEMA. Faida kubwa kwa upande wa CHADEMA ikiwa hili litatokea, ni kupata wafuasi wengi Zanzibar bila chenga! Na hapo ndipo msemo usemao "Waliokuwa nyuma ya Lipumba waliruka mkojo wakakanyaga kinyesi" utatimia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni uchambuzi mwanana. Seif amekuwa mwiba tangia enzi za Nyerere. Na ndiye amekuwa mastermind wa kuzifanya siasa za Zanzibar kuwa ngumu. Ndiye amekuwa mastermind wa kutaka kuua muungano wa serikali ya tanzania. Solution ya haya yote imeshapatikana, Mnyamwezi ameshamumaliza. Sasa anatapatapa tu. Anachofanya ni kicks of a dying horse. Hadi mefika kwa Askofu wa kanisa la ufufuo na kumuomba Gwajima amufufue. Yote haya yameshindikana. The third and most likely option ambayo hujaitaja ni Seif kukimbilia kwao Omani ambako atamalizia maisha yake hapa duniani baada ya mikakati yake ya kuirudisha Zanzibar kwenye sulutani ya Oman kushindikana.

NB: Mambo yalipokwenda vibaya baada ya uchaguzi wa 2015 Maalimu aliitanguliza familia yake Oman. Baada ya kile alichodai kuwa UN imemukubalia kuapishwa kuwa rais wa Zanzibar ndipo aliirejesha familia yake Zanzibar. CUF ilianzishwa na Mh. Mapalala toka unyamwezi, baadaye Seif akaja akampindua huyo Mapalala (maana ya mapalala ni takataka). Sasa ametokea mnyamwezi anayeitwa Lipumba (maana ya lipumba ni mapumba) amempindua huyo mpinduzi na kukirejesha hicho chama kwenye ngome yake original ambayo ni kwa akina Magdalena Sakaya (maana ya sakaya ni vurumai)!!! What goes around comes around.
 
Ni uchambuzi mwanana. Seif amekuwa mwiba tangia enzi za Nyerere. Na ndiye amekuwa mastermind wa kuzifanya siasa za Zanzibar kuwa ngumu. Ndiye amekuwa mastermind wa kutaka kuua muungano wa serikali ya tanzania. Solution ya haya yote imeshapatikana, Mnyamwezi ameshamumaliza. Sasa anatapatapa tu. Anachofanya ni kicks of a dying horse. Hadi mefika kwa Askofu wa kanisa la ufufuo na kumuomba Gwajima amufufue. Yote haya yameshindikana. The third and most likely option ambayo hujaitaja ni Seif kukimbilia kwao Omani ambako atamalizia maisha yake hapa duniani baada ya mikakati yake ya kuirudisha Zanzibar kwenye sulutani ya Oman kushindikana.

NB: Mambo yalipokwenda vibaya baada ya uchaguzi wa 2015 Maalimu aliitanguliza familia yake Oman. Baada ya kile alichodai kuwa UN imemukubalia kuapishwa kuwa rais wa Zanzibar ndipo aliirejesha familia yake Zanzibar. CUF ilianzishwa na Mh. Mapalala toka unyamwezi, baadaye Seif akaja akampindua huyo Mapalala (maana ya mapalala ni takataka). Sasa ametokea mnyamwezi anayeitwa Lipumba (maana ya lipumba ni mapumba) amempindua huyo mpinduzi na kukirejesha hicho chama kwenye ngome yake original ambayo ni kwa akina Magdalena Sakaya (maana ya sakaya ni vurumai)!!! What goes around comes around.
Acha utapel wewe

Soma historia ya cuf
 
  • Thanks
Reactions: PNC
CUF HAITAKUWA IMARA TENA! MISSION IMEKAMILIKA KWA 80+℅

CUF sasa inaishilia, ni kama mpango unakamilika, mpango mkakati umetengenezwa kimkakati zaidi, kuhakikisha CUF haina nguvu tena, ili kuleta unafuu visiwani. Wabunge wa majimbo wakishavuliwa uanachama, majimbo yao yatakuwa wazi, uchaguzi utarudiwa, kama hujui ni mpango,: kumbuka kauli ya juzi ya mkurugenzi wa tume ya uchaguzi, pale aliposema' ikiwa wabunge wa CUF watavuliwa uanachama, tume imejiandaa kwa dharula yoyote na bajeti ipo! Akili kumkichwa' mkurugenzi wa tume anazungumzia uchaguzi mdogo kwenye majimbo ambayo bado yana wabunge! MISSION

Lipumba sasa anatambuliwa na kila taasisi ya sirikali, anatambuliwa na Bunge, anatambuliwa na Msajili, anatambuliwa mpaka na taasisi ya jikoni! MISSION

Kete kwa upande wa CUF Halisi ilikuwa imebaki moja tu (MAHAKAMA) baada ya makosa kufanyika nyuma! Ndiyo makosa yalifanyika mwanzo kabisa kwa upande wa Maalim Seif kumdharau Lipumba na kumuona ni mtu mmoja tu anayetapatapa kisha atatulia, hawakumuona mapema aliyekuwa nyuma ya Lipumba! Hili lilikuwa Kosa kubwa! Wamekuja kushituka na kuiona nguvu yake kipindi ameingilia bodi ya wadhamini ya CUF! Hapo ndo walishituka na kumbe tayari walikuwa wamechelewa! Walipaswa kumshughulikia mapema!
Sasa kete ya mahakamani nayo inaanza kufeli, kwa nini nasema inafeli?

1😛amoja na kesi ya kutomtambua Lipumba na kauli ya Msajili kuwa mahakamani! Bado Lipumba ameendelea na shughuli za chama kwa kujitanua hadi kufukuza wabunge bila woga na hakuna mhimili unaohoji!

2: Kutupiliwa mbali kwa mapingamizi ya wabunge wa CUF waliovuliwa uanachama, ni pigo kubwa kwa upande wa Maalim Seif! Hata wakirekebisha vifungu walivyotakiwa kuvirekebisha, wao wako mahakamani, Lipumba anaendelea na shuguli za chama huku akijipanga kuwaita na kuwahoji wabunge wa majimbo!

3: Kutotambulika kwa maazimio ya CUF upande wa Maalim wa kuwavua ubunge wabunge wawili ni pigo kubwa pia.

NANI ALAUMIWE

1. Mtatiro;
Ndiyo, huyu ni mtu wa kwanza kabisa kulaumiwa na wana CUF' atanisamehe. Yeye alipewa jukumu kuwa mwenyekiti wa kamati ya uongozi ya CUF, Lakini amekuwa akifanya siasa za mtandaoni zaidi, kila Lipumba akifanya jambo, yeye huja kulalamika mtandaoni na hukomea kuandika tu bila ya kuelezea njia mbadala ( rejea post zake kwenye plofile yake) Sasa kama yeye kiongozi analalamika na kujibu mapigo ya Lipumba mtandaoni, wengine watafanyeje? Yeye huiongelea CUF baada tu ya Lipumba kufanya kisanga, Lipumba akiwa kimya' na yeye yuko kimya. Kwa hiyo amekuwa akicheza ngoma ya Lipumba!

2. Maalim Seif
Yeye namlaumu kwa kutochukua hatua mapema, Lipumba hakupaswa kupewa nafasi mapema, naye sasa amekuwa akijibu mapigo ya Lipumba tu badala ya Lipumba kujibu mapigo yake! Lipumba akiita Baraza lake, naye anaita lake, Lipumba akifukuza wabunge, naye anafukuza! Amechelewa sana!

NINI CUF YA MAALIM IFANYE?
Kwa sasa CUF ya Maalim imebanwa sana na Lipumba, na naona imebakiwa na option mbili tu!

1. Mahakama;
Mahakama pekee kwa sasa ndo imebaki kuweza kuamua kama CUF iwe ya Lipumba au ya Maalim. Na ikitokea mahakama ikaamua kuwa CUF iwe ya Lipumba, Maalim atabaki na option mbili tu, mosi kuungana na Lipumba au

2. Kuongeza nguvu CHADEMA.
Option ya mwisho kabisa kwa Seif ni kutangaza kuachana na siasa za CUF ya Lipumba na kuongeza nguvu upande wa CHADEMA. Faida kubwa kwa upande wa CHADEMA ikiwa hili litatokea, ni kupata wafuasi wengi Zanzibar bila chenga! Na hapo ndipo msemo usemao "Waliokuwa nyuma ya Lipumba waliruka mkojo wakakanyaga kinyesi" utatimia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CUF HAITAKUWA IMARA TENA! MISSION IMEKAMILIKA KWA 80+℅

CUF sasa inaishilia, ni kama mpango unakamilika, mpango mkakati umetengenezwa kimkakati zaidi, kuhakikisha CUF haina nguvu tena, ili kuleta unafuu visiwani. Wabunge wa majimbo wakishavuliwa uanachama, majimbo yao yatakuwa wazi, uchaguzi utarudiwa, kama hujui ni mpango,: kumbuka kauli ya juzi ya mkurugenzi wa tume ya uchaguzi, pale aliposema' ikiwa wabunge wa CUF watavuliwa uanachama, tume imejiandaa kwa dharula yoyote na bajeti ipo! Akili kumkichwa' mkurugenzi wa tume anazungumzia uchaguzi mdogo kwenye majimbo ambayo bado yana wabunge! MISSION

Lipumba sasa anatambuliwa na kila taasisi ya sirikali, anatambuliwa na Bunge, anatambuliwa na Msajili, anatambuliwa mpaka na taasisi ya jikoni! MISSION

Kete kwa upande wa CUF Halisi ilikuwa imebaki moja tu (MAHAKAMA) baada ya makosa kufanyika nyuma! Ndiyo makosa yalifanyika mwanzo kabisa kwa upande wa Maalim Seif kumdharau Lipumba na kumuona ni mtu mmoja tu anayetapatapa kisha atatulia, hawakumuona mapema aliyekuwa nyuma ya Lipumba! Hili lilikuwa Kosa kubwa! Wamekuja kushituka na kuiona nguvu yake kipindi ameingilia bodi ya wadhamini ya CUF! Hapo ndo walishituka na kumbe tayari walikuwa wamechelewa! Walipaswa kumshughulikia mapema!
Sasa kete ya mahakamani nayo inaanza kufeli, kwa nini nasema inafeli?

1😛amoja na kesi ya kutomtambua Lipumba na kauli ya Msajili kuwa mahakamani! Bado Lipumba ameendelea na shughuli za chama kwa kujitanua hadi kufukuza wabunge bila woga na hakuna mhimili unaohoji!

2: Kutupiliwa mbali kwa mapingamizi ya wabunge wa CUF waliovuliwa uanachama, ni pigo kubwa kwa upande wa Maalim Seif! Hata wakirekebisha vifungu walivyotakiwa kuvirekebisha, wao wako mahakamani, Lipumba anaendelea na shuguli za chama huku akijipanga kuwaita na kuwahoji wabunge wa majimbo!

3: Kutotambulika kwa maazimio ya CUF upande wa Maalim wa kuwavua ubunge wabunge wawili ni pigo kubwa pia.

NANI ALAUMIWE

1. Mtatiro;
Ndiyo, huyu ni mtu wa kwanza kabisa kulaumiwa na wana CUF' atanisamehe. Yeye alipewa jukumu kuwa mwenyekiti wa kamati ya uongozi ya CUF, Lakini amekuwa akifanya siasa za mtandaoni zaidi, kila Lipumba akifanya jambo, yeye huja kulalamika mtandaoni na hukomea kuandika tu bila ya kuelezea njia mbadala ( rejea post zake kwenye plofile yake) Sasa kama yeye kiongozi analalamika na kujibu mapigo ya Lipumba mtandaoni, wengine watafanyeje? Yeye huiongelea CUF baada tu ya Lipumba kufanya kisanga, Lipumba akiwa kimya' na yeye yuko kimya. Kwa hiyo amekuwa akicheza ngoma ya Lipumba!

2. Maalim Seif
Yeye namlaumu kwa kutochukua hatua mapema, Lipumba hakupaswa kupewa nafasi mapema, naye sasa amekuwa akijibu mapigo ya Lipumba tu badala ya Lipumba kujibu mapigo yake! Lipumba akiita Baraza lake, naye anaita lake, Lipumba akifukuza wabunge, naye anafukuza! Amechelewa sana!

NINI CUF YA MAALIM IFANYE?
Kwa sasa CUF ya Maalim imebanwa sana na Lipumba, na naona imebakiwa na option mbili tu!

1. Mahakama;
Mahakama pekee kwa sasa ndo imebaki kuweza kuamua kama CUF iwe ya Lipumba au ya Maalim. Na ikitokea mahakama ikaamua kuwa CUF iwe ya Lipumba, Maalim atabaki na option mbili tu, mosi kuungana na Lipumba au

2. Kuongeza nguvu CHADEMA.
Option ya mwisho kabisa kwa Seif ni kutangaza kuachana na siasa za CUF ya Lipumba na kuongeza nguvu upande wa CHADEMA. Faida kubwa kwa upande wa CHADEMA ikiwa hili litatokea, ni kupata wafuasi wengi Zanzibar bila chenga! Na hapo ndipo msemo usemao "Waliokuwa nyuma ya Lipumba waliruka mkojo wakakanyaga kinyesi" utatimia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pinguza kulalamika sana. Katiba ya CUF umewahi kuisoma?

Na kama umewahi kuisoma unaielewa vizuri?
 
Haa haa hawa wabunge hawasomi tu alama za nyakati yaani wao wanadhani lipumba anatania waulizen akina riziki .lipumba akiwaita mkuje haraka haraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu pro njugu mawe... Is just completed disconnected from the reality.. Jamani eeehh [emoji56]
Ati na yeye anajita alhaji lipumba jamani mmhhh?
Hayuko seriously huyu mzee kwa kweli na wala haja Qualified kabisa kuitwa profesa ama alhaji njugu mawe...hopeless kabisa huyu psychopathic [emoji35] only times will tells... Is keep on fake God kila kukicha yaani.... Ooh well life Goes on


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo linawezekana kwakuwa "nguvu ya mamba iko majini" na nguvu ya Lipumba iko kwa Spika, Msajili wa Vyama na Dola...
 
Na wafutane tu,wanachosha sana hawa mahasimu.
 
kwa hili unadanganya umma....pazuri wapi hapo? Tusidanganyane wandugu katika hili la zanzibar mambo yameshakwisha hakuna atakayekuja kubadili matokeo ya zanzibar only wazanzibar wenyewe ndo wanauwezo huo
na wewe pia usidangaye wazanzibar pia hawana uwezo wakubadilisha kitu si waliipigiya kura,cuf mbona haikuwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa sipendi ila Lipumba anavyowafanyia Wapinzani sio sawa alijiondoa ili kudhoofisha upinzani na ameamua kuja kuua kabisa upinzani haswa chama kilichomkaribisha... kama hawataki tena akae tu pembeni kuugua ukimwi sio lazima uambukize na wengine ili mfe wote

siasa hupendi !!!! kaaa kando usichangie usicho jipenda
 
Kuchaguliwa tena? sijui kama itakuwa rahisi kwani CCM sio Ile ya 2015 sasa hivi watashinda hata kwa nguvu yaani ni ubabe usipime. Maalim Ana option moja ampigie magoti lipumba akubali amezidiwa kete yaishe

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatafanya hivyo, hapigi magoti na cuf inakufa na nguvu kubwa zaidi inaibuka upande wa pili
 
Mbona kuumaliza huu mgogoro nirahis sana,,maalim kumpigia sim lipumba wakutane wenyewe wawili2 wayamalize halafu waite vyombo vyahabar wawaeleze wafuas wao kua hakuna tofaut.ili kama lipumba ametumwa kumuua seif lazima atakataa maana kazi yake itatibuliwa maalim atakaporud ila kama lipumba atakubali nakumaliza tofaut na seif itakula kwa chadema maana wao ndo wanaoivunja cuf.kwamfano mpaka sasa ugomvi mkubwa wa lipumba niule muungano wa ukawa umeimeza cuf na nccr vibaya sana hata kuhatarisha cuf kutoonekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom