BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Umewaita wakuchangie kukukoboa !!
Unahamu ya kuliwa na mdoli wewe.Anaandika BICHWA KOMWE:-
Huyu bibie nampenda. Kwanza mzuri, mcheshi na ana akili mingi sana.
Ukimlishanganisha na makanjanja wengine wenye majina ya kike humu, Culture Me anachukua karata ya turufu. Anashinda asubuhi na mapema.
Sijui kwanini lile shindano la mrembo wa Jamiiforums hakupewa huyu bibie mwenye maakili mengi kisha akapewa ajuza mwenye itikadi za kigaidi? Hili nalo mkalitizame.
Mrembo wangu Culture Me Karibu sana Jamiiforums baada ya kupotea kwa muda mrefu.
Naamini makanjanja wa humu walikuchosha ukaamua uchukue likizo fupi huku ukilea ndoa yako baby!
Karibu sana. Mwaaah!
Umenichekesha sana, hizo sifa zote zangu mimi, lolAnaandika BICHWA KOMWE:-
Huyu bibie nampenda. Kwanza mzuri, mcheshi na ana akili mingi sana.
Ukimlishanganisha na makanjanja wengine wenye majina ya kike humu, Culture Me anachukua karata ya turufu. Anashinda asubuhi na mapema.
Sijui kwanini lile shindano la mrembo wa Jamiiforums hakupewa huyu bibie mwenye maakili mengi kisha akapewa ajuza mwenye itikadi za kigaidi? Hili nalo mkalitizame.
Mrembo wangu Culture Me Karibu sana Jamiiforums baada ya kupotea kwa muda mrefu.
Naamini makanjanja wa humu walikuchosha ukaamua uchukue likizo fupi huku ukilea ndoa yako baby!
Karibu sana. Mwaaah!
Role Model wangu huyoAnafananaga na Salama Jabir
Naona wataalamu wa huduma za sembe, mna karibishana🤒🙄mods wa jf hawanipendi kichizi
Bado ni mtaalam, mashine haijafa.... unataka kusagiwa?
Binti hiyo michezo haifai, ngoja nimwite sister Tayana-wog na Joannah waku ombee🙄🤒🤒Bado ni mtaalam, mashine haijafa.... unataka kusagiwa?
Wewe mbona unajitoa?Naona wataalamu wa huduma za sembe, man karibishana[emoji855][emoji849]
LolBinti hiyo michezo haifai, ngoja nimwite sister Tayana-wog na Joannah waku ombee[emoji849][emoji855][emoji855]
Daah kumbe BICHWA KOMWE ni kitu yako?😂Umenichekesha sana, hizo sifa zote zangu mimi, lol
Ahsante kwa kunikaribisha baby, hua nachungulia na kutoka, mods wa jf hawanipendi kichizi
Weka picha basi?