cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Babeee ang karudi jukwaani, weraaaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babeee ang karudi jukwaani, weraaaah
Woooowwwww!!! [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]Umenichekesha sana, hizo sifa zote zangu mimi, lol
Ahsante kwa kunikaribisha baby, hua nachungulia na kutoka, mods wa jf hawanipendi kichizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una nn dear lakini??Bado ni mtaalam, mashine haijafa.... unataka kusagiwa?
Ndo maana ake.Kikubwa wanafika orgasm [emoji2960]
Wekeza viwandani😄😄, tuwa pasue🏃🏃A set that does not contain any element. A set with 0 cardinality .
🥶😰😭😭😭😭😭
I mic u more wifey [emoji8][emoji8][emoji8]Woooowwwww!!! [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]
Warmly welcome ma hubbie, lop u saaana.
Nimekumic balaaa.
Wife yuko vedeeeeee kabisaaaaaKaribu baby akeeee [emoji7][emoji7][emoji7][emoji3059][emoji102][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Wife anaendeleaje
Hana baya huyo muhenga mwenzangu, nami namkaribisha jukwaani
We nae mbona umeukalia kooni uzi wa watu huna shughuli za kufanya?Pale midume inapo itana wifi, lazima dunia itingishike🤒
Umezidi kua 'endisam' ndio maana mods wanakuonea wivu 😄Umenichekesha sana, hizo sifa zote zangu mimi, lol
Ahsante kwa kunikaribisha baby, hua nachungulia na kutoka, mods wa jf hawanipendi kichizi
Sasa ndio naanza kuamini kwamba wewe ni mchele mchele. Huyo culture ni dume lisilotaka kuwa dume.Anaandika BICHWA KOMWE:-
Huyu bibie nampenda. Kwanza mzuri, mcheshi na ana akili mingi sana.
Ukimlishanganisha na makanjanja wengine wenye majina ya kike humu, Culture Me anachukua karata ya turufu. Anashinda asubuhi na mapema.
Sijui kwanini lile shindano la mrembo wa Jamiiforums hakupewa huyu bibie mwenye maakili mengi kisha akapewa ajuza mwenye itikadi za kigaidi? Hili nalo mkalitizame.
Mrembo wangu Culture Me Karibu sana Jamiiforums baada ya kupotea kwa muda mrefu.
Naamini makanjanja wa humu walikuchosha ukaamua uchukue likizo fupi huku ukilea ndoa yako baby!
Karibu sana. Mwaaah!
Umejuaje ni dume? alikufanya nini?Sasa ndio naanza kuamini kwamba wewe ni mchele mchele. Huyo culture ni dume lisilotaka kuwa dume.
Kwa jinsi ulivyomnadi, inaonekana mpo karibu. It means na wewe ni wale wale
😂😂😂😂😂😂😂🙈🙈🙈🙈🙈🙈Umejuaje ni dume? alikufanya nini?
Nimemisi enzi zile unawapa kisago makanjanja wa humu.Wife yuko vedeeeeee kabisaaaaa
Vipi wewe
Salam..a si nasikia ana 2, nawe kumbe una mkoboleo?Role Model wangu huyo
Kenger wewe unajipendekeza uliwe🤣Nimemisi enzi zile unawapa kisago makanjanja wa humu.
Nilikumiss sana, huwa unapotea bila taarifa jamaniiiiiiiiiiii
Dm huwa analilia mb0r0Umejuaje ni dume? alikufanya nini?