Curriculum Vitae kwa kiswahili ni nini?

Curriculum Vitae kwa kiswahili ni nini?

Sorry nnajifunza, kwa mfano ilo neno CV 2natumia msingi gan?

Kisawe cha CV katika kiswahili ni Wasifu, kwa hiyo hapa ametumia mbinu ya tafsiri sisisi, sijui unayajua haya mambo mkuu.
 
Bisansaba
nimewahi kukutana na istilahi zikanitatiza. Kuna shajara na bango kitita, haya yakitumiwa na istilahi kama randama, mwisho huleta tashtiti. Nini tafsiri sisisi yako katika mtanzuko huo, tusaidie tafadhali.

Pili, unaposomwa wasifu wa marehemu una maana ni CV yake? Kwa lugha za kigeni wasifu wa marehemu ni eulogy.
Sasa tunatofautisha vipi wasifu wa marehemu na wasifu wa CV ya mtu.
 
Last edited by a moderator:
Bisansaba
nimewahi kukutana na istilahi zikanitatiza. Kuna shajara na bango kitita, haya yakitumiwa na istilahi kama randama, mwisho huleta tashtiti. Nini tafsiri sisisi yako katika mtanzuko huo, tusaidie tafadhali.

Pili, unaposomwa wasifu wa marehemu una maana ni CV yake? Kwa lugha za kigeni wasifu wa marehemu ni eulogy.
Sasa tunatofautisha vipi wasifu wa marehemu na wasifu wa CV ya mtu.
Mkuu Tunajifunza pamoja, kulingana na uelewa wangu nitasema kama ifuatavyo:

Shajara
ni kitabu ambacho mtu anatumia kurekodi kumbukumbu zake za kila siku, kisawe chake cha kiingereza ni Diary,
Bango kitita ni gombo lenye karatasi kadhaa ambalo hutumika kufanyia uwasilishaji (Katika vikao, darasani, n.k) mara nyingi mwasilishaji hutumia maka peni kuandika katika karatasi zake (Hii ni maana ya msingi).
Randama hili huwa nalisikia sana bungeni, nadhani ni neno la kisheria, kwa kweli siwezi hata kulifafanua.

Kuhusu wasifu CV na wasifu wa marehemu, mi nadhani kitakacholeta tofauti ni Muktadha. Kimsingi dhana ni ile ile huku kwenye CV ya mtu kinachoongelewa ni sifa za mhusika kulingana na muktadha husika, na kwenye wasifu wa marehemu kinachosomwa ni sifa zake njema hata kama kuna mabaya aliyofanya hayo hayatasemwa. Umesema wasifu wa marehemu kwa kiingereza ni eulogy, sasa hii tukitafuta kisawe chake katika kiswahili ni taabini ambapo tukifanya tafsiri rejeshi ina maana hii "narration of remembrance of a deceased (usually delivered forty days after the death of the deceased)". Sasa sijui kama tunaweza kutumia taabini badala ya wasifu wa marehemu.
 
Mkuu Tunajifunza pamoja, kulingana na uelewa wangu nitasema kama ifuatavyo:

Shajara
ni kitabu ambacho mtu anatumia kurekodi kumbukumbu zake za kila siku, kisawe chake cha kiingereza ni Diary,
Bango kitita ni gombo lenye karatasi kadhaa ambalo hutumika kufanyia uwasilishaji (Katika vikao, darasani, n.k) mara nyingi mwasilishaji hutumia maka peni kuandika katika karatasi zake (Hii ni maana ya msingi).
Randama hili huwa nalisikia sana bungeni, nadhani ni neno la kisheria, kwa kweli siwezi hata kulifafanua.

Kuhusu wasifu CV na wasifu wa marehemu, mi nadhani kitakacholeta tofauti ni Muktadha. Kimsingi dhana ni ile ile huku kwenye CV ya mtu kinachoongelewa ni sifa za mhusika kulingana na muktadha husika, na kwenye wasifu wa marehemu kinachosomwa ni sifa zake njema hata kama kuna mabaya aliyofanya hayo hayatasemwa. Umesema wasifu wa marehemu kwa kiingereza ni eulogy, sasa hii tukitafuta kisawe chake katika kiswahili ni taabini ambapo tukifanya tafsiri rejeshi ina maana hii "narration of remembrance of a deceased (usually delivered forty days after the death of the deceased)". Sasa sijui kama tunaweza kutumia taabini badala ya wasifu wa marehemu.
Shukran sana.
 
Bisansaba nakushukuru sana kwa mchango wako ila kuna neno umelitamka sijalielewa, neno hilo ni "gombo", msaada tafadhali.

Kama ikiwezekana unisaidie na neno "mtanzuko" lililotumiwa na mkuu Nguruvi3.
 
Last edited by a moderator:
Bisansaba nakushukuru sana kwa mchango wako ila kuna neno umelitamka sijalielewa, neno hilo ni "gombo", msaada tafadhali.

Kama ikiwezekana unisaidie na neno "mtanzuko" lililotumiwa na mkuu Nguruvi3.

"gombo" ni neno la Kibiblia, lenye maana ya karatasi ya vitabu vya zamani walivyoandika Manabii
 
Last edited by a moderator:
Bisansaba nakushukuru sana kwa mchango wako ila kuna neno umelitamka sijalielewa, neno hilo ni "gombo", msaada tafadhali.

Kama ikiwezekana unisaidie na neno "mtanzuko" lililotumiwa na mkuu Nguruvi3.

Mkuu gombo ni kitita cha makaratasi yenye ukubwa wa kutosha na huwa hukunjwa kwa kuviringishwa kurahisisha ubebaji, njia hii ilitumika zamani kuhifadhi maandishi, hasa ya kidini.

Kuhusu mtanzuko nadhani alimaanisha mtanziko ikiwa na maana kutojua cha kufanya hasa katika kufanya machaguo baina ya vitu viwili kisawe chake ni dilemma.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu gombo ni kitita cha makaratasi yenye ukubwa wa kutosha na huwa hukunjwa kwa kuviringishwa kurahisisha ubebaji, njia hii ilitumika zamani kuhifadhi maandishi, hasa ya kidini.

Kuhusu mtanzuko nadhani alimaanisha mtanziko ikiwa na maana kutojua cha kufanya hasa katika kufanya machaguo baina ya vitu viwili kisawe chake ni dilemma.

Nimekupata mkuu, asante.
 
Mkuu Tunajifunza pamoja, kulingana na uelewa wangu nitasema kama ifuatavyo:

Shajara
ni kitabu ambacho mtu anatumia kurekodi kumbukumbu zake za kila siku, kisawe chake cha kiingereza ni Diary,
Bango kitita ni gombo lenye karatasi kadhaa ambalo hutumika kufanyia uwasilishaji (Katika vikao, darasani, n.k) mara nyingi mwasilishaji hutumia maka peni kuandika katika karatasi zake (Hii ni maana ya msingi).
Randama hili huwa nalisikia sana bungeni, nadhani ni neno la kisheria, kwa kweli siwezi hata kulifafanua.

Kuhusu wasifu CV na wasifu wa marehemu, mi nadhani kitakacholeta tofauti ni Muktadha. Kimsingi dhana ni ile ile huku kwenye CV ya mtu kinachoongelewa ni sifa za mhusika kulingana na muktadha husika, na kwenye wasifu wa marehemu kinachosomwa ni sifa zake njema hata kama kuna mabaya aliyofanya hayo hayatasemwa. Umesema wasifu wa marehemu kwa kiingereza ni eulogy, sasa hii tukitafuta kisawe chake katika kiswahili ni taabini ambapo tukifanya tafsiri rejeshi ina maana hii "narration of remembrance of a deceased (usually delivered forty days after the death of the deceased)". Sasa sijui kama tunaweza kutumia taabini badala ya wasifu wa marehemu.
ubarikiwe mkuu kwa hili darsa
 
ni wasifu lakini linabafilika na kuliita jina kwa njia ya mwambatano nyaani kuliambatanisha na neno lingine .mfano kama ni kazi tunaita wasifu kazi
 
1. cv [nomino]
~ wingi: c.v.'s
▪ wasifu:


Tafsiri kutoka ESE Dictionary

cv.PNG
 
Mkuu huwezi kutumia kiswahili chepesi kidogo hapo kwene red tukuelewe vizuri? Hili li lugha letu ligumu jamani dah!!

Lugha yetu si ngumu, shida ni kuwa tumechagua kutoitumia. Ukitaka kujua Kiingereza nacho ni kigumu jaribu kusoma karatasi inayoambatanishwa na vidonge vya Shellys Pharmaceutical.
 
Mkuu Tunajifunza pamoja, kulingana na uelewa wangu nitasema kama ifuatavyo:

Shajara
ni kitabu ambacho mtu anatumia kurekodi kumbukumbu zake za kila siku, kisawe chake cha kiingereza ni Diary,
Bango kitita ni gombo lenye karatasi kadhaa ambalo hutumika kufanyia uwasilishaji (Katika vikao, darasani, n.k) mara nyingi mwasilishaji hutumia maka peni kuandika katika karatasi zake (Hii ni maana ya msingi).
Randama hili huwa nalisikia sana bungeni, nadhani ni neno la kisheria, kwa kweli siwezi hata kulifafanua.

Kuhusu wasifu CV na wasifu wa marehemu, mi nadhani kitakacholeta tofauti ni Muktadha. Kimsingi dhana ni ile ile huku kwenye CV ya mtu kinachoongelewa ni sifa za mhusika kulingana na muktadha husika, na kwenye wasifu wa marehemu kinachosomwa ni sifa zake njema hata kama kuna mabaya aliyofanya hayo hayatasemwa. Umesema wasifu wa marehemu kwa kiingereza ni eulogy, sasa hii tukitafuta kisawe chake katika kiswahili ni taabini ambapo tukifanya tafsiri rejeshi ina maana hii "narration of remembrance of a deceased (usually delivered forty days after the death of the deceased)". Sasa sijui kama tunaweza kutumia taabini badala ya wasifu wa marehemu.


Mkuu wewe ni mwalimu wa ISIMU au??
 
Back
Top Bottom