CV za Mawaziri wa Afya kutoka nchi baadhi za Afrika

Ukiwa na marais wabovu wateule wao wanakuwa wabovu zaidi.
 
Nape alikua katibu mwenezi wa chama kikubwa Kama CCM ilhali alipata " F"ya siasa fomfoo.
Wakati huo huo kulikua na wenye PhD za political science ndani ya chama.
Au Makamba waziri wa energy wakati matokeo yake ya fomfoo...
 
Kujua kusoma na kuandika
Kuwa mwana CCM.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa kwanini uzi wa hotuba ya Waziri huko Brazaville umekuwa blocked hatuwezi kufungua?

Acheni mambo yenu JF.
 
Hakuna Jambo rais atafanya litakuwa jema ummy mwalimu alikuwa hatakiwi kaletwa mwingine nae maneno na hata angeletwa dokta kwenye hyo wizara bado maneno yangekuwepo Cha msingi The president ahakikishe tunapata huduma Bora za afya maneno yasimtoe kwenye reli
 
Nadhani kuna umuhimu wa kufanya marekebisho ya sheria zetu ili ifike wakati sasa na sisi tuwe tunawafanyia vetting hawa mawaziri wetu.

The likes of akina Dr. Ngugulile tunawaacha au kuwaweka pembeni hadi wanapata kazi WHO huku sisi thamani zao tunazibeza.
 
Sure, japo kuna watu wansema haina haja ya kuwa na waziri mwenye taaluma katika sekta husika et kisa yeye sio mtendaji wa wizara​
 
Kumbe ni halali yake kugaragara chini vile.

She is making up for what she lacks in education kwa kujitoa ufahamu

Ila hii ni ithibati kuwa ndege wafananao huruka pamoja. Aliemteua nae elimu yake ya kuunga unga hivyo hivyo. So ni pwagu na pwaguzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…