poor kidHawa wezi kwenda mahakamani wakithubutu Bwana Msiba atawaacha hukohuko wakikutana na Sugu na kutofautiana vifungo tuuu.Hata Sasa hawaamini wamegundulikaje
Musiba ni sisimizi,FBI wala hawajui kama kuna sura kama hiyo duniani.CIA na FBI wenyewe watamwadhibu Huyo Musiba kwa kuwapakazia Uongo.
Hawa wezi kwenda mahakamani wakithubutu Bwana Msiba atawaacha hukohuko wakikutana na Sugu na kutofautiana vifungo tuuu.Hata Sasa hawaamini wamegundulikaje
Tisha toto, hakuna mtu hatari kwa taifa letu anaetangazwa ki comedy kama vile. Hamjui kutofautisha kati ya nchi na familia?HUYU MTU KWA MAONI YANGU NDIYE HATARI. ANAICHONGANISHA SERIKALI YETU NA NCHI ZINGINE ZAIDI YA KUCHOCHEA CHUKI MIONGONI MWA JAMII. HUYU NDIYE HASA ANAYEPASWA KUSHITAKIWA KWA UCHOCHEZI.
Mlivyo wanafiki,kwanza ungeanza kumuuliza mpiga debe wenu mdada anaeishi Marekani Mange Kimavi,je yeye katumwa na nani kwa matusi anayoporomosha mitandaoni na nyie kufurahi kama vile mnatumia masaburi kufikiri.mbona hatuwasikia kutoa mijipovu kama unavyojitia sasa .Unapata wapi nguvu ya kuutangazia umma wa Watanzania kwamba hawa ndugu zetu ni hatari??? Mamlaka unayatoa wapi Musiba???
Maana ya mtu hatari katika usalama wa taifa ni wewe wa kutoa hiyo hukumu na maamuzi ya kuwaita wenzetu Hatari???
Naombeni msaada ni nani huyu? Anapata wapi mamlaka na nani amemtuma?
Samahani JF niliiacha hii habari hewani bila kuiimarisha kwasababu huyu jamaa alinichefua sana, nasema ukweli nilifika hatua ya kufikiria kuukana utaifa wangu wa Tanzania. Polisi wanamuacha huyu? Vyombo vya habari mnaripoti mtu kama huyu really na mnaona ni taarifa ya kawaida tu....???
View attachment 701577
Ndo maana nasema; Watu weshawehuka kabisa. Utathubutuje kuitukana nchi kama USA na Ujerumani na England?? Yaani tumefika mahali pa kulichokoza jibwa lililo lala kichakani kweli. Nadhani kama serekali haitasema lolote juu ya uhuni huu basi yatakayo tupata ni yetu tuyapokee
Freedom of speech
Vitabu vya musiba unaongeleaUnamzungumzia Willy Gamba au.....?!!