Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Umusolopogasi watu humu jf ni watulivu sana
Tulia kijana
Alikuwa mchezaji mzuri Sana wakati tukicheza mpira(sembo)
Baadaye Kama sikosei alikwenda Kwan marehemu Kaka yake hukoTabora
Naishia hapo usinitafute tena

Mmmaaa!!!!
 
Musiba mwanaume washoka anawajinyima usingizi watu wengi
Angekuwa sio maana msingemtafuta na kumjua vema
 
Kajamaa kanaishi kama digidigi siku hizi licha ya kwamba propaganda zake zimempatia faida ya ruzuku kutoka kwa mkulu sizonje ya kujengewa bungalow huko nje ya jiji lakini hakana furaha maana kanaisha maisha ya kuhamahama na kimachale na wasiwasi mwingi nyeti zinasema kanajificha maeneo ya kibamba
 
Wengi waliofoji vyeti wapo upande wa mtetezi maana alisema teuzi zake hazitakiwi kukaguliwa vyeti wala kuhoji...
 
Kwa kifupi sana
Baba yake alikuwa ni moja ya wazee aliyekuwa na uwezo Kwa miaka hiyo kijijini
Baba yake alijenga nyumba nzuri y'a bati
Alikuwa na mitumbwi na nyavu za kutosha
Nasisitiza namfahamu na hayo ni majina yake halali
 
Ni kweli anaishi kwa kujificha ficha licha ya Naibu Rais Maliyamungu idd Amin Bashite kumgharamia Ulinzi mkubwa.
 
Musiba mwanaume washoka anawajinyima usingizi watu wengi
Angekuwa sio maana msingemtafuta na kumjua vema
Sasa mbona hakai kwake kama angekuwa mwanaume wa shoka? Sasa anaishi kwa kujificha ficha anaogopa bakora za vijana wa upinzani ambao wamekerwa na Propaganda zake za kishamba toka kolomije na chato.
 
Naibu Rais ndugu Maliyamungu idd Amin Bashite ndiyo mfadhili wa msiba kwa kila kitu sasa.
 
Unaongea huu ujinga kama ni nchi nyingine raia wema wanapita na kichwa chako!
 
Msiba unaongea huu ujinga serikali inakunyamazia, kama ni nchi nyingine raia wema wanapita na kichwa chako. Hata hawa wanaonunuliwa kila uchao raia wema wangeonyesha mfano kwa hata 2 tu, mchezo huo ungeshakoma. Manake wanachangia umaskini wa wananchi.
 
..hao walioko kwenye gazeti ndio wazalendo wa kweli wa Taifa hili....mengine yote yaliyoko ccm majizi tu....tena yanatuibia kwa mgongo wa uzalendo feki...

BTW...hivi kile kikosi cha red brigade cha chadema kiko wapi siku hizi???...hawa ndio wangetakiwa wawe wanashughulika na watu wasiojulikana...akiwemo mwehu musiba.....yani wanatakiwa wawawinde kama wao viongozi wao wanavyowindwa na policcm....
 
to live under constant fear,that you may be killed at any time is stressful,i don't know why he put himself in that vulnerable position?....may be that's why he talk nonsense,,,,its is they of coping to live in Fear.......
 
Kila mkosoaji wa Chadema lazima muulizie wasifu wake..
mtaulizia wananchi wa nchi nzima sasa mkidhani wanatumiwa na CCM
HUYO MTU HATUMIWI NA CHAMA CHOCHOTE ILA NI MGONJWA KAMA NABII TITO. ANATAKIWA AKAPIMWE MKOJO. YEYE KAZI YAKE NI UCHOCHEZI NA KUITISHIA SERIKALI KWA KUBUNI novel ZA UONGO ZA MAANDAMANO, ZA MANGE, ZA WAPINZANI nk, Kwani upinzani umeanza leo?! Au Mange kazaliwa leo?! Anatakiwa kupuuzwa ili kuepusha shari.
 
HUYU NI MGONJWA TANGU YUPO FORM II. UGONJWA UMEMRUDIA TENA kwa kasi mpya yo yo yoo...!!! ni Kama nabii Tito tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…